Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Kumbe walichelewa ?Sasa kwa nini wanabweka kama mambwa kuwa wamezuia ?Au ndo kama ya Mbowe kuvamiwa kumbe kala mzinga kisa mzinga wa Konyagi.
Chadema Ni kawaida yao kutafuta Kiki kwa pikipiki
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Kwa hili nitamuheshimu sugu..
 
Hapo hakuna cha kitanzi wala nini, nyinyi mbona alipo pigwa risasi mh Lissu hamkwenda kumjulia hali pale Nairobi?

Kumbe mkuki ni kwa nguruwe siyo? Mkianza wenzenu wanamaliza! Wacheni kulia lia
Account yako imeingiliwa?
Mbona comment zako ni za kijinga Sana!
 
Uongo.Ni Sugu kabisa,sema wakubwa hawajakubaliana nae alivyoandika. Sisi sio vilaza kama kina Zitto mliowanyanganya laptop kulimokuwa na waraka.
Wanafikiri watanzania Wana akili fupi Kama urefu wa Steve nyerere Chadema waache Kiki zitawaua.
 
Aisee kweli lkn yote 9 tu kwani tulikuwa kwenye kilele cha furaha hasa makao makuu baada ya mh Lissu kuhutubia kidogo.

Tutatafutana mkuu leo nimeamka na safari ya kwenda ikungi singida kidogo.
Sawa sawa mkuu.. safari njema
 
Wavivu wa kuingiza Twitter na msiojua Twitter hapo mnasemaje?
Screenshot_20200728-180517.jpg
 
Jibu lake unalo kwa kuwa mnaamini kila mtendaji wa Serikali ni CCM. Ni kwa sababu hiyo mnadai Tume huru ya Uchaguzi!

Asilimia kubwa ni wanaccm huko serikalini, hata huko ccm sio kila mmoja ni ibilisi. Tunadai tume huru ya uchaguzi, kwakuwa hii iliyopo inateuliwa na rais, na inatii matokeo atakayo rais.
 
Back
Top Bottom