Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fuatilia uzi husika utapata ufafanuzi wote.
Kitabibu tukiwa pande za labour huwa tunasema ana membrane rapture!Mbona wewe binti unaweweseka sana na mambo ya chadema, kama chupa iliyomka na chai
hii ni Instagram. iliyodukuliwa ni TwitterWewe ndio ulioweka hiyo post kwamba Sugu amekanusha, lkn umeweka kukanusha kwake kwa kutumia njia ile ile ambayo mnasema mwanzoni alidukuliwa, sasa tutajuaje kama hiyo ya kukanusha haijadukuliwa pia?
Ujanja wa Chadema unaishiaga hapa Jf......huko kwingine wanafeli sana!Habari wadau
Baada ya Mh Sugu kusema ukwel kua walichelewa kwenye Msiba Japo Chama Cha chadema kilikua kimesha Tangaza kua Viongozi wao wameziwiliwa kuingia Msiban na kuitaka Serikal itole ufafanuzi
Chadema wameonyeshwa kuto kupendezwa na ukwel alio ongea Sugu kua chadema walishindwa kuingia Msiban kwa Sababu ya wao kufika kwa kuchelewa na si kwasababu waliziwiwa
Chama Cha chadema kimepanga kesho kuita waandish wa Habari ili kukanusha kua walichelewa na kwamba account Ile ya Twitter ya Mh Sugu imedukuliwa na Anae iendesha ni Mtu mwingine
My take
Ningependa kuwashaur chadema kua siasa wanazo taka kufanya now wanaweza kuona zina faida lakini baadae zitakua Mbaya Sana
Mungu awatangulie
Napenda nimpongeze Sugu
Sikuoni lupaso kulikoni?
Hakuna kulazimishana maana kila mtu na chaguo lake
Zamani enzi za dr. Slaa vijana wa chadema walikuwa wanawajambisha ccm kwa kudukua dukua account za viongozi namna hiyo lakini siku hizi ccm ndio inawajambisha chadema, yani chadema siku hizi wanaishi kwa hofu kwamba lolote la weza kutokea hasa kwa viongozi wao kusaliti kambiNaona cdm inawatoa vidonda vya koo, na hapo bado maana mziki ndiyo kwanza fundi mitambo anaadaa show yenyewe.
Subirini kampeini zianze ndiyo mtakoma kudadadeeeki
Nakuona hapo unavyo isubiria sindano ikuingie maungoniNawe nakukwongeza hizi.. [emoji382][emoji382][emoji382][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Jana na leo [emoji1437][emoji1437][emoji1437]
Zamani enzi za dr. Slaa vijana wa chadema walikuwa wanawajambisha ccm kwa kudukua dukua account za viongozi namna hiyo lakini siku hizi ccm ndio inawajambisha chadema, yani chadema siku hizi wanaishi kwa hofu kwamba lolote la weza kutokea hasa kwa viongozi wao kusaliti kambi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahh wakati mwengine Chadema nao wajitafakari Sio kila kitu cha kulaumuHii sio lawama wala ni kweli uzembe tulifanya
Nakuona hapo unavyo isubiria sindano ikuingie maungoni View attachment 1519865
Nakuona hapo.. nyingi zakuja mbeleni..
Sugu oyeeeee
[emoji2][emoji2][emoji2]
Serikali isingekubali Lisu aingie msibani pale kwa hali ilivyo kisiasa. Lisu angeshangiliwa sana na umati. Hivyo ingekuwa sad, kwa hiyo serikali inapambana kila namna japo hali ni tete
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa mbaya ni kuwazuia watu kutoa Heshima za Mwisho kwa MAREHEMU.Habari wadau
Baada ya Mh Sugu kusema ukweli kua walichelewa kwenye Msiba Japo Chama cha chadema kilikua kimesha Tangaza kua Viongozi wao wamezuiliwa kuingia Msibani na kuitaka Serikali itolee ufafanuzi
Chadema wameonyeshwa kutopendezwa na ukweli alio ongea Sugu kua chadema walishindwa kuingia Msibani kwa Sababu ya wao kufika kwa kuchelewa na si kwasababu walizuiwa
Chama cha Chadema kimepanga kesho kuita waandish wa Habari ili kukanusha kua walichelewa na kwamba account Ile ya Twitter ya Mh Sugu imedukuliwa na Anae iendesha ni Mtu mwingine
My take
Ningependa kuwashaur chadema kua siasa wanazo taka kufanya now wanaweza kuona zina faida lakini baadae zitakua Mbaya Sana
Mungu awatangulie
Napenda nimpongeze Sugu