Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uko nyuma sana !Billionea mbowe mwenye makao makuu ya chama ya hovyo zaidi kupita yote duniani.
Rekodi ya Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko nyuma sana !Billionea mbowe mwenye makao makuu ya chama ya hovyo zaidi kupita yote duniani.
Rekodi ya Mbowe
Hujui kitu
Nipo kwa ajili ya kuondoa upotoshajiNi kweli lakini upo hapa kutumia nguvu kuaminisha watu kitu wanachokijua kivingine!
unapotosha kwa faida ya nani ?Ile ni mali yake.
Chawa wanao lala vitanda vya kamba.....Mishaga NamalaBillionea mbowe mwenye makao makuu ya chama ya hovyo zaidi kupita yote duniani.
Rekodi ya Mbowe
Wewe ndio humjui huyo mnyasa 😂😂Hujui kitu
Huyo mmchame ni jambazi tu kama majambazi wengine hasafishiki hata kwa jikiKatika uumbaji wake , hakuna siku hata moja ambayo Mungu alimuumba Mwanadamu Masikini , Nabii Mwamposa ( kama bado uko JF kama ulivyokuwa siku za nyuma ) naomba uchangie hapa
Umasikini siyo Karama ambayo Mungu anampa Mwanadamu , hii ni kazi ya Shetani , wala si jambo la kujivunia
View attachment 2812715View attachment 2812716
Huyu Bilionea Freeman Mbowe ambaye leo , wenye kuutukuza umasikini mnamshangaa kumiliki Kasri Machame fahamuni kwamba anayo majengo hadi nje ya Nchi , sasa mkionyeshwa hayo nadhani mtazimia kabisa .
Halafu watu wa Mjini wanafahamu kwamba huyu ndiye aliyekuwa Mfadhili wa Yanga , kabla ya hawa akina Manji na GSM , Mbona wakati ule hamkuhoji ?
View attachment 2812725
Aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 ya Tanzania alijaribu kupambana na Mbowe kwa kutumia dola na Waganga lakini alishindwa vibaya sana na akapotea hadi leo hajulikani alipo
View attachment 2812730
Ujumbe : Usithubutu kushindana na aliyejaaliwa , utapoteza muda wako .
View attachment 2812732
Huna ushahidi hata wa uongoHuyo mmchame ni jambazi tu kama majambazi wengine hasafishiki hata kwa jiki
Wewe kipara kipya Babu yako Nyerere wakati anataka kwenda uingereza kuomba uhuru wa wewe kubwabwaja hapa alimpigia magoti baba yake mbowe ili ampe nauli ya safari na ela za matumizi na akapewa ndio maana Leo unaropoka hovyo tu bila kujua kuropoka kwako Kuna familia ziliwezesha[emoji3]Kwanza pole jana hukuwa na taarifa za kikao cha siri pili taarifa za ndani walio karibu na mwenyewe eti ni ile B10 aliyokodisha chama kwa mamvi!
Kile ni Chama cha Tuntemeke Sanga ndio sababu Shujaa Maguful alitaka kuwamilikisha Sugu na Mchungaji Msigwa 😀😀Ile ni mali yake.
Siyo kweli Nyerere alichangiwa Nauli na Waislamu wa Mzizima wakiongozwa na Rashid Mfaume Kawawa 😂😂🔥Wewe kipara kipya Babu yako Nyerere wakati anataka kwenda uingereza kuomba uhuru wa wewe kubwabwaja hapa alimpigia magoti baba yake mbowe ili ampe nauli ya safari na ela za matumizi na akapewa ndio maana Leo unaropoka hovyo tu bila kujua kuropoka kwako Kuna familia ziliwezesha[emoji3]
Rashid alikua mtoto wa shule enzi hizo John Baptist nawasiwasi na umri wakoSiyo kweli Nyerere alichangiwa Nauli na Waislamu wa Mzizima wakiongozwa na Rashid Mfaume Kawawa [emoji23][emoji23][emoji91]
PointMbowe angekuwa tajiri asingeng'ang'ania Uenyekiti wa Chadema hadi leo
Alikuwa Deiwaka kwenye taxi ya Mzee Mkarambanji 😂😂🔥Rashid alikua mtoto wa shule enzi hizo John Baptist nawasiwasi na umri wako
Ishu sio madaraka tatizo atamwachia nani asiehongeka? Tuliwaamini wakina zito wako wapi Sasa? Je kafulila? Nasari? Na wengine wengi waliokua wapiga kelele wazuri mpaka wakina mdee tatizo njaa ndg Hawa ccm kumtunuku mtu hata trillion hawaoni shida mradi uuwe chama[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyu jamaaa mie huwa hata simuelewi anakomaaa sana na chadema wakati huyo mbowe ni mrafi wa madaraka hataki kutoka hapo alipo
Mkuu hata yye ni kama mwanamke malaya tu mjona hata yye amehongeka sana na CCMIshu sio madaraka tatizo atamwachia nani asiehongeka? Tuliwaamini wakina zito wako wapi Sasa? Je kafulila? Nasari? Na wengine wengi waliokua wapiga kelele wazuri mpaka wakina mdee tatizo njaa ndg Hawa ccm kumtunuku mtu hata trillion hawaoni shida mradi uuwe chama[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]