John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

Wewe kama una akili sana si uondoke kwa shemj yako mnapolishwa na dada yako

Shog*" wewe
Mtoto wa malaya usiyejuwa baba yako umekariri matusi tu uliyofundishwa na mama yako malaya. Endelea kutukana, hakuna tusi jipya
 
Yale yale ya Ujinga wa Heche bila udhitibitisho. Unajitamkia tu kipumbavu. Tutadhibitisha VIP. Labda, nikwambie, na nikuondoe Ujinga, hapa dunia hauwez kuongea kitu bila udhitibitisho. Ukiongea bila udhitibitisho utaonekana poyoyo tu.
Udhibitisho wa mimi kuotesha miti kwani Kuna kesi, au unadhani hiyo miti yangu ni mali ya umma hivyo ninapaswa kutoa taarifa kwenye public domain? Punguza utoto dogo.
 
Udhibitisho wa mimi kuotesha miti kwani Kuna kesi, au unadhani hiyo miti yangu ni mali ya umma hivyo ninapaswa kutoa taarifa kwenye public domain? Punguza utoto dogo.
JF ni public domain. Watu wengi tu wanaangalia.
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Kwanini hakujitokeza na kuyasema haya akiwa hai ili naye apate nafasi ya kukanusha
 
Porojo tu hizo!

Huyo alivyoroporopo angekaa kimya muda wote huo bila kuropoka?

Yaani kampeni za uchaguzi 2020 zikaisha hajaongea jambo hilo?
 
Kwahiyo hiyo nilete taarifa hapa jf kwani project zangu ni umma? Unaongea utoto dogo?
Kama umepanda miti 5,000 ni umma tayari. Lete evidence zako hata picha na uandike ww ndie umepanda ili waje watu kukusuta.
 
Kama anao Uwezo huo Kikatiba kuna shida gani kuchukua the best kwenye Kazi fulani ?

Kwamba ukiwa Chadema au hauna Chama basi hauna mchango wa nchi yako ?
 
Kwanini hakujitokeza na kuyasema haya akiwa hai ili naye apate nafasi ya kukanusha
Mkuu umesahau kwamba Magufuli alikuwa anamiliki kikundi cha WASIOJULIKANA? Wanakuteka halafu wanakuua kama Ben Saanane
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Sasa kama alionekana na tija why asivutwe CCM.Kuitwa CCM sio inshu labda hapo kwenye ubunge
 
Anatafuta kiki tu. Mbona hakuyasema haya alipokuwa hai? Atuthibitishie walau.
Ona huyu...!!Unamjua Joshua Nasari?Unamjua Cecily Mwambe?Unamjua LIJUALIKALI?Unamjua Mtatiro Julius?Una mjua Moses Machari?
 
Mkuu umesahau kwamba Magufuli alikuwa anamiliki kikundi cha WASIOJULIKANA? Wanakuteka halafu wanakuua kama Ben Saanane
Basi Heche siyo Mura maana Zacharia aliwaonyesha uMura hawakurudia tena
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Do ..kama angemuhaidi isingepita week bila kutweet kule huo ni unafiki wa kiawqngo cha lami

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Mbona hakusema akiwa hai. Anatafuta huruma ili arudi bungeni. Kitaa kugumu [emoji23] [emoji23]
 
Wataalamu wabobezi kwenye uongo Wanasema ukitaka kusema uongo singizia marehemu aliniambia

Mfano mimi mwenyewe Marehemu Lowassa aliniomba niwe mgombea uraisi wa Chadema nikakataa nilipokataa ndipo akaamua yeye mwenyewe kugombea ila ilimuuma sana mimi nilipokataa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom