Pre GE2025 Juma Nkamia: Hayati Magufuli alipenda sana sifa hivyo nilimsifia ili Watoto wangu waende Shule

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mnafiki tu kama wengine. Walimsifu kwa uchawa wao kwani kwa tabia ni watu wanafiki wabinafsi. Wapi magufuli aliomba mtu kumsifia bure au kijinga. Mwenyewe hakupenda sifa za kijinga. Wapo walimkumbusha siku yake ya kuzaliwa kujipendekeza na kutegemea afanye sherehe wapate kula akawatolea nje. Sasa mbona wanamsifu mama uongo mwingi tu. Wapi mama kawaomba sifa za kijinga na siku hayuko watasema mama alikua anapenda sifa. Unafiki mkubwa kwa sababu hakuna mwanasiasa duniani hapendi sifa. Leo hayupo usijipendekeze kwa aliyepo eti Magufuli alipenda sifa. kwanza una uhakika gani mama anakufurahia kwa kuonesha ubaya wako kwa mtangulizi wake kama sio wewe ni mtu mjinga tu.
 
Tell him to stay away from Magufuli legacy. Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo yanaweza kuishi kwa zaidi ya miaka 300 mingine ijayo.
Ni kweli jiwe kafanya makubwa yakutisha sana. Ameua, ameteka, amefilisi na alipga watu risasi. In short mjinga huyu alilinajisi taifa.

Asante sana Nkamia kwa kusema ukweli.
 
Kasema ukweli bwana yule alipenda kusikilizwa zaidi ya kusikiliza na ukiwa na wazo tofauti ni adui yake mfn halisi kutesa wapinzani hii inaonyesha anapenda wale watu wa "ndio mzee" na wengi walimjua wakatumia hii fursa.Na kipindi chake ndio kipindi watu walianza kujikomba hadharani yaani unamsikiliza kiongozi unoana kabisa anaongea kwa hofu,mwingine kwa kujikomba
 
Tatizo hilo
 
Nkamia, jitu jinga jinga lililoingia siasa kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia.
Lilijikomba lipate nafasi, lakini si kwa ajili ya wanananchi wa Tanzania.
 
Nakubaliana na mdau mmoja alihoji" Nkamia angeombwa atoe hela ya zamani ya jarumani yenye kitundu katikati pia angetoa" mimi kwa muktadha huo naamini wazi kabisa angetoa huyo jamaa
 
Nkamia, jitu jinga jinga lililoingia siasa kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia.
Lilijikomba lipate nafasi, lakini si kwa ajili ya watananchi wa Tanzania.
Kawaida ya Wabunge wengi wa CCM ni hivyo hivyo hata wale COVID 19 hawapo kwa ajili ya wananchi wa Tanzania bali wapo kwa ajili ya ccm na matumbo yao.
 
Huyo anawakilisha CCM na mtazamo wa wanachama na wapenzi wa CCM, kwao kuwa logical ni kitendawili hasa awamu hii.
 
Huyo kweli hana akili, kwa kusema hivyo hata hawa anaowasifia sasa hivi watakaa nae mbali. Mnafki ni sawa na adui tu, muweke mbali ili uwe salama
 
juma nkamia wewe ni mpumbavu? tulishawahi kusema mara kibao kwamba magufuli alikwa kiongozi mpumbavua aliyeungwa mkono na wapumbavu
 
siyo mbunge.... nani alimpia
risasi TUNDU LISU?
Yupo wapi ALPHONSO MAWAZO
BEN SANANANE
ANZORY GWANDA NA WENGINE
Wapo wapi hawa? tuseme waliuwawa? nani aliwauwa na yupo wapi ?
Tundu lissu amepigwa risasi na chadema wenzie issue ya uenyekiti,alphonso mawazo waulize watu wake wa karibu hakua na matatizo ben saanane Mbowe anajua zaidi jamaa yuko wapi anzory kwani alikua ni mwanachama wa chadema?waajiri wake wanayo majibu!
 
Tundu lissu amepigwa risasi na chadema wenzie issue ya uenyekiti,alphonso mawazo waulize watu wake wa karibu hakua na matatizo ben saanane Mbowe anajua zaidi jamaa yuko wapi anzory kwani alikua ni mwanachama wa chadema?waajiri wake wanayo majibu!
Kwa nini mlishindwa kuwafunga kama walimpiga Tundu Lisu risasi,hiyo inaonyesha udhaifu wenu kiuongozi na kisiasa kwa sababu mlikuwa mnapambana na kesi za uchochezi tu lakini uharifu mwingine hamkuwa na haja nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…