sasa una madeni gari unaloo why usiuzee??? au halikuwa lakeNajua ndugu yangu?mi mwenyewe nimeshangaa japo hajaongea kiuwazi sana,anasema Kuna mshkaji wao mwingine alimwambie asiwe anabaki nyumbani awe anaenda kushindashinda ofisini kwake ndio walikubaliana aanze kwenda Leo j5
Ili nije kuwa na meno kama karanga zilizokaangwa na mchanga?Ipo siku mtaingia Moshi kwa visa
Nyau nyie
Huyo hakujirusha Bali alikuwa mcheza michezo ya kuruka majengo marefu.Siku hyo mambo yalimkataa ndo akajibamiza kwenye tank la maji akafa.Kuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Kuna kitu moyo wangu unasita kukikubaliMoyo unanigomea kuwa kajirusha.
Ikisomeka kuanguka kutoka ghorofani itamheshimisha marehemu.
Mshana pata picha ya upekee wa eneo lile
Kawaida tu mbona tunajirushaga kwaanzia ya 20 huko na hakuna chochote kinatokea. Sema siku yako ikifika tu. Kuna watu wanajirushaga kima cha joti na wanakufaNajaribu kujiuliza HV GHOROFA YA 15 UKIANGALIA CHINI UNAWEZA KUJIRUSHA KWELI!!!! AU WANAOJIRUSHA HAWAANGALII CHINI MAANA PANATISHA AISEE
Najua ndugu yangu?mi mwenyewe nimeshangaa japo hajaongea kiuwazi sana,anasema Kuna mshkaji wao mwingine alimwambie asiwe anabaki nyumbani awe anaenda kushindashinda ofisini kwake ndio walikubaliana aanze kwenda Leo j5
Nimekuelewa kaka....ilikuwa ni hatma yake,kafaulu mtihani wake,bado sisi tuliobakiSanaa ya kifo
Hii ni habari ngeni kabisa kwa wale watakaobahatika kusoma hii mada na pia wale wenye kupenda kujifunza vitu vipya ni sanaa ya kifo katika uhalisia wetu bila kuchanganya na doctrines za kiimani na kiasili. Kwenye mada nyingi tumeona uhayawani wa mwanadamu tumeona kwa sehemu kubwa jinsi kiumbe...www.jamiiforums.com
Sanaa ya kifo
Yaani haya mambo haya ni magumu kuyaelewa...jumapili nasikia Kuna mshikaji huko kanisani kwamba avumilie kidogo atamlipa tu..j3 likatokea jambosasa una madeni gari unaloo why usiuzee??? au halikuwa lake
Kila mtu ana kiwango cha kuhimili matatizo na hizi ni changamoto tu za maisha hata mimi na wewe as long as tunapumua bado hatuna haki ya kusema hatuwezi kufikia hali ya jamaa muhimu tusali sana Mungu atuepushe.madeni ndo unajiuaa???
Joel hakuwa na madeni bali alipitia changamoto za kiafya.Rafiki yake Sam Sasali alikuwa anaongea hapa clouds 360,kwamba mshikaji alikuwa anapitia changamoto flan za maisha,alishazingumza na rafiki zake ni kama alikuwa na madeni hivi
Okay,mi ninaongea nilimvyomsikia Sam Sasali alijinasibu kwamba Joel ni rafiki yake wa karibu......Sasa Kama na wewe pia ni mtu wako wa karibu unaweza kutuhabarisha ZaidiJoel hakuwa na madeni bali alipitia changamoto za kiafya.
Kweli binadamu timetofautiana uwezo wa kuhandle issuesKila mtu ana kiwango cha kuhimili matatizo na hizi ni changamoto tu za maisha hata mimi na wewe as long as tunapumua bado hatuna haki ya kusema hatuwezi kufikia hali ya jamaa muhimu tusali sana Mungu atuepushe.
Mimi namjua jamaa alikopa bank zaidi ya Tsh 200mill akaenda China kufunga mzigo akakutana na wahuni wakamnyoosha alipigwa cash yote akarudishwa bongo na ubalozi leo tupo nae mtaani hapa Kariakoo anapiga winga zake maisha yanaenda mwengine alikopa aendeleze biashara akaletewa mzigo mbovu akajinyonga,unaweza ukaona mmoja alikopa aanze biashara akapoteza akabaki normal huyu mwingine biashara alikuwa nayo tayari ila alipopoteza akajidhuru.
Ni vitu vya ajabu sana.
Alfajiri alikua anafanya Nini huko ghorofaniWazungu wakisema hatuna akili tusikatae tangu saa 11 mpaka saa 2 mnauangalia tu? Hamna vituo vya polisi? hospital?
Kweli kabisa mkuu havielezekii...!! kila tatizo lina uzito wake wa tofauti kwa kila mtuuu yani acha tu.Kila mtu ana kiwango cha kuhimili matatizo na hizi ni changamoto tu za maisha hata mimi na wewe as long as tunapumua bado hatuna haki ya kusema hatuwezi kufikia hali ya jamaa muhimu tusali sana Mungu atuepushe.
Mimi namjua jamaa alikopa bank zaidi ya Tsh 200mill akaenda China kufunga mzigo akakutana na wahuni wakamnyoosha alipigwa cash yote akarudishwa bongo na ubalozi leo tupo nae mtaani hapa Kariakoo anapiga winga zake maisha yanaenda mwengine alikopa aendeleze biashara akaletewa mzigo mbovu akajinyonga,unaweza ukaona mmoja alikopa aanze biashara akapoteza akabaki normal huyu mwingine biashara alikuwa nayo tayari ila alipopoteza akajidhuru.
Ni vitu vya ajabu sana.
daah inasikitisha sana mkuu..Yaani haya mambo haya ni magumu kuyaelewa...jumapili nasikia Kuna mshikaji huko kanisani kwamba avumilie kidogo atamlipa tu..j3 likatokea jambo