Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
- Thread starter
-
- #61
Wajuba huwa ni hit na kutoka nduki kwa kwa hawa mwanaharakati yaani huwa hawaoi mwanaharakati kabisaSijui, lakini just imagine ujifanye unajua kupenda kuliko mwanaume mwenzio aliyemwacha, halafu ukajitwalia chuma hiko, utakufa kabla ya muda wako.
Changamoto zingine wanaume huwa tunajitafutia wenyewe.
Utaoaje mwanaharakati?
Basi tufanye wewe sio mjinga, ila kwa nini huwa unahongwa kofia na t-shirt uwapigie kura ya ndiyo ccm?Naona umeamua kunikatili na kutetea watu waendelee kuamini kwamba wote ni wajinga
Kumbe ninachokifikiria kila siku kuna walioona mbali wakakitafutia suluhuKuna nchi zina sheria za maadili, kwa mfano una msimamo wako kama huyu ni kheri ila kushawishi watu na kuendekeza harakati zako ndio unaweza kujikuta unanyongwa.
Kwani yeye siyo jimama wala Mshangazi?Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Ni nani huyo mkuu?
Ni sawa. Hata mimi nakuunga mkono. Lakini siyo kwa kuviziana na kulazimishana na kutegeana. Huyu Joyce anavyoelezea ni ngumu sana maisha ya aina hiyo. Nimekaa nchi za Scandivia ambazo wanawake wana sauti lakini hata wao wanakubali kwenye maisha wanawake wana majukumu special kwa waume zaoTena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic, hebu wasaidieni wake zenu huko. Hiyo mikono mmepewa mfanyie nini? Hakuna punda binadamu. Siku msaidizi yuko off, fanyeni kazi za home pamoja. Hakuna umwinyi.
Fua kwa mapenzi,usifuwe kwa sababu ya kukuta kiinuwa mgongo kwenye trousers [emoji158]!!Napenda kufua nguo za bby wangu huwa kuna kiinua mgongo kwenye trousers na mifuko ya shati.....
Hizi ni tuhuma, Leta ushahidi mkuu.🙄Basi tufanye wewe sio mjinga, ila kwa nini huwa unahongwa kofia na t-shirt uwapigie kura ya ndiyo ccm?