Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Atleast wangemdukua Mdee, Lema, Lissu hata Mbowe, TISS mbona mnanitia aibu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
fuatilia uzi husika utapata ufafanuzi wote.


Wewe ndio ulioweka hiyo post kwamba Sugu amekanusha, lkn umeweka kukanusha kwake kwa kutumia njia ile ile ambayo mnasema mwanzoni alidukuliwa, sasa tutajuaje kama hiyo ya kukanusha haijadukuliwa pia?
 
Wewe ndio ulioweka hiyo post kwamba Sugu amekanusha, lkn umeweka kukanusha kwake kwa kutumia njia ile ile ambayo mnasema mwanzoni alidukuliwa, sasa tutajuaje kama hiyo ya kukanusha haijadukuliwa pia?
hii ni Instagram. iliyodukuliwa ni Twitter
 
Habari wadau
Baada ya Mh Sugu kusema ukwel kua walichelewa kwenye Msiba Japo Chama Cha chadema kilikua kimesha Tangaza kua Viongozi wao wameziwiliwa kuingia Msiban na kuitaka Serikal itole ufafanuzi

Chadema wameonyeshwa kuto kupendezwa na ukwel alio ongea Sugu kua chadema walishindwa kuingia Msiban kwa Sababu ya wao kufika kwa kuchelewa na si kwasababu waliziwiwa

Chama Cha chadema kimepanga kesho kuita waandish wa Habari ili kukanusha kua walichelewa na kwamba account Ile ya Twitter ya Mh Sugu imedukuliwa na Anae iendesha ni Mtu mwingine

My take

Ningependa kuwashaur chadema kua siasa wanazo taka kufanya now wanaweza kuona zina faida lakini baadae zitakua Mbaya Sana
Mungu awatangulie
Napenda nimpongeze Sugu
Ujanja wa Chadema unaishiaga hapa Jf......huko kwingine wanafeli sana!
 
Naona cdm inawatoa vidonda vya koo, na hapo bado maana mziki ndiyo kwanza fundi mitambo anaadaa show yenyewe.

Subirini kampeini zianze ndiyo mtakoma kudadadeeeki
Zamani enzi za dr. Slaa vijana wa chadema walikuwa wanawajambisha ccm kwa kudukua dukua account za viongozi namna hiyo lakini siku hizi ccm ndio inawajambisha chadema, yani chadema siku hizi wanaishi kwa hofu kwamba lolote la weza kutokea hasa kwa viongozi wao kusaliti kambi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nawe nakukwongeza hizi.. [emoji382][emoji382][emoji382][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Jana na leo [emoji1437][emoji1437][emoji1437]
Nakuona hapo unavyo isubiria sindano ikuingie maungoni
tapatalk_1492528511516.jpeg
 
Nikweli ccm siku hizi mnaweza kufanya lolote kama mlivyo fanya mengi tu
Zamani enzi za dr. Slaa vijana wa chadema walikuwa wanawajambisha ccm kwa kudukua dukua account za viongozi namna hiyo lakini siku hizi ccm ndio inawajambisha chadema, yani chadema siku hizi wanaishi kwa hofu kwamba lolote la weza kutokea hasa kwa viongozi wao kusaliti kambi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwanini Lema anamsemea Sugu?

Sugu mwenyewe ajitokeze kukanusha kama ni uongo.
 
Upinzani usipobadilika basi wale waovu watapata sababu ya kutawala muda mrefu sana!!
 
Hapana sidhan kama hio kitu inamake sense mkuu. Ni kujishtukia tu si umeona lema kaanza kujishtukia kisa lissu hajapokelewa kwa mabomu wala mikiki ya polisi. Wangewahi tungefahamu huo ukweli wenyewe.
Serikali isingekubali Lisu aingie msibani pale kwa hali ilivyo kisiasa. Lisu angeshangiliwa sana na umati. Hivyo ingekuwa sad, kwa hiyo serikali inapambana kila namna japo hali ni tete

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau
Baada ya Mh Sugu kusema ukweli kua walichelewa kwenye Msiba Japo Chama cha chadema kilikua kimesha Tangaza kua Viongozi wao wamezuiliwa kuingia Msibani na kuitaka Serikali itolee ufafanuzi

Chadema wameonyeshwa kutopendezwa na ukweli alio ongea Sugu kua chadema walishindwa kuingia Msibani kwa Sababu ya wao kufika kwa kuchelewa na si kwasababu walizuiwa

Chama cha Chadema kimepanga kesho kuita waandish wa Habari ili kukanusha kua walichelewa na kwamba account Ile ya Twitter ya Mh Sugu imedukuliwa na Anae iendesha ni Mtu mwingine

My take

Ningependa kuwashaur chadema kua siasa wanazo taka kufanya now wanaweza kuona zina faida lakini baadae zitakua Mbaya Sana
Mungu awatangulie
Napenda nimpongeze Sugu
Siasa mbaya ni kuwazuia watu kutoa Heshima za Mwisho kwa MAREHEMU.
 
Wakenya nao wanalalamikia kufanyiwa figisu ili tu wasiwwze kutoa heshima za Mwisho.
 
Back
Top Bottom