Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema Ni kawaida yao kutafuta Kiki kwa pikipikiKumbe walichelewa ?Sasa kwa nini wanabweka kama mambwa kuwa wamezuia ?Au ndo kama ya Mbowe kuvamiwa kumbe kala mzinga kisa mzinga wa Konyagi.
Kwa hili nitamuheshimu sugu..Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho
Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa
Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika
Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Account yako imeingiliwa?Hapo hakuna cha kitanzi wala nini, nyinyi mbona alipo pigwa risasi mh Lissu hamkwenda kumjulia hali pale Nairobi?
Kumbe mkuki ni kwa nguruwe siyo? Mkianza wenzenu wanamaliza! Wacheni kulia lia
Wanafikiri watanzania Wana akili fupi Kama urefu wa Steve nyerere Chadema waache Kiki zitawaua.Uongo.Ni Sugu kabisa,sema wakubwa hawajakubaliana nae alivyoandika. Sisi sio vilaza kama kina Zitto mliowanyanganya laptop kulimokuwa na waraka.
Sawa sawa mkuu.. safari njemaAisee kweli lkn yote 9 tu kwani tulikuwa kwenye kilele cha furaha hasa makao makuu baada ya mh Lissu kuhutubia kidogo.
Tutatafutana mkuu leo nimeamka na safari ya kwenda ikungi singida kidogo.
Ili iweje?Kabisa, inatakiwa kila mtu azike mtu wake, hamna cha umoja wa kinafiki.
Account fake imedukuliwa nyie mnajitekenya na kucheka wenyewe..Hahahahaha Sugu amewapa za uso hakika lazima waseme amedukuliwa!
Jibu lake unalo kwa kuwa mnaamini kila mtendaji wa Serikali ni CCM. Ni kwa sababu hiyo mnadai Tume huru ya Uchaguzi!
Ili iweje?
Sasa mbona ulikuwa unaharisha kwenye ule uzi asubuhi. Sio lazima uongee kila muda.Hakuna binadamu aliye sahihi, hajazaliwa bado
Samahani umemaanisha nini mkuu.?Siyo kufahamu sema umeona alicho kiandika? Maana wakati anaandika huo ujumbe tulikuwa wote.
Na hapa piah. Umemaanisha nini?Wacheni uhuni wenu wa kijinga, yaani mnadukua account ya mtu kisa mjifiche kwenye kivuli cha uogo? View attachment 1519661
Asha kanusha iyo taarifaProf. Mwandosya muda wake katika siasa aliwafunda vijana Mbeya kuwa wasiwe wanafiki kwani haulipi! Sugu hawezi kuwa tofauti!!
Kwa hiyo yeye lema, Akiwa naye ndo hawezi kuandika ukweli?