Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Kwa hakikaHao hutumia na serikali kwenye hujuma mbalimbali kama wizi wa kura. Wengine hupelekwa Zanzibar kupiga kura za bandia. Waache wavune walichopanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hakikaHao hutumia na serikali kwenye hujuma mbalimbali kama wizi wa kura. Wengine hupelekwa Zanzibar kupiga kura za bandia. Waache wavune walichopanda.
Jambo la muhimu ni msingi wa haki yenyewe. JKT huwa wak straight tangu siku ya kwanza kwamba hawatoi Ajira ila watu huwa wanaenda kucheza kama kamali tu.Ili tujue ukweli ni vema tusikilize upande wa pili.
Kuna stori moja ya jeshini ningeweka ila basi tu, kuna wakati watu huonewa sana kwa kisingizio cha nidhamu ya kijeshi
Sasa nimepewa kwa nini vijana wanaomaliza kidato cha sita wanatakiwa kutumikia kesho kwa mwaka mzima.JKT siyo sehemu ya kutoa ajira, tunarudia kila mara hamuelewi dah
Mkuu jkt toka lini kukawa na ajira? Kule huwa ni kujitolea mkuu .Siwafundishi kazi, bali naamini taalamu yenu inawataka mfanye hivyo na si kuishia kupata taarifa za upande mmoja tu kwa maana ya maelezo ya viongozi wa Jeshi na serikali tu bila kuwahoji Vijana waliofukuzwa.
Wateendeni haki hawa vijana ili umma uweze kuwahukumu kwa haki maana teyari wameshaitwa waasi(sifa mbaya sana katika Jamii na kila watakokwenda).
Mazingira ya kufukuzwa hawa vijana, kwa mtazamo wangu, hayana tofauti na mazingira ya wale vijana waliofukuzwa UDOM na hayati Magufuli mwaka 2017.
Yangu ni hayo tu.
Kuna fitna kule usione watu wako na uniforms ukadhani wamepata kirahisi.Jambo la muhimu ni msingi wa haki yenyewe. JKT huwa wak straight tangu siku ya kwanza kwamba hawatoi Ajira ila watu huwa wanaenda kucheza kama kamali tu.
Labda kama kuna haki tofauti wanadai.
Kapimwe akiliHalafu ujue vijana 800 ni sawa jeshi la nchi kwa baadhi ya nchi hapa duniani
Ukitaka haki saaana au ukihitaji kutumia akili yako, usiwe mwanajeshi.Hata tafsiri ya askari kuasi nadhani ipitiwe upya.
Askari wanaonewa sana kuanzia kwenye maslahi, maisha yao ya kiutumishi n.k
Lakini wahusika mara zote wanawambia wakihoji watashtakiwa kwa kuasi, hili neno limekuwa ni kichaka cha kunyanyasa watu huko majeshini, watu wanahamishwa kwa fitna, wanapigwa adhabu za chuki lakini hawawezi kuhoji wala kuuliza kwa kisingizio hiki cha kuasi jeshi.
Kuna watu wanadhulumiwa mpaka posho zao zilizowekwa kisheria lakin sentensi ya kuasi jeshi inahalalisha dhuluma hiyo.
CDF ni mzazi kaa na hao watoto hebu wasikilize neno kwa neno, CDF hata ww una watoto, una wajukuu n.k
Wakati mwingine wafuasi wako wanaweza kukupa maneno ya ukakasi ukajua ndio sura halisi ya jambo lakin mengine unaweza usiambiwe.
Yote nayajua ila tupunguze kuwa local na tupunguze matumizi ya nguvuUkitaka haki saaana au ukihitaji kutumia akili yako, usiwe mwanajeshi.
Hutaweza
kabla ya kupewa mkataba JKT mnaambiwa kabisa..JKT haitoi AJIRA bali inatoa mafunzo ya uzalendo na kujiajiri..Wewe unaamua kukubali afu usipoajiriwa unalalamikaMnarudia wewe na nani..
Wewe hapo jkt ndio nani.
Jf bwana kila mtu ni boss wa idara ya serikali
Ewe boss wa jkt tukuulize basi, kwamba hao wengine waliopata ajira kupitia jkt na wengine wako katika majesh mbalimbali na idara mbalimbali za serikali walipataje hizo ajira
“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabey
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejesChwa vipi?
Uliwahi kuajiriwa jeshini?Kugoma ni UASI na hiyo kitu ni hatari..emu fikiria Mtu wa namna iyo unamuajiri Awe askari kamili...uyu anaweza kumsikiliza mkubwa wake?..
.na adhabu za kufanya mgomo jeshini kwa askari kamili iwe kukataa amri kutoka kwa mkuu wako adhabu yake uwa ni kufukuzwa jeshini, kufungwa na inategemea wapi umegoma muda mwingine adhabu huwa ni KIFO
Lakini hao sio wanajeshi awajaajiriwa.Kugoma ni UASI na hiyo kitu ni hatari..emu fikiria Mtu wa namna iyo unamuajiri Awe askari kamili...uyu anaweza kumsikiliza mkubwa wake?..
.na adhabu za kufanya mgomo jeshini kwa askari kamili iwe kukataa amri kutoka kwa mkuu wako adhabu yake uwa ni kufukuzwa jeshini, kufungwa na inategemea wapi umegoma muda mwingine adhabu huwa ni KIFO
Baada ya kuwatumisha bila malipo kwenye ujenzi leo wamekuwa waasi?Orodha na majina ya hao waasi iko wapi ili watanzania wawe makini nao
Kiapo kinasemaje bro?Uliwahi kuajiriwa jeshini?
Kama hukuwahi nyamaza tu
Kuna watu wanaonewa na wakubwa wao mpaka mtu anakosa uvumilivu anakoki silaha jeshi lisikie kwa watu, kama upo huko basi uko position ya juu huonewi ndio maana uko comfortable