Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nyerere hakuwa mtu wa kawaida!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja waliohama wote tuanze kuwaita Malaya wa kisiasa....Hilo neno Malaya Mwalimu sijui ame lisema mara ngapi ,inaelekea alichukia kweli kweli
Alipoingiza multi part system alitakiwa asimamie mwenyewe mabadiliko makubwa ya katiba, maana huyu ndo alikuwa kiboko ya CCM....Katika hili alikosea sana, na hili lilitokana na kuwa na hofu ya mabadiliko ambayo wajamaa wengi wanayo.
Lakini mimi binafsi naamini kabisa huyu mzee alikuwa na nia njema sana na Tanzania yetu. Maana katika watu ambao wangeamua kutuuza wangefanikiwa basi huyu mzee angefanikiwa sana.
Kweli kabisa.... "unashauriwa na mke wako huko halafu unatuletea hapa.... hii hatuwezi kukubali kabisa "...... Aliwahi sikika akimpiga dongo rais mmoja at one timeNyerere akikuchukia anakutukana wazi wazi.
Mkuu hebu funguka....Achana na hiyoo sasa, kuna kitabu alikiandika kabla ya kufa unaambiwa lilikuwa ni bomu moja baya sana.
Yule Mmakonde aliagiza kipigwe moto chote na wala kisitoke nje. Tena kuna baadhi ya maneno yake aliyoyasema miaka ya 1990's nilyasoma kwa mtu niliogopa na kusema kama watanzania watayasikia haya kuhusu Serikali basi wataumia sana na mtu kama Raisi Mkapa hawawezi kumpenda kamwe.
Kuna watu walihakikisha hafiki huko, wengine laana zishaanza kuwasumbua.angeziona kampeni za mwaka 2000 nadhani Mmakonde angeisoma nambaa:
Huwa nikiwaza haya mambo napata sana kisirini na baadhi ya watu hapa nchini.Kuna watu walihakikisha hafiki huko, wengine laana zishaanza kuwasumbua.
Which "truth"?The truth has to be told...
Sasa Hivi Inabidi Kuwatazama TuHiki ni kweli kabisa na ndicho kinachotokea.
P.