mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Kwa kua ww umepata ajira basi meno nje anajiona umemaliza OK Mungu anajib kwa wakatiTupo vizuri hiyo namba isikuogopeshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kua ww umepata ajira basi meno nje anajiona umemaliza OK Mungu anajib kwa wakatiTupo vizuri hiyo namba isikuogopeshe
Wao pia hawaaminiki. Unagomaje jeshini! Kizazi kimekuwa laini kweli.Vijana ambao ni taifa la kesho hawaaminiwi ...
Sasa hao wazee wakizeeka watakipata cha moto
JKT sio sehemu ya kupatia ajira jitumeKwa kua ww umepata ajira basi meno nje anajiona umemaliza OK Mungu anajib kwa wakati
Usitufanye wajinga bhana . Magufuli aliwaahidi hivyo kama rewards kwa kazi walizofanya! kwani umeambiwa walitoka moja kwa moja JKT? Hawa sindiyo walishiriki kuiba kura pale October 2020? Umesahau????? Leo mnawakanaJKT siyo sehemu ya kutoa ajira, tunarudia kila mara hamuelewi dah
Kazi si ndiyo kujitolea na kufundishwa ukakamavuMwendazake aliwadanganya watoto wa wenzake huku akiwafanyisha Kazi kama ma cheapest labour kwenye ujenzi kwa ujira wa wali maharage kwa ahadi ya ajira.This is too bad.
Kwanza ujue mafunzo yao ni elementary sana, jeshi haliwapi mafunzo bila tahadhari, ndio maana hata ndani ya jeshi kuna makomando ambao wanaweza kudhibiti uasi wa jeshi lenyewe ikitokea sembuse JKT?Halafu ujue vijana 800 ni sawa jeshi la nchi kwa baadhi ya nchi hapa duniani
China, S. Korea, Israel, N. Korea, Kijana yeyote akifikisha umri wa miaka kuanzia 17-19 shariti ajiunge na national service (I.e JKT kwa TZ), lakini siyo kwamba, akihitimu ndo anaajiriwa, ingekuwa hivyo basi kwa nchi hizo RAIA wote wangekuwa wanajeshi.Nchi nyingi zilozoendelea wamewekeza vyema kwenye ulinzi(jeshini)
Ukichukulia mfano marekani, urusi au China
Hawana maigizo kuhusu masuala ya ulinzi
Kama wanajua hawawezi kuwaajiri hao vijana jeshini kwa nini wanawasajili kwenye mafunzo hayo ya JKT
Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) hili ni sehemu ya jeshi kwenye wizara ya ulinzi
Dhumuni la kuanzishwa na jeshi hili ni kuwajengea vijana stadi za kiufundi na uzalendo kabla ya kuajiriwa rasmi kwenye jeshi la wananchi(JWTZ)
Ila kinachotokea sasa hawa vijana wanasajiliwa na kupata mafunzo haya baadae wanarudishwa mtaani bila hata vyanzo au mtaji kuendelea kujikimu au kuendeleza kile walichofundishwa huko jeshini
Kama hawawezi kuwapa hao vijana ajira sioni sababu ya kusajili vijana wengi wakati wanajua hawana uwezo kwa kiwaajiri kuliko kuwapotezea muda
Ni haki kuwa na wasiwasi lakini hali halisi ni kwamba once wamefukuzwa hule umoja wao huwa unakufa hapohapo kutokana na kutawanyika kwenye makazi yao tofauti tofauti na huwa wanaamriwa kuripoti kwa viongozi wa serikali kwenye maeneo wanayofikia.Nimesoma habari moja kuwa JKT imesitisha mikataba na kuwafukuza vijana zaidi ya 800 baada ya kuandamana Ikulu wakinishinikiza kuajiriwa
Baada ya hao vijana kuja mtaani,wanajua kushika silaha na mafunzo ya awali ya kujihami,je hao vijana hawawezi kujiunga na vikundi vya kigaidi kama cha ISS huko Msumbiji?
Je serikali inawafuatilia hao vijana zaidi 800 mienendo yao mitaani kama sio rahisi kushawishika kujiunga na vikundi vya kigaidi kwa ukosefu wa ajira na kuleta majanga nchini?
Au unaweza ukawa mtego,wakashawishiwa kugoma wadai ajira ili watimuliwe wakajiunga na ISS huko Msumbiji
Serikali ibuni mikakati ya kuajiri vijana au kuwawezesha kupata mazingira rahisi kujiajiri ili kuepuka kushawishika kuvuka mpaka kule kusini na kujiunga na ISS
Narudia kuwatimua vijana 800 JKT ni hatari zaidi kwa usalama uliopo kusini mwa Afrika
Shujaa alitoa AMRI wapewe AJIRA.JKT siyo sehemu ya kutoa ajira, tunarudia kila mara hamuelewi dah
True! Niuasi huo!Boss kijeshi kugoma ni UASI hiyo haikuabariki askri anapogoma hizo ni ishara mbaya hata kwa usalama wako wewe binafsi na nnchi kwa ujumla jambo la pili wao kujiunga na iss sio rahisi kama unavyofikiria hyo organization wanaitoa wapi? Kwani vijana wangap wanarudi toka huko jkt kwa sabab hawa sio wa kwanza hicho kitendo cha mgomo ni hatri hata mimi sijakiunga mkono
Ukisikia baadae watu wamejinyonga ndo hapo .....mtu AME hustle zile SIX WEEK afu anafutwa. Mungu awape moyo wa ujasir“Tarehe 8 Aprili 2021, vijana wa Jeshi la kujenga Taifa wapatao 2,400, walio haidiwa kupewa ajira na Mhe. Rais kwa kutekeleza ujenzi wa ofisi za ikulu ya Chamwino waliamua kugoma, kukataa kufanya Kazi eneo jingine na kuandamana kwenda Ikulu kumuona Mhe. Rais kushindikiza kuandikishwa Jeshi. Mkuu wa Jeshi la kujenga Taifa Meja Jenerali Charles Mbunge kawasihi kusitisha mgomo huo na kutoandamana hawakusikiliza.
Kitendo hiki haikikubaliki, kugoma au kuandamana Jeshini ni kosa la Uasi , wangekua askari wangefikishwa mahakamani kwa sababu hiyo Jeshi la kujenga Taifa limesitisha mkataba wa vijana hao 854 wa kujitolea na kurudishwa makwao.” Jen. Mabeyo