Sasa hiyo ni nyumba ya ku7bisha uyasemayo?
 
JIWE alitaka kuifilisi hii familia bila kujua wakati yeye anatembelea mguu peku peku huko kwao familia hii ilikuwa na maisha bora, ulaya kama vile kariakoo.

haya maisha aisee !!
 
Imejengwa kwa muda wa miezi mitatu tu.Wewe ni mshenzi kama walivyo washenzi wenzako.Ulitaka ijengwe kwa muda gani ?.Acha ushetani wako.Mbowe hategemei ruzuku ya Chama. Ana utajiri wa ukoo.Uliza Aikael Mbowe alikuwa nani.
 
Huoni watu wanavyopigania? Unadhani USA, NATO na Isreal wote wanapiga Gaza mwezi sasa lkn ngoma unaiona. Kama Vatican inapigwa vile Mapapa wote wangalikuwa washavua misalaba. Washakimbia na kujificha.
Wewe ungalibadilisha jinsia ili uolewe
 
Tuweke picha za nyumba za wenyeviti wote, tuanze na Mzee wa ubwabwa
 
Lissu akipata mgao wake kwenye mishe za kisiasa, anaukimbiza kwa watoto wake marekani, nadhani atakuwa na majumba ya kifahari zaidi ya saba huko marekani
 
Masikini tulio wengi tumejawa na chuki dhidi ya wanao tuzidi maendeleo ama ya kipato au kielimu.
Walioshangilia kutekwa MO 99.9% ni kundi hili bila kujali kuwa ndugu zetu ni waajiriwa wa MO.

Marehemu alitokea ktk familia ya kipato cha chini ama kwa kuzaliwa na kulelewa au historia ya wazazi wake ni tabaka hili.
Magufuri alikuwa na akili za kichawi na upumbavu mwingi.
 
Umasikini mbaya sana aisee
Hivi hakuna familia zenye biashara tuseme hata miaka 100 ?
Hata familia yetu ina biashara ya miaka zaidi ya 70 na bado zinafanya vizuri na leo wajukuu wana run show
Sasa nikiporomosha mjengo mtasema hela nimepata wapi? Wakati kuna biashara zaidi ya 10

Pigeni kazi vijana wekeni akiba fungueni biashara mdogo mdogo inakuwa ila muache masifa tu
 
Acha wivu wa kike hiyo nyumba ilianza kujengea kabla hata ajabambikiwa kesi na kesi ilivyokwisha alikwenda hapo kwenye hiyo nyumba kwa mapokezi hata kabla ajaisha alipokelewa hapo hiyo miezi 3 umeitoa wapi chuki umaskini wa mi ccm hadi mnakuwa wachawi.
 
Mbowe ni ma billionaires toka baba yake enzi hizoooo...nawafahamu vyema....pia wana nyumba London.....jirani na Mary Elfick....kuingia kwenye siasa ni hobby sio njaa
 
Tunataka watu kama kina Mbowe wawe marais Tanzania kwani hawatatuibia.
 
Nisingeona comment yako ningeshangaa sana, huyu dada mtoa mada atulie tuu mana ht pesa za join the chain hajawahi kutoa 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…