Genius wa nn?Jamaa Genius aliwahi kuwa TO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genius wa nn?Jamaa Genius aliwahi kuwa TO
Kwani tunaposema mtu fulani ni Genius huwa anakawa jiniaz wa nini? Neno Genius limebeba vitu vingi sana kwa mtu makiniGenius wa nn?
Kamuulize mamako. Mimi na baba yako wa kambo.Dada kuna haja ya kutukana?
Nasikia baba yako ni shoga anapumuliwa kwa nyumaaKamuulize mamako. Mimi na baba yako wa kambo.
Joel hahitaji uDC au uDED kwa ukwasi alionao na akili aliyonayo. Huyu alikuwa best student wa Mwaka wangu 2002-O level na form six 2005 pia alinyosha AAA.Huyo mpatie U DC au DED ndo utajua kama ni great thinker au ni wale wale wa jalalani.
copy na wewe uone kama utafanikiwathink tank ya ku-copy
Alikuwa Tanzania 2 kama sikosei mwaka 2002 akitokea kibaha TO wa mwaka huo alikuwa MOSSES MWIZARUBI toka ILBORU
vitabu vyake tu ni pesa ndefu tena ni passive incomeJoel hahitaji uDC au uDED kwa ukwasi alionao na akili aliyonayo. Huyu alikuwa best student wa Mwaka wangu 2002-O level na form six 2005 pia alinyosha AAA.
Ndo uvitaje Sasa?Kwani tunaposema mtu fulani ni Genius huwa anakawa jiniaz wa nini? Neno Genius limebeba vitu vingi sana kwa mtu makini
Motivational speakers wa mwanzoni walishika shika hela. Mwaka 2011 Shigongo akishirikiana na James Mwangamba aliandaa mkutano Sheikh Amri Abeid Arusha na watu walilipa wengi kiingilio. Ila kwa sasa wananchi wameshtuka na kukataa hizo mambo. James akipost kwenye page yake hakuna mtu ana-comment tofauti na mwanzoni. Huyo Nanauka alisoma BCom ambapo kwa mwaka aliomaliza 2008 angepata kazi kirahisi na huenda hadi muda huu angekuwa mbali sana kama mhasibu. Motivational speaking hailipi. Kwa sasa kuna trend ya hawa wanaojifanya wataalamu wa afya. Unakuta mtu anajiita Dr kabisa. Nao pia wapige hela za wajinga haraka haraka kabla hawajashtuka.
Umeambiwa hajawahi kuwa Tanzania one (TO) mwaka wake TO alikua Mwizarubi.copy na wewe uone kama utafanikiwa
una uhakika unaweza kucopy nyimbo za mondi kama zilivyo?
huko kucopy pia ni kipaji na ndio maana aliweza kuwa best student O level
wewe sijui hata kama umewahi kuwa best shuleni kwenu
Acheni kumpamba huyo jamaa wa kawaida Sana. Anaweza ku-pull crowd nchi za watu akaeleweka? Au akikusanya wafanyakazi wa Halmashauri Buhigwe huko unamuhesabia tayari amefanikiwa?Nanauka baada ya kumaliza chuo unajua amefanya Kazi wapi na wapi
Yule alikuwa UNICEF
Ukisema PESA sijui Kama unaweza mfananisha na waajiriwa wa bongo
Nanauka unajua analipwa sh . ngapi ili kuzungumza ?
Usiongee mambo kui-mpress Nanauka yupo hatua za juu Sana now
kwa idea yako hii maana yake hamna haja ya watu hata kwenda vyuoniKabisa mkuu.
Wabongo wavivu sana kusoma vitabu afu muhuni mmoja akitokea akasoma soma vitabu na kupiga suti na moka kali akaanza kuwapa speech basi wanaona anajua kila kitu.
In this era of science and technology mambo ni rahisi sana kila mtu anaweza kujua chochote atakacho kwa intaneti tu, si lazima mtu aje akwambie kwa kukupa speech.
Tatizo wabongo hizo intaneti wanatumia kufuatilia simba na Yanga Zuchu& Diamond na udaku udaku tu.
mjinga sana wewe, sasa maarifa yanatoka wapi ?Zamani nilikuwa namsikiliza,ila tokea nilipoanza kusoma vitabu nimepoteza interest kabisa ya kumsikiliza huyo mwamba,naona hana jipya,kumbe ni maarifa ya vitabuni.
Hongera kwake kwa kuwa msomaji mzuri.
Acheni kumpamba huyo jamaa wa kawaida Sana. Anaweza ku-pull crowd nchi za watu akaeleweka? Au akikusanya wafanyakazi wa Halmashauri Buhigwe huko unamuhesabia tayari amefanikiwa?
kuongoza hata somo moja tu kitaifa unadhani ni rahisi?Sema jamaa naye anadanganyaga watu kuwa alikuwa best student kitaifa o - level wakati aliongoza tu baadhi ya masomo. Motivational speaker kuwa mwongo haipendezi.
kuongoza hata somo moja tu kitaifa unadhani ni rahisi?
kwanza miaka hiyo kupata A flat si mchezo lazima uwe fit kichwani
ukitaka kujua anachofanya si rahisi, anza kufanya mtaani kwako uone kama watu hawajaanza kukuita tapeliAcheni kumpamba huyo jamaa wa kawaida Sana. Anaweza ku-pull crowd nchi za watu akaeleweka? Au akikusanya wafanyakazi wa Halmashauri Buhigwe huko unamuhesabia tayari amefanikiwa?