Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

CHADEMA walipaswa kumute tu baada ya kumess up. Sometimes siasa uchwara zinapaswa kuepukwa
 
Hata kumpa pole Lisu ajawahi Sasa nn kujipendekeza
 
Walitaka apelekwe muhimbiri ndo wamalize mchezo tukastuka
Ganja noma, we unadhani wangetaka afe wale waliompa huduma ya kwanza walishindwa nn hata kumziba pua tu!!? Muwe mnajitambua,, acheni u.p o.y.o.y.o
 
Hongera Sugu hii ina zidi kudhihilisha kuwa Mbeya hakuna unafiki
Prof. Mwandosya muda wake katika siasa aliwafunda vijana Mbeya kuwa wasiwe wanafiki kwani haulipi! Sugu hawezi kuwa tofauti!!
 
Ganja noma, we unadhani wangetaka afe wale waliompa huduma ya kwanza walishindwa nn hata kumziba pua tu!!? Muwe mnajitambua,, acheni u.p o.y.o.y.o
Ganja utakuwa unakula ww tu ..jiulize kwnn Dr Lusubisya aliyeokoa maisha ya Lissu mpk leo hayuko kzn ?? Tunajua mengi kuliko unavyodhani ...
 
Safi huu ndo uzalendo! Tusichukulie kila kitu ni siasa... Huu ni msiba wa kiongozi mkubwa katika taifa letu!! Rest easy mzee Mkapa
Kweli kabisa na tukumbuke kua mtawala anaweza akatukana watu ata kusema funga au poteza huyo....Ila nae mwisho anachimbiwa kaburi
 
Vikiwa vya moto ni mwendo wa kukana, pamoja na kaka Sugu kuamua kuwa muungwana timu ya wahafidhina imeamua kukaza. Adai alikuwa na Mbilinyi leo na akauti yake ikadukuliwa, akaamua kukaa kimya mpaka mdukuzi alipotoa ujumbe.

Kwani akaunti haiwezi kudukuliwa? you must be nuts!
 
Kwani huko serikalini kila mtu anashiriki uovu?
Jibu lake unalo kwa kuwa mnaamini kila mtendaji wa Serikali ni CCM. Ni kwa sababu hiyo mnadai Tume huru ya Uchaguzi!
 
Naona hujaelewa nilicho kiandika au umeamua makusudi kulikwepa.

Nimesema hivi:- wabunge wenu walikatazwa kwenda kumjulia hali mh Lissu pale Nairobi hospital.

Inakuwaje leo hii mnalialia? Ina maana uhai wa mh Lissu hauna tag hamani kwenu?
Hoja yenye harufu ya ubinafsi na nia ya kulipiza kisasi
 
Aisee kweli lkn yote 9 tu kwani tulikuwa kwenye kilele cha furaha hasa makao makuu baada ya mh Lissu kuhutubia kidogo.

Tutatafutana mkuu leo nimeamka na safari ya kwenda ikungi singida kidogo.
Mkuu Jana hatujatafutana pale makao kwenye mshike mshike wa mapokez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…