Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Bado 4 tu tuwe katikati ya Sahara desertDar Sasa hivi ni 36
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado 4 tu tuwe katikati ya Sahara desertDar Sasa hivi ni 36
Wapi huko jua linawaka sana?Habari za wakati huu wakuu!
Katika siku za hivi karibuni, tumeshuhudia ongezeko la jua kali katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), baadhi ya maeneo yanatarajiwa kuwa na hali ya ukavu kwa ujumla katika kipindi cha tarehe 01-10 Machi 2025.
Takwimu za Hali ya Hewa kwa Kila Mkoa:
Kwa mujibu wa taarifa za TMA, hali ya hewa kwa mikoa yote 32 ni kama ifuatavyo:
Arusha: Jua kali, joto la juu: 30°C, joto la chini: 15°C.
Dar es Salaam: Jua kali, joto la juu: 34°C, joto la chini: 26°C.
Dodoma: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 18°C.
Geita: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 19°C.
Iringa: Jua kali, joto la juu: 28°C, joto la chini: 14°C.
Kagera: Jua kali, joto la juu: 30°C, joto la chini: 20°C.
Katavi: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 22°C.
Kigoma: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 23°C.
Kilimanjaro: Jua kali, joto la juu: 29°C, joto la chini: 17°C.
Lindi: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 25°C.
Manyara: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 16°C.
Mara: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 21°C.
Mbeya: Jua kali, joto la juu: 27°C, joto la chini: 13°C.
Morogoro: Jua kali, joto la juu: 34°C, joto la chini: 24°C.
Mtwara: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 25°C.
Mwanza: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 22°C.
Njombe: Jua kali, joto la juu: 25°C, joto la chini: 12°C.
Pemba Kaskazini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Pemba Kusini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Pwani: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 25°C.
Rukwa: Jua kali, joto la juu: 29°C, joto la chini: 16°C.
Ruvuma: Jua kali, joto la juu: 28°C, joto la chini: 17°C.
Shinyanga: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 21°C.
Simiyu: Jua kali, joto la juu: 34°C, joto la chini: 19°C.
Singida: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 18°C.
Songwe: Jua kali, joto la juu: 28°C, joto la chini: 14°C.
Tabora: Jua kali, joto la juu: 33°C, joto la chini: 20°C.
Tanga: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 24°C.
Zanzibar Kaskazini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Zanzibar Kusini na Kati: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Zanzibar Magharibi: Jua kali, joto la juu: 32°C, joto la chini: 26°C.
Unguja Kaskazini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Unguja Kusini: Jua kali, joto la juu: 31°C, joto la chini: 25°C.
Wadau, tunakaribisha michango yenu kuhusu hali ya hewa katika maeneo mliyopo. Je, ni kweli mnakutana na jua kali kama inavyoripotiwa? Tafadhali shiriki nasi uzoefu wako na athari zake katika shughuli za kila siku.
Nb.Tafadhali kumbuka kuwa takwimu hizi ni za jumla na zinaweza kubadilika kulingana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Maeneo hayo mazuri kuishi ila uwe na hela ndio utainjoyWapi huko jua linawaka sana?
Huku kwetu maporini baridi ni kali.
Wapi huku mkuu tuhamieWapi huko jua linawaka sana?
Huku kwetu maporini baridi ni kali.
Dar humidity ni kubwa.Hii ya dar nahisi ni tofauti kidogo na hizo 34° nyingine hapo
Kwa hali hii ya hewa aise itanyesha tuMsiwe na wasi wasi kuanzia alhamis mvua zitaanza kunyesha kwa wingi
Aise ikifika 40⁰C mtahama maana ni jangwa hiloBado 4 tu tuwe katikati ya Sahara desert
Mkuu hapa enyewe ikienda hivi hadi mwezi wa nne nahamaAise ikifika 40⁰C mtahama maana ni jangwa hilo
😂😂😂Aise unahamia mkoa kama Njombe kidogoMkuu hapa enyewe ikienda hivi hadi mwezi wa nne nahama
Kaskazin kwenye hakufaiTuhamieni nyanda za juu kusini huku twafwaaaaaaa
Pia nimeliona hili kwa maeneo ambayo nipoNjaa inabisha hodi.
Kuna sehemu ukiona mahindi yalivyo mashambani unaweza kulia!
oNgera kakaLeo kidogo angalau hali ya hewa imelegea asee
Joto kali mpk kuzaliana ni shida 😂