Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukubwa sio shida sema imezungukwa na maji na ardhi yake 70% ina rutuba halafu tuje tulie njaa!, tuone aibu kwa vizazi vijavyo watakuja kututukana mno!Tanzania ni kubwa sana hii
Mpaka 23rd March huenda ikaongezeka zaidi Mkuu kwasababu Jua linazidi kusogea IkwetaIla kwa Sasa hivi ukichek DSM ipo 35/36
Inatia hurumaNi viharufu kwa kwenda mbele
Haujui kuwa mpto wa gesi una kiwango kikubwa cha joto kuliko mkaa.Majiko ya gesi yanaongeza joto??🤔
Chlorofluorocarbons hizo mkuuHaujui kuwa mpto wa gesi una kiwango kikubwa cha joto kuliko mkaa.
Manyara amewahi kuwa mzalishaji mkuu kweli?Mahindi yatapanda bei ni muda wa kuhold up Manyara ambaye ni mzalishaji mkuu kwa mahindi Tanzania mwaka huu hana kitu. Kama Kuna mahindi hold up kwa wakati huu
Napitia Iringa sasa hivi mvua inanyesha/inatonya.Habari za wakati huu wakuu!
Katika siku za hivi karibuni, tumeshuhudia ongezeko la jua kali katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), baadhi ya maeneo yanatarajiwa kuwa na hali ya ukavu kwa ujumla katika kipindi cha tarehe 01-10 Machi 2025.
Takwimu za Hali ya Hewa kwa Kila Mkoa:
Kwa mujibu wa taarifa za TMA, hali ya hewa kwa mikoa yote 32 ni kama ifuatavyo:
Arusha: Jua kali, joto la juu: 30°C, joto la chini: 15°C.
Dar es Salaam: Jua kali, joto la juu: 34°C, joto la chini: 26°C.
Dodoma: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 18°C.
Geita: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 19°C.
Iringa: Jua kali, joto la juu: 28°C, joto la chini: 14°C.
Kagera: Jua kali, joto la juu: 30°C, joto la chini: 20°C.
Katavi: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 22°C.
Kigoma: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 23°C.
Kilimanjaro: Jua kali, joto la juu: 29°C, joto la chini: 17°C.
Lindi: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 25°C.
Manyara: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 16°C.
Mara: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 21°C.
Mbeya: Jua kali, joto la juu: 27°C, joto la chini: 13°C.
Morogoro: Jua kali, joto la juu: 34°C, joto la chini: 24°C.
Mtwara: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 25°C.
Mwanza: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 22°C.
Njombe: Jua kali, joto la juu: 25°C, joto la chini: 12°C.
Pemba Kaskazini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Pemba Kusini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Pwani: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 25°C.
Rukwa: Jua kali, joto la juu: 29°C, joto la chini: 16°C.
Ruvuma: Jua kali, joto la juu: 28°C, joto la chini: 17°C.
Shinyanga: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 21°C.
Simiyu: Jua kali, joto la juu: 34°C, joto la chini: 19°C.
Singida: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 18°C.
Songwe: Jua kali, joto la juu: 28°C, joto la chini: 14°C.
Tabora: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 20°C.
Tanga: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 24°C.
Zanzibar Kaskazini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Zanzibar Kusini na Kati: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Zanzibar Magharibi: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 26°C.
Unguja Kaskazini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Unguja Kusini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Wadau, tunakaribisha michango yenu kuhusu hali ya hewa katika maeneo mliyopo. Je, ni kweli mnakutana na jua kali kama inavyoripotiwa? Tafadhali shiriki nasi uzoefu wako na athari zake katika shughuli za kila siku.
Nb.Tafadhali kumbuka kuwa takwimu hizi ni za jumla na zinaweza kubadilika kulingana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Ruvuma then manyaraManyara amewahi kuwa mzalishaji mkuu kweli?
Sio RUVUMA
sio RUKWA
sio IRINGA
Nilita nikalime zangu Mpunga..akili ikacheza😀😀😀😀Njaa inabisha hodi.
Kuna sehemu ukiona mahindi yalivyo mashambani unaweza kulia!
Duh week hizi mvua itaanza kwenye baadhi ya mikoaNapitia Iringa sasa hivi mvua inanyesha/inatonya.
😂😂😂Nilita nikalime zangu Mpunga..akili ikacheza😀😀😀😀
Moro linagonga si kitoto😀😀😀Simiyu, Morogoro na Dsm wametoka sare ya 34
huku mbeya mbona hamna joto