devinyo1987
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 268
- 370
Habar wana jf .... napenda kuwakumbusha wenzangu na mimi wanaopenda jeshi...wakae wakijua jkt hakuna ajira....kuna mdogo wangu katoka kambini karud nyumbani kachakaaa analia hapa ....japo mwanzoni nilimkataza asiende.....ajira jkt ni bahat tu ..kule ni kujifunza ukakamavu na misoto