Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Anafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Sikupingi mkuu na huo ndio uhalisia ila kwa ulimwengu wetu wa sasa mke au mume yule ambae atakuwa na uchumi mkubwa kuliko mwenzake ndio ataamua mwenzake am-treat vipi.Mkuu mwanaume ni mwanaume tu hata kama akiwa na uwezo mdogo wa kifedha.
Nikupe mfano mdogo sana mkuu,wanawake ni watu wenye limited ability hilo halipingiki hata wao hawabishi.
Na linapotokea tatizo lolote pasi huwa ni wa kupanick na usikute wakakufata wewe mwanaume waliyekudharau uwasaidie.
Mfano mdogo ni dada yangu mdogo yani niliyemuachia ziwa,Mungu kamjaalia ana pesa kunizidi tena sana tuu.
Kajeuri kulingana na uwezo wake,ila mambo yakibuma utamsikia kaka hivi kaka vile.
Wanashindwa kuelewa kwamba kuna mambo ambayo yanahitaji UANAUME kuyatatua sio uwezo wa kifedha tu.
Kweli ni ujinga lakini ndo hivyo inabidi kuishi nao maana ndivyo tulivyojizoeshaSasa yeye hajasema kuwa "sio lazima kumhudumia mume" kasema "ni ujinga kumhudumia mume" unapoki term kitu kama ujinga it means HAKIPASWI KUFANYIKA.
Usipindishe alichosema.
Ndio maana Kilewo alikukimbiaAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
We unachoshauri ni tofauti na Joyce we unashauri kusaidiana kazi kitu ambacho ni haki kabisa na ni sawa,, ila Joyce anasema mwanamke asimfanyie chochote mume wakeTena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic, hebu wasaidieni wake zenu huko. Hiyo mikono mmepewa mfanyie nini? Hakuna punda binadamu. Siku msaidizi yuko off, fanyeni kazi za home pamoja. Hakuna umwinyi.
Shem nakumiss balaaaKweli ni ujinga lakini ndo hivyo inabidi kuishi nao maana ndivyo tulivyojizoesha
Uchi unajisafisha wenyeweKuna mtu aliuliza kwa makucha hayo yale maeneo anajisafishs vipi?
Kwa hizo kucha mikono yote, atampikiaje mume? Na huko alikotoka mpaka kufikia hapa amesha wehuka huyuAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Atafuaje na hizo kucha sasa? Au anatumia washing machine hata kufua chupi?Hata hivyo ni kweli, siku hizi wanapika mahousegirl
Mke yupo kazini anarudi jioni, atapika na kufua wikiendi labda
Akienda kupupu pia panajisafisha penyewe?Uchi unajisafisha wenyewe
Kuna dada yangu alikua anapenda sana kunifulia nikaja kugundua huwa kuna chenji nilikua naziacha sasa nilichokua nafanya kila nikiacha nguo naweka na buku mfukoni, nikirudi nampa tena buku ya soda basi alikua ananiona faala kumbe ilikua ni trapNapenda kufua nguo za bby wangu huwa kuna kiinua mgongo kwenye trousers na mifuko ya shati.....
hehehe au siyo mwanetu?Uchi unajisafisha wenyewe
huyu ndio yule women empower, hakuna man anaweza kuishi under same roof na type hiiWadau nimeikuta hii mahali:
Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"
~Joyce Kiria, Mwanaharakati.
Sikuwa natambua kwamba wewe ni shemeji yangu😀Shem nakumiss balaaa
Umeongea fact.Anataka wake za watu waachike huyu
Tuamletea wanawake zetu awaoe mbn simpo.Mapovu yamewatoka🤣🤣🤣🤣
Kwani hamna mikono???