Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

mimi red ni red black ni black. huwa sichotwi na mahaba.
Mzee wa mahaba na chadema leo umejitoa ufahamu hizi siasa zenu ndio zinazowaharibu nakuonekana Ni kikundi Cha wahuni mbele za watu makini.Binafsi namshukuru Mungu sijawa kwenye ushabiki wa vyama venu hiv vya kipuuzi.
 
Yani huku kuna watu wana akili ndogo kama maisha ya funza (Hasa wafuasi wa Magufuli) Mnakaa mnabishania tweet ambayo imetoka kwenye akaunti isiyo verified account! Muwe mnatumia akili zaidi ya kujichosha bure. Ndiyo maana mnapelekwa pelekwa kijinga!
 
Hiyoo account Na wasi wasi nayo.
Joseph
Screenshot_20200728-182350_Twitter.jpg
 
Mbona unafosi utajuaje sugu ndo amemweleza kuwa kadukuliwa au umeamua tu kukata mauno hapa kujitoa ufahamu
Amweleze ili iweje, Kwa nini asikanushe yeye?

Ile ni Account yake binafs, kwani anachotaka kukiandika mpaka amshirikishe Lema?

Unatetea ujinga wewe
 
Unajua maana ya kudukuliwa?ina maana account haipo mikononi mwake sahizi hana access ,ipo kwa aliyedukua ,kitu gani huelewi hapo
Amweleze ili iweje, Kwa nini asikanushe yeye?

Ile ni Account yake binafs, kwani anachotaka kukiandika mpaka amshirikishe Lema?

Unatetea ujinga wewe
 
Hakuna kulazimishana maana kila mtu na chaguo lake
Imeshatoka hiyooo mwandishi wewe.. vizuri sana kwa kukubali ni yake.. bamemutisha.. amemwacha adanganye.. hii kudukuliwa ni uongo.. hamuna jipya... munatia aibu upinzani
 
Back
Top Bottom