Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #81
Points kubwa mkuu... chukua 5 π€π€Sugu alisaidiwa sana na Mbowe kwenye hiyo Hotel yake ya Uzunguni ndio maana yupo upande wake wanasiasa wengi wanaangalia maslahi na si uzalendo wa Chama au Nchi..
Sugu ni msanii mwenzangu kitaalumaHabari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Binadam tumeumbwa tofauti kiufahamu, kiujuzi na kifikra.Unamfundisha Jongwe maisha ya siasa za upinzani??
Ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa..anayajua mengi kuliko wewe mleta mada.
Huenda amesoma alama za nyakati kwamba mbowe atatumia ubabe kuendelea na cheo lakini yeye hakutakiwa kuonyesha yuko upande wowote ili wananchi waone kweli wana Chadema wako serious na mabadiliko.Huwenda sugu amezisoma alama za nyakati ambazo wewe huzijui
Umeandika maneno ya msingi sana.Sugu huwa.rahisi sana kumjua nia yake ni mapato hakuna cha ziada.
Huu uchaguzi unakwenda kuiweka hadharani dhamira kuu ya wanachadema maslahi akina.sugu. mungai. Msigwa. Boni jacob.
Na chadema wazalendo wataka mabadiliko akina lissu. Mdude. Garatwa. Kamwe chadema haitabaki kama ilivyo. Na itapoteza uungwaji mkono mkubwa kuwahi kutokea.
Huo ni mtazamo wako mkuu na kuna wengine wana mtazamo tofauti na wakoHuenda amesoma alama za nyakati kwamba mbowe atatumia ubabe kuendelea na cheo lakini yeye hakutakiwa kuonyesha yuko upande wowote ili wananchi waone kweli wana Chadema wako serious na mabadiliko.
Lakini kitendo cha yeye kuonyesha uchawa kwa mwenyekiti inaonyesha wote ni machawa tu
Acha tusubiri kuona huo wizi utafanyikaje..π€£π€£π€£π€£π€£ Ukiona kilio kama hivi ujue dalili za kichapo si Huwa mnaona kwenye uchaguzi Mkuu? ππ
View: https://x.com/Jambotv_/status/1871291547112890842?t=D2A7gBNmwTzZMSwHbVwD8Q&s=19
Nimecheka mpaka nimebanja. Mshaurini msanii mwenzenu asije kupotea mazima siasani π€£π€£Sugu ni msanii mwenzangu kitaaluma
Empty set inamhusu sana kwenye kumfanyia grading
Perfect kabisa... Hebu ingia kwa mama sikujua umwambie akupe chai na chapati supu nakuja kulipa mchana π€£π€£Huenda amesoma alama za nyakati kwamba mbowe atatumia ubabe kuendelea na cheo lakini yeye hakutakiwa kuonyesha yuko upande wowote ili wananchi waone kweli wana Chadema wako serious na mabadiliko.
Lakini kitendo cha yeye kuonyesha uchawa kwa mwenyekiti inaonyesha wote ni machawa tu
Sugu unamuwazia uwaziri?Habari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Naam Mkuu katata galasa la mboji!!π€£π€£π π π€Έπ€ΈYani kama karata basi Sugu kalamba galasa la mavi π€£π€£π€£
Kamanda uchwara kalambishwa mchanga π€£π€£π€£Naam Mkuu katata galasa la mboji!!π€£π€£π π π€Έπ€Έ
Anaweza kupewa pande la muda kama shukran ya kujiunga na chama, alaf baadae anaachwa aendelee na maisha yake π€£π€£π€£Sugu unamuwazia uwaziri?
Form four failure kamwe hawezi ingia baraza la mawaziri Mwana Fa shule ipo kichwani ana MSC ππ
Wewe ungekuwa ndio Sugu ungekataa Pesa mkuu?Habari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
atalinda kura zakeSifikirii Kama TAL anaweza kutoboa japo inawezekana Ila sifikirii kuhusu hilo swala kutokea.
unatia huruma yaani umekuwa mnyonge sana kwakaulizilizokosa matumaini mbowe naondoka mmewako sijui itakuwaje lissu humuweziUchaguzi ni kampeni za pande zote, hawa wanasema mchague huyu wale wanasema mchague yule, wengine wanasema wakatae wote mchague wa kwetu, ndio Demokrasia hiyo, CCM hamkuzoea haya mambo, poleni sana
Mbona hoja zinazotolewa na viongoI wa chama kabisa zinakibomoa chama kuliko kukijenga mkuu, shida ni niniUchaguzi ni kampeni za pande zote, hawa wanasema mchague huyu wale wanasema mchague yule, wengine wanasema wakatae wote mchague wa kwetu, ndio Demokrasia hiyo, CCM hamkuzoea haya mambo, poleni sana
na watakao mchagua mdude ni watakuwa vichaa wenzieUchaguzi ujao Mdude Nyagali agombanie Ubunge wa Mbeya Mjini, Mdude hawezi kutekwa kupigwa kipigo cha kila aina, ili apige Ndege wawili kwa Jiwe moja Mdude anatakiwa aingie Mjengoni na kumuondoa huyo Spika arudi kulima Matikiti.
VIIVAA Mdude_Nyagali VIIVAA!!!
Angekula fedha alaf angejifanya amepata dharura ya ghafla ambayo imemfanya asifike mkutanoni π€£π€£π€£Wewe ungekuwa ndio Sugu ungekataa Pesa mkuu?
..............Acheni kuwalaumu hawa watu hakuna mbabe wa fedha.
.........