msondomba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,895
- 2,410
Hawajaiona ya Mosha, Dr Macha hao...Mbona uchagani hiyo nyumba ya kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajaiona ya Mosha, Dr Macha hao...Mbona uchagani hiyo nyumba ya kawaida
Nendeni mahakamani popoma nyieUshahidi wa Makandokando ya Mnyeti tunao
Mosha kajenga wap Kilimanjaro?Hawajaiona ya Mosha, Dr Macha hao...
Huyu hamjui Mbowe, anahisi ni familia ya kawaida. Siku wakionyeshwa za Dubai, Uk, Us n.k si ndiyo watashangaa! Hii ni sebule kwa hizo nyumba nyingine!nyumba wakati ina miaka zaidi
Tupo na ndugu zetu wa Palestina. Hayo mengine ni yenukuna shida gani mbowe kujenga nyumba ya familia? nani asiyejua kuwa mbowe hajawahi kufeel umasikini maisha yake yote?
Ushamba mzigo.Mbona uchagani hiyo nyumba ya kawaida
Nyumba nzuri na makazi mazuri ya Wachaga ndio hufanya wapende kurudi makwao december, na sasa hata marafiki zao wa mikoa mingine wanapenda kwenda kilimanjaro.Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu, tena wakati ambao shughuli za chama zimekwama kuendelea kwa kisingizio kuwa ruzuku imeisha mpaka watakapoingiziwa tena Disemba 2023.
Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe weekend hii aliwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu (Heche, Lema na Msigwa) kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa nyumba hiyo mpya ya Mbowe ambayo ameijenga kwa miezi 3 tu.
Ndugu zangu tuendelea kufuatilia kwa karibu, ndani ya CHADEMA kuna Bundi anazengea na muda si mrefu tutaanza kusikia vilio vya kuomboleza kwa sababu najua Tundu Lissu hawezi kukaa na kuyafumbia macho yanayoendelea mule ndani.
Kama imekuuma kweli kajinyonge kisha acha ujumbe unaoelezea sababu zako za kujitundika. Tafuta hela acha ufala.Mbowe ni fisadi, roho inaniuma sana nikiliona hili jumba alilojenga kwa kodi zetu
Ni changamoto kwetu pia, na wewe unapaswa kuandaa makazi yako na familia kwa namna yoyote ile..Mbowe janja sana nyumbu wamemchangia pesa kajenga gorofa porini huko kuandaa makazi yake ya milele 😅
Ni uongo kujenga hiyo nyumba miezi mitatu.Ameandika Dr. Sisimizi
Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika ndani ya CHADEMA kufuatia baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kuona nyumba ya kifahari anayoishi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambayo ameijenga hivi karibuni huko Machame.
View attachment 2812700
Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe weekend hii aliwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu (Heche, Lema na Msigwa) kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa nyumba hiyo mpya ya Mbowe ambayo ameijenga kwa miezi 3 tu.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu, tena wakati ambao shughuli za chama zimekwama kuendelea kwa kisingizio kuwa ruzuku imeisha mpaka watakapoingiziwa tena Disemba 2023.
Hoja yao inaonekana ina mashiku kwa sababu, ndani ya CHADEMA wenye mamlaka ya kuidhinisha pesa kutolewa (Signatories) ni watatu tu Mwenyekiti Mbowe, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salim Mwalimu na Mjumbe wa Baraza la Udhamini Mzee Mtei.
Hii inaonesha bado hakuna kuaminiana baina ya Mwenyekiti Mbowe na baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu ukiwatoa wale wanaokula nao sahani moja (Lema, Msigwa, Heche, na Salim Mwalimu) na wengi wanachojiuliza inawezekanaje Chama kikose hela ya mafuta ya Chopa halafu Mwenyekiti anazindua nyumba yenye thamani ya Milioni 500.
Ndugu zangu tuendelea kufuatilia kwa karibu, ndani ya CHADEMA kuna Bundi anazengea na muda si mrefu tutaanza kusikia vilio vya kuomboleza kwa sababu najua Tundu Lissu hawezi kukaa na kuyafumbia macho yanayoendelea mule ndani.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu...
Makasiriko yanasababishwa na umaskini.Kama imekuuma kweli kajinyonge kisha acha ujumbe unaoelezea sababu zako za kujitundika. Tafuta hela acha ufala.
Asali ya Samia ndg asikudanganye mtu,Wasisahau kuwa jamaa anamiliki hotel tangu muda sana inaitwa a AISHI HOTEL wanalala sana watalii hapo.