adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Sasa nimeanda na shamba..sie...wenye walipanda ile miezi..hawataki kusikia kitu kwa sasa..unaweza pigwa na pangaππππππ
πMkoa gani mkuuSasa nimeanda na shamba..sie...wenye walipanda ile miezi..hawataki kusikia kitu kwa sasa..unaweza pigwa na pangaπππ
Mwezi umeandana tutarajie mvua nyingi na vichaa wa hapa na mumo.Duh week hizi mvua itaanza kwenye baadhi ya mikoa
Babu..upande wa Ruvu chini huko katikati...mvua ni ya kubeep...ππππMkoa gani mkuu
Dah mahindi na maharage lazima yapande beiJoto kali huu ni mwaka wa njaa. Mahindi yamekauka shambani. Unga kilo 1 ni 1400-1500. Kwa hali ilivyo unga utafika 2000 kwa kilo hadi 3000 kwa kilo.
Huu ni mwaka wa njaa. Laana ya kutesa na kuteka watu inaitafuna nchi, watu wanafanya uchawa mpaka kwenye nyumba za ibada. Mnasababisha nchi ikose chakula
Mabilioni yanayoenda kwenye uchawa yangeenda kwenye umwagiliaji
Mvua zikiwa nyingi mazao yanatoka kidogo mwaka huu unaonekan kama wa njaaMwezi unaendana tutarajie mvua nyingi na vichaa wa hapa na mumo.
πApo hamia morogoro na Mbeya kakodi shambaBabu..upande wa Ruvu chini huko katikati...mvua ni ya kubeep...πππ
Dah aise ila nchini Hali ya hewa sio nzuri mkuuJoto inategemea na maeneo ulipo.
Kuna wengine wapo Dar lakini hawajui kama kuna jua la utosi.
Nyanda za juu wakikatiza huko wataivaMoro linagonga si kitotoπππ
Unabashiri au ndiyo "kiza_yanzi"?Mvua zikiwa nyingi mazao yanatoka kidogo mwaka huu unaonekan kama wa njaa
Unabashiri au ndiyo "kiza_yanzi"?
Mzee...kilimo cha Mvua kina changamoto sana.Nataka kuwa kama Wachina tu sasa..wana mavisima huku na kumwagilia tu.πApo hamia morogoro na Mbeya kakodi shamba
Weka mia hamsini isizidi.Ukizidisha tu utalala umeng'ata godoro.Na bet mkuu
Kuna mdau amesema Arusha imna sehemu mbili kwahiyo hashangai kusikia kuna baridiArusha Baridi ni kalii muda huu
πIla lazima tulime hata iweje mkulima lazima ukubaliane na riskWeka mia hamsini isizidi.Ukizidisha tu utalala umeng'ata godoro.
Hii ya dar nahisi ni tofauti kidogo na hizo 34Β° nyingine hapo
Leo ndio nimejua bei ya unga ππsijui chochote kile labda matunda.Joto kali huu ni mwaka wa njaa. Mahindi yamekauka shambani. Unga kilo 1 ni 1400-1500. Kwa hali ilivyo unga utafika 2000 kwa kilo hadi 3000 kwa kilo.
Huu ni mwaka wa njaa. Laana ya kutesa na kuteka watu inaitafuna nchi, watu wanafanya uchawa mpaka kwenye nyumba za ibada. Mnasababisha nchi ikose chakula
Mabilioni yanayoenda kwenye uchawa yangeenda kwenye umwagiliaji
πWatu wa diet haoLeo ndio nimejua bei ya unga ππsijui chochote kile labda matunda.