mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Inasemekana walipelekwa msata kupiga kwata la maana baada ya hapo wakaomba warud majumban kwao wale wabishi walipelekwa ngelengele kwa wale jamaa wa kuvuta magari kwa menoKama waliandamana baada ya kugeukwa, hiyo ni sahihi kabisa.
Hata hivyo, ndio wajifunze kuwa CCM sio wema.