Julius Nyerere: Tunao wanasiasa wana tabia za kimalaya malaya, heshima yao inauzwa na ina bei (mercenary)

Mwalimu alikuwa Nabii. Tunakukumbuka! RIP Baba Yetu
 
Alipoingiza multi part system alitakiwa asimamie mwenyewe mabadiliko makubwa ya katiba, maana huyu ndo alikuwa kiboko ya CCM....
 
Nyerere alikuwa ni kichwa cha kipekee. Hapa anawazunguzia wanasiasa na wakati ule ule wale wanajeshi ambao walitaka kumpindua mwaka 1964.
 
Hivi kipindi hicho kuna baadhi ya wana Siasa walikuwa wana hama vyama? Hakikuwa ni kipindi cha mfumo wa chama kimoja kweli? Au ulikuwa ni utabiri?
 
Nyerere akikuchukia anakutukana wazi wazi.
Kweli kabisa.... "unashauriwa na mke wako huko halafu unatuletea hapa.... hii hatuwezi kukubali kabisa "...... Aliwahi sikika akimpiga dongo rais mmoja at one time
 
Mkuu hebu funguka....
 
Nimeisikiliza ile hotuba nikakiri jamaa alikuwa GREAT THINKER, mambo alihutubia miaka kibao iliyopita ila MALAYA wa kununulika ndo wanatokea sasa hivi! Pumbavua zao hao malaya malaya! Wakipewa chapaa tayari pichu magotini!!!
 
Kuna watu walihakikisha hafiki huko, wengine laana zishaanza kuwasumbua.
Huwa nikiwaza haya mambo napata sana kisirini na baadhi ya watu hapa nchini.
Tena nachafukwa zaidi roho pale unakuta linakuja lijinga hapa mtandaoni limelipwa vijihela kidogo huko linaanza kupiga ramli kuwasifia hawa wasaliti na familia zao hadi unajiuliza watanzania ni wajinga hivi ?
 
Mara nyingi lisemwalo lipo na kama halipo laja
 
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliongea ukweli mtupu. Japo wahusika itawauma lakini ni vema wangejitakasa uovu huu. Ni aibu mtu uliyeaminiwa na wananchi kuwa malaya wa kisiasa. Aibu yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…