John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

Binafsi sijaelewa unatetea au kupinga kitu gani..

Hata hivyo nikuulize maswali kadhaa na tafadhali, be hosest to give us the honest answers..

1. Kwani kazi ya Jeshi la polisi ni nini kwa uelewa wako?

2. Je, siyo kulinda usalama wa raia na mali zao?

3. Je, siyo kuzuia uhalifu?

4. Je, siyo kuchunguza makosa ya uhalifu/jinai na kukamata wahalifu na kuwapeleka mahakamani na sheria kuchukua mkondo wake..?

5. Je, polisi wana mipaka au wanazuiwa kuchukua au kuchunguza baadhi ya watu/taasisi zinazoripotiwa kuwa zimefanya uhalifu/jinai..?

NOTE:

##Ukijibu maswali hayo yote, sasa unaweza kujibu swali hili muhimu na ambalo ndilo MSINGI WA HOJA YA MADA HII, kwamba;

1. MOSI; Ni sababu gani sensible zimelifanya Jeshi la polisi kushindwa kuchunguza tukio la kutekwa na kupigwa hadi karibu ya kufa kwa m/kiti huyo wa CHADEMA (w) lililo ripotiwa na yeye mwenyewe Dr W. P. Slaa [by then akiwa Katibu Mkuu - CHADEMA] na inasemekana kuwa ni CHADEMA wenyewe kuhusika..?

2. MBILI, ni sababu gani sensible ambazo zinaeleweka kwa wenye akili timamu zinazolifanya Jeshi la polisi kushindwa kuchunguza assassination attempt ya Tundu Lissu mwaka 2017...?

3. TATU, Je huoni kuwa kama ni INSIDE JOB ndani ya CHADEMA wenyewe ndiyo ilikuwa fursa ya kutumia matukio haya mawili makuu kuwachunguza na kuwa - pin-point wahusika kuweka mambo hadharani kukiwa na vivid evidences...?

4. NNE, watu wachache ndani ya taasisi mathalani vyama vya siasa, jeshi la polisi, UWT nk nk kutumiwa kufanya uhalifu/jinai na kuichafua taasisi, kwa mujibu kujieleza kwako hapo juu, Je hiyo yaweza kuwa justification ya polisi kushindwa kufanya uchunguzi ktk taasisi hizo ili kuikomesha tabia hiyo...?

##Kama mpaka hapa hujailewa hoja yangu, basi kalaghabhaho...!!
 
Tumepoteza uwezo wa kujibu hoja kisa mahaba kwa chama fulani, ni matusi na kejeli tu bila kugusa pointi ya msingi.

Tumefikaje huku?
 
Moumbavu ni mfu yule ambae husikia atakacho kusikia.

Dr Slaa Amefikia stage ambayo mimi naita mental retardation.

The curve is bending down.

Ukimsikiliza tu unagundua mzee ana depression.

Beware
 

Uliishi mtaa gani , Mimi nilikuwepo Kule miaka ya 80 s nikiishi Bergshamra
 
Hana hoja huyo padri mzinifu, si mlimchukua kaeni naye.

Zigo la misumari hilo.
 
Kuna clip inazunguka Dkt. Wilbrod Slaa akitngaza kuwa Chadema ni watesaji, wanatesa watu na Lissu ndio walimpiga risasi. Hii ni jinai, msikalie kimya mpelekeni Mahakamai athibishe anayo yasema.

Kila mtanzania atalipokea kivyake, wengine wataamini hivyo, hivyo siyo la kunyamazia. Ingelikuwa maneno ambayo hayahusishi jinai, ningelishauri kumpuuza.

Hili la Jinai msilikalie kimya!

Erythrocyte Mwanahabari Huru
 
Anataka Mama amkumbuke baada ya kumfurusha Ubalozi, nashauri @dr slaa akae kimya
 
Usianzishe vita mpya wakati una vita nyingine tena kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…