Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Katiba yetu ni ya kipumbavu sanaBunge la nn wakati yeye anapewa masurufu ambayo ni 80% ya anayoyapata Tulia??
Yaani Ndugai anashinda amelala lkn ,anapata 80% ya fedha yote anayosotea Tulia.
Mzee wa Galilaya
Wanaosali hapo siyo Wakristo.. Wakristo wengi ni Wapelestina na wapo Bethlehem ambayo imo ndani ya Palestina. Wayahudi sio Wakristo.Mungu amrehemu na sasa aanze upya na Bwana Yesu Kristo.
Labda weweAnamlilia Mungu ili nchi yetu isipigwe mnada.
Ndugai, soon ataibuka mshindi ktk hii battle.
Mungu huabudiwa na wenye dhambi mkuuSijui ameenda kumwabudu Mu gu yupi?
[emoji56][emoji56][emoji56]Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo ndio kaperinaumu..
Nani kamruhusu kuvaa hiyo kofia ya Rabbi?
Hata mimi ningezurula ulimwenguni aiseeππππBunge la nn wakati yeye anapewa masurufu ambayo ni 80% ya anayoyapata Tulia??
Yaani Ndugai anashinda amelala lkn ,anapata 80% ya fedha yote anayosotea Tulia.
Arudishe bil.8 yetu ya matibabu ndio aendelee na show off za huko alikoenda..
ππ€£π ππππππππ€£π ππππHapo ndio kaperinaumu..
Nani kamruhusu kuvaa hiyo kofia ya Rabbi?
Badala atubu anahangaika tu. Alishindwa kutenda haki sasa anaitafuta kwa waebraniaKumbe Ndugai ni myahudi?
Hivi Vatican ndio walituletea jpm?Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
asipotubu ni sawa na utalii tuJamaa mjanja. Kaenda kufuata baraka. Jamaa nimeanza kumkubali. Dhambi zake zote zimesamehewa. Nami natamani ningepata iyo fursa. Yani jamaa kabahatika kuwa kama myahudi. Kumbe inawezekana ukawa myahudi.
Hongera sana Job.
STRUGGLE MAN Bwana Utam
Documents za serikali zenye mhuri wa Siri haziwekwi hazarani..Tuwekee hapa documents kuthibitisha madai yako. Pimbi mkubwa.
Weka hapa invoice ya bil nane aliyolipia matibabu
Mungu nayemjua mimi anasem Atendaye dhambi ni wa shetaniMungu huabudiwa na wenye dhambi mkuu