Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
CHADEMA walipaswa kumute tu baada ya kumess up. Sometimes siasa uchwara zinapaswa kuepukwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kumpa pole Lisu ajawahi Sasa nn kujipendekezaKwangu mimi hawakupaswa hata kwenda kwenye hiyo shughuli. Maana ukiacha Tundu Lisu ambaye amekuja jana. Toka jpil huo mwili uko hapo uwanjani, wangeweza kwenda kama walikuwa na nia ya kuaga kweli. Huyo Mkapa sijawahi kumuona kwenye msiba wa mwanacdm yoyote, kwanini wao cdm wahudhurie msiba wa mtu aliyekuwa anawafanyia hujuma za wazi?
Ganja noma, we unadhani wangetaka afe wale waliompa huduma ya kwanza walishindwa nn hata kumziba pua tu!!? Muwe mnajitambua,, acheni u.p o.y.o.y.oWalitaka apelekwe muhimbiri ndo wamalize mchezo tukastuka
Prof. Mwandosya muda wake katika siasa aliwafunda vijana Mbeya kuwa wasiwe wanafiki kwani haulipi! Sugu hawezi kuwa tofauti!!Hongera Sugu hii ina zidi kudhihilisha kuwa Mbeya hakuna unafiki
Unajua fika kuwa Nairobi asingefika kama Serikali ndiyo ulipanga kumuua. Baada yatukio, huduma ya kwanza, iliyokoa maisha yake, ilisimamiwa na viongozi wa juu wa Serikali.
CCM wakora, mnadukua account ya Sugu halafu mnapost ujinga wenu huko!Amefanya jambo jema sana,,Big Up kwake.
Ganja utakuwa unakula ww tu ..jiulize kwnn Dr Lusubisya aliyeokoa maisha ya Lissu mpk leo hayuko kzn ?? Tunajua mengi kuliko unavyodhani ...Ganja noma, we unadhani wangetaka afe wale waliompa huduma ya kwanza walishindwa nn hata kumziba pua tu!!? Muwe mnajitambua,, acheni u.p o.y.o.y.o
Kweli kabisa na tukumbuke kua mtawala anaweza akatukana watu ata kusema funga au poteza huyo....Ila nae mwisho anachimbiwa kaburiSafi huu ndo uzalendo! Tusichukulie kila kitu ni siasa... Huu ni msiba wa kiongozi mkubwa katika taifa letu!! Rest easy mzee Mkapa
Hata kumpa pole Lisu ajawahi Sasa nn kujipendekeza
Wewe unajua nini wewe!! Dereva wa Lissu yuko wapi?Ganja utakuwa unakula ww tu ..jiulize kwnn Dr Lusubisya aliyeokoa maisha ya Lissu mpk leo hayuko kzn ?? Tunajua mengi kuliko unavyodhani ...
Kwani akaunti haiwezi kudukuliwa? you must be nuts!Vikiwa vya moto ni mwendo wa kukana, pamoja na kaka Sugu kuamua kuwa muungwana timu ya wahafidhina imeamua kukaza. Adai alikuwa na Mbilinyi leo na akauti yake ikadukuliwa, akaamua kukaa kimya mpaka mdukuzi alipotoa ujumbe.
Jibu lake unalo kwa kuwa mnaamini kila mtendaji wa Serikali ni CCM. Ni kwa sababu hiyo mnadai Tume huru ya Uchaguzi!Kwani huko serikalini kila mtu anashiriki uovu?
Uponyaji ukawe kwakoHiyoo account Na wasi wasi nayo.
Anatakiwa akatoe maelezo polisi sio kupiga faru john tuUtakuwa una wazimu kichwani mwako ww..Jana hujamuona? Au uko mbwinde
Hoja yenye harufu ya ubinafsi na nia ya kulipiza kisasiNaona hujaelewa nilicho kiandika au umeamua makusudi kulikwepa.
Nimesema hivi:- wabunge wenu walikatazwa kwenda kumjulia hali mh Lissu pale Nairobi hospital.
Inakuwaje leo hii mnalialia? Ina maana uhai wa mh Lissu hauna tag hamani kwenu?
mimi red ni red black ni black. huwa sichotwi na mahaba.Hahahhaha... Kama kawaida yenu mnaenda beat
Mkuu Jana hatujatafutana pale makao kwenye mshike mshike wa mapokez
Huo ndiyo ukweli tuwache kudanganyanaHata kumpa pole Lisu ajawahi Sasa nn kujipendekeza