Jua Kali latawala Tanzania: Hali ya Hewa kila Mkoa na Uzoefu wako ni upi?

Wapi huko jua linawaka sana?
Huku kwetu maporini baridi ni kali.
 

Attachments

  • IMG_20250304_100300_540.jpg
    677.6 KB · Views: 1
Msiwe na wasi wasi kuanzia alhamis mvua zitaanza kunyesha kwa wingi
 
Kwakweli hili joto imebidi niahirishe kusuka kwanza....

Na bajet ya kufua imeoungua mnoo kwa vile matumizi ya nguo hasa nyakat za usiku na week end yamepungua...

Kuoga hata Mara 6 kwa siku
 
Takwimu za hivi majuzi zinaonyesha joto limeongezeka sana kwa viwango vya kutisha, katika sehemu mbalimbali duniani.

Here are some of the hottest recorded temperatures in 2024:
Ouargla, Algeria – 51.3°C
Basra, Iraq – 52.6°C
Ahvaz, Iran – 53.0°C
Kuwait City, Kuwait – 52.1°C
Jacobabad, Pakistan – 51.2°C
Delhi, India – 49.9°C
Phoenix, USA – 48.3°C
Seville, Spain – 47.6°C

Viwango hivyo vya joto lililopitiliza havijawahi kushuhudiwa tangu wanasayansi waanze kutunza record za viwango vya joto.

Wanasayansi wanasema ongezeko hili la joto linatokana na mabadiliko ya tabianchi yanayosababishwa na shughuli za binadamu, kama vile uzalishaji wa gesi joto kutoka viwandani na ukataji miti.

Biblia, iliishatabiri juu ya kuongezeka kwa joto. Katika Ufunuo wa Yohana 16:8-9 tunasoma juu ya mabakuli ya ghadhabu ya Mungu yatakayomwagwa juu ya jua...

"Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake. Basi, watu wakaunguzwa vibaya sana; wakamtukana Mungu aliye na uwezo juu ya mabaa hayo. Lakini hawakutubu na kumtukuza Mungu."

Ni ajabu sana. Watu wanaunguzwa, badala ya kutubu dhambi ndio wanakazana kumtukana Mungu na kusema eti hayupo.

Joto hili kali si jambo la kawaida—wanasayansi wamethibitisha kuwa limeongezeka kwa kasi, na Biblia ilishatabiri nyakati hizi. Huu ni wakati mwafaka wa kutubu maovu na kumrudia Mungu, na kujiandaa kwa ujio wa Yesu Kristo(Ufunuo 22:12).

Chonde, chonde, kama hujaokoka, usisubiri hadi iwe too late!
 
“ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki”
Mathayo 5:45
Jua ni ishara ya uhai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…