Huyo futuhi ni shida ni comedy joti cha mtotosasa kuna mropokaji kama lissu? yaani nyie hadi wanachama wenu wenyewe mnaowaona wabaya sasa mtaishi na nan? mahakama wabaya, polisi wabaya, nec wabaya, wanachama wenu wenyewe wabaya sasa mnataka kuishi vp
Anataka kutuongezea ndege na madaraja tena,
Wananchi wa vijijini na ndege wapi na wapi ,kachanganyikiwa uzeeniAnataka kutuongezea ndege na madaraja tena,
KumbeeRombo kwenye jimbo lake analolitetea
Huyo futuhi ni shida ni comedy joti cha mtoto
Tuachie uzi wetu nenda kwenye nyuzi za. johnthebaptist.sasa kuna mropokaji kama lissu? yaani nyie hadi wanachama wenu wenyewe mnaowaona wabaya sasa mtaishi na nan? mahakama wabaya, polisi wabaya, nec wabaya, wanachama wenu wenyewe wabaya sasa mnataka kuishi vp
Thubutu watanzania sio wajinga usijidanganyesio hivo tu anataka kua raisi wa milele apo vp
Ndo anaowafanya msilale hadi mnawabeba watu kutoka mikoa mbali mbali na fuso kama mpunga halafu hamwarudishi mkiwatumia ,vipi kesho matrekta na fuso ngapi zitasomba watuhuyo kikaragosi wenu amekoswa mawe kilimanjaro, wataharibu huo mguu uishe kabisa
Usipime kina cha maji kwa kuangalia jaribu kuzamisha kijitihuyo kikaragosi wenu amekoswa mawe kilimanjaro, wataharibu huo mguu uishe kabisa
Mbatia hajafungua kampeni?NCCR chama kikuu Cha upinzani!!!! Hehehe, huhuhu! Hihihihi, hhohohoho.hjvxfhnxgjjzeyikbcfjk
Kumbuka alikuwa mbunge wa jimbo la Rombo kwa tiketi ya CDM akaunga mkonop juhudi za JPM na huondoka kabisa CDM na kujiunga na NCCR - Mageuzi waliomteua kuwa mgombea wao Rombo. Hiyo nyomi ni kwenye jimbo lake mwenyewe.Kumbee
Duu bora angebaki kule kule avumilie tuu sasa anakosa ugali kabisaKumbuka alikuwa mbunge wa jimbo la Rombo kwa tiketi ya CDM akaunga mkonop juhudi za JPM na huondoka kabisa CDM na kujiunga na NCCR - Mageuzi waliomteua kuwa mgombea wao Rombo. Hiyo nyomi ni kwenye jimbo lake mwenyewe.
Mmawia acha ukorofi kwani hukuona polepole akifanya mahesabu ubaoni au wewe hujui hesabu? Kama hujui sema tukutafutie tuitionBring back our 1.5 trillion
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.
View attachment 1557722View attachment 1557723View attachment 1557725