Ni orodha ya zamani si ya juzi wala jana!..2016?
..ina maana ni orodha iliyoandaliwa na watu wa JK?
..au watu wa mwanzo wa utawala wa Jpm kabla hali ya hewa haijachafuka?
Fakenews,lakini wamlipe Lisu haki zake..hatutaki dhulma
Umebandika nini?Tangazo la Majina ya Watumishi wa Umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo ya Mishahara baada ya Uhakiki
Link: Ministry of Finance and Planning - Tangazo la Majina ya Watumishi wa Umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo ya Mishahara baada ya Uhakiki
Rudi Tanzania jaza then SEPA..Mimi sikulipwa malipo yangu wakati naondoka UDSM; ngoja haya yaishe kwanza nije na mimi niliamshe langu. Tupo wengi wa namna hiyo kuwa tulipoondoka kwenda kufanya kazi nchi za nje tukanyimwa mafao yetu. Hii ilitokea katika awamu zote za utawala Tanzania; ninachojali sasa hivi ni ile riba yake itakuwa ya kutosha kununua kiwanja zile zilizo ngumu kugusika
kama kuna hao wengine unasemaje lissu akitaka kudhulumiwa!!!Hoja ya Mwandishi ni kwamba Mhe Tundu Lissu amelipwa na Samia baada ya kudhulumiwa na Magufuli sasa wewe unataka kufosi tuwajadili na hao wengine waliolipwa basi anzisha Uzi kuhusu hao jamaa hakuna mtu anaekukataza na tutakuja kuchangia.
Sijabandika chochote ila nimesogeza dirisha wengine wachungulie ndani kwa ukamilifu kujiridhisha kutokana na ubishani unaoendelea ukiwa miongoni mwao.Umebandika nini?
Weka link hapa Watu tuaminiWamelipa bro..
Idara yangu wamelipwa wa 3.
Ofisi nzima (wilaya) wamelipwa kibaooo
#YNWA
Msaliti hawezi kulipwa,..2016?
..ina maana ni orodha iliyoandaliwa na watu wa JK?
..au watu wa mwanzo wa utawala wa Jpm kabla hali ya hewa haijachafuka?
Hamna kitu msaliti hawezi kulipwaSijabandika chochote ila nimesogeza dirisha wengine wachungulie ndani kwa ukamilifu kujiridhisha kutokana na ubishani unaoendelea ukiwa miongoni mwao.
Kwani wewe umeona nimefanya nini?
Acha Kudhulumiwa Lissu alitaka kuuwawa lakini Mungu akakataa ndio maana tunatoa Pongezi zetu kwa Raisi Bi Samia Suluhuunasemaje lissu akitaka kudhulumiwa!!!
Kwa hiyo orodha ya majina ya watumishi wa umma wapatao 27,389 kwenye mkeka wa pdf ya kurasa 376 mmeutoa wa nini na kubandika kwenye tovuti ya wizara ya fedha?Hamna kitu msaliti hawezi kulipwaView attachment 1828713
Fuckin and stupid postSijabandika chochote ila nimesogeza dirisha wengine wachungulie ndani kwa ukamilifu kujiridhisha kutokana na ubishani unaoendelea ukiwa miongoni mwao.
Kwani wewe umeona nimefanya nini?
ohoo[emoji848][emoji848]
[emoji12][emoji12][emoji12]Acha Kudhulumiwa Lissu alitaka kuuwawa lakini Mungu akakataa ndio maana tunatoa Pongezi zetu kwa Raisi Bi Samia Suluhu
Watanzania kwa matango pori wako vzuri...[emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12][emoji12]View attachment 1828723
Umeshaambiwa hiyo ni orodha ya toka 2016!Kwa hiyo orodha ya majina ya watumishi wa umma wapatao 27,389 kwenye mkeka wa pdf ya kurasa 376 mmeutoa wa nini na kubandika kwenye tovuti ya wizara ya fedha?
Majina ya akina Peter Msigwa , Ridhiwani Jakaya Kikwete, pia wamo, je, hao nao walikuwa wanadai kitu gani?
So...unafurahia Tundu Lissu kidhulumiwa?[emoji12][emoji12][emoji12]View attachment 1828723
Nimeamini Mungu hujib maombi kwa wakati muafaka kabisaDikteta alikuwa shetani bora alitangulia,sasa tunaishi kwa raha na mstarehe
Kwa hiyo ni stahiki ya ubunge kati ya 2015-2020?Kwa hiyo orodha ya majina ya watumishi wa umma wapatao 27,389 kwenye mkeka wa pdf ya kurasa 376 mmeutoa wa nini na kubandika kwenye tovuti ya wizara ya fedha?
Majina ya akina Peter Msigwa , Ridhiwani Jakaya Kikwete, pia wamo, je, hao nao walikuwa wanadai kitu gani?