Ila hela za posho wanazo.Cdm haina hela za kutoa kwa wanaccm, ccm ndio wanahela za kuhonga hovyo. Ukiona mwanaccm kaenda cdm ujue anatingisha kibiriti huko ccm, au huko ccm kafanyiziwa hivyo anaenda kujifariji cdm. Shida ya cdm hawagawani vyeo Bali majukumu, ila ccm unaenda kuuza Uhuru wako Ili uwe kwenye mbeleko ya kula cake ya taifa.
Politics at its best.Chadema haina tabia ya kuchezea pesa za walipakodi kununua watu kama mbuzi.
Wako wapi sasa?Lowassa, Nyalandu, Sumaye, n.k.
Eti chadema ichukue pesa za umma kumnunua mtu? Ana nini hasa huyo Mtu mbele ya Maslahi ya ummaChadema haina tabia ya kuchezea pesa za walipakodi kununua watu kama mbuzi.
Sio 5 tena?Mama anatosha 10 tena
Bila kumtaja Magufuli mwanasiasa unapotea na watu wanakusahau!
Mbona huna uwezo wa kujibu hoja? Nilitegemea tutapambana kwa hoja, kumbe mwenzangu mweupe kabisa. Lowasa alisema elimu!! Elimu!! Vijana wengi mnakosa uwezo wa hoja makini kwa kuwa hamna elimu!! Oh!! Mungu wangu taifa langu linaangamia kwa kukosa elimu!! Yaan huyo mwalimu wako Heche mwenye njaa kali, ya kupata pesa za ubunge anatunga uongo wa hovyo ili aonekane.Hufahamu nguvu na uwezo wa Heche, pita huko
Hakika. Mabaya yote ya jiwe mama anayaondosha.Mama anatosha 10 tena
Ndio maana vilipigwa marufuku lakini huko songwe mnavipata kutoka malawi!
Simtetei Magufuli, alichosema Heche hakipingani na tabia za Magufuli.Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Alisema mbona,shidamnaanza siasa hivi karibuni na hamtaki kuulizaAnatafuta kiki tu. Mbona hakuyasema haya alipokuwa hai? Atuthibitishie walau.
Nani kasema amepumzika? Mbona huko nasikia pia kuna marungu hukoWamuache Mzee wa watu alishapumzika 😔🙏
Kiki gani? Mbona Katambi, shonza, Waitara, Gekul, Mollel, Silinde, n.k walipewa uwaziri au unaibu waziri walipohamia CCM? sembuse Heche asingepewa?,Anatafuta kiki tu. Mbona hakuyasema haya alipokuwa hai? Atuthibitishie walau.
Waitara au Katambi wana uspecial gani? Mbona walipewa?Kwa uspesho gani alionao. Aache uongo na uzandiki. Heche waziri my foot!
Uongo gani? Kwani kina Katambi, silinde, Waitara n.k hawakupewa walipohamia CCM? Nitajie mwana CHADEMA mmoja tu aliyehamia CCM kipindi cha JPM na hakupewa cheo?Wataalamu wabobezi kwenye uongo Wanasema ukitaka kusema uongo singizia marehemu aliniambia
Mfano mimi mwenyewe Marehemu Lowassa aliniomba niwe mgombea uraisi wa Chadema nikakataa nilipokataa ndipo akaamua yeye mwenyewe kugombea ila ilimuuma sana mimi nilipokataa
Magufuli alikuwa ni shetani wa mashetani. Ndiye aliyesababisha tukawa na viongozi vilaza waliopo sasa hivi.Siamini mwanasiasa, kauli huwa ni kauli tu