Jumba la kifahari la Mwenyekiti Mbowe lazua maswali ndani ya CHADEMA
Acheni wivu ninyi, mbona Paul Ng'hwani Msukuma mwenzenu ana mali ya kutisha hamumsemi? Mbona Jumanne Kishimba ana mali ya kutisha na mmekaa kimya. Waacheni watu waliofanya kazi kwa bidii waende mbele, ninyi maskini mkae tu. Mbona hamumsemi Musukuma na helikopta yake, yeye aliiba wapi au John Cheyo, mbona ni tajiri. Come on, utajiri siyo bahati bali ni kufanya kazi kwa akili na bidii.
 
Acheni wivu ninyi, mbona Paul Ng'hwani Msukuma mwenzenu ana mali ya kutisha hamumsemi? Mbona Jumanne Kishimba ana mali ya kutisha na mmekaa kimya. Waacheni watu waliofanya kazi kwa bidii waende mbele, ninyi maskini mkae tu. Mbona hamumsemi Musukuma na helikopta yake, yeye aliiba wapi au John Cheyo, mbona ni tajiri. Come on, utajiri siyo bahati bali ni kufanya kazi kwa akili na bidii.
Hivi nyie mnajua historia ya Mbowe au ni kubwabwaja tu, Mbowe sio level yenu ati
 
Ruzuku ya chadema inaenda wapi?

Michango ya join the chain iko wapi?

Makao makuu ya chadema yanaonekanaje?
hii hoja bado ipo tu? mdhibitini kwanza popoma wenu kuwa na msafara wa magari V8 zaidi ya 60, apunguze ushamba anaifilisi nchi. Kuhusu nyumba nzuri ya Mh. Mbowe unaruhusiwa kuomba undugu kwenye familia hii. Usione vinaelea ndugu yangu vingine vimetokea mbali vizazi kwa vizazi - utawaolewa.

Kuja jamaa mwenzio alijaribu kuifilisi familia hii, akaishia kuondoka akaiacha kama ilivyo.
 
Hao wajumbe ni nani na nani?
Walikufuata hapo lumumba kukupa malalamiko?
Kwa mchaga hiyo ni nyumba ya graduants na siyo ya mfanya biashara na ndiyo maana Mbowe kajenga kijijini akienda anapumzika:
Ghorfa kama hiyo kwenu sumbawanga yote hakuna kama hiyo, namanyere hakuna hivyo sishangai wewe kuifanya kama topic:
Asilimia kubwa ya viongozi wa ccm walitokea kwenye familia maskini.

Utajiri walionao ni kwasababu ya ufisadi wao kwa Taifa hili.

Kwahiyo siwezi kushangaa hizi kelele kutoka kwa vijana wasiotambuwa historia ya Taifa letu.

Badala yake kwasababu ya ugumu wa maisha, na huku wakitizama utajiri ambao viongozi wa ccm wanao mfano Makonda, basi na wao wanajiingiza kwenye siasa hili wapate chochote kitu na pengine uchawa uwapatie nafasi kubwa zaidi waweze kulifisadi Taifa zaidi.

Mafano Makonda uchawa wake kwa Rizmoko hadi kuchuchumaa chini kumfunga kamba za viatu hadharani, ndipo kulimpaisha na kupewa shavu na Mkwere.

Same ol shit, different shovels.
 
Acheni wivu ninyi, mbona Paul Ng'hwani Msukuma mwenzenu ana mali ya kutisha hamumsemi? Mbona Jumanne Kishimba ana mali ya kutisha na mmekaa kimya. Waacheni watu waliofanya kazi kwa bidii waende mbele, ninyi maskini mkae tu. Mbona hamumsemi Musukuma na helikopta yake, yeye aliiba wapi au John Cheyo, mbona ni tajiri. Come on, utajiri siyo bahati bali ni kufanya kazi kwa akili na bidii.
WAsukuma Ndio kabila kubwa ambalo naona kama sasa linataka kujimilikisha Tanganyika.
 
Mbowe akiwa katika makazi yake machame road,Lambo msikitini....!
 

Attachments

  • FB_IMG_1700126640790.jpg
    FB_IMG_1700126640790.jpg
    107.6 KB · Views: 7
Makao makuu ya chama choo!! Nyumba ya mwenyekiti castle!! Machadema ni majinga mno
 
Kuanzia Lambo pale wanamajumba mazuri sana, nani anakumbuka kipindi kile cha msiba wa mama yake Mbowe aisee
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika ndani ya CHADEMA kufuatia baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kuona nyumba ya kifahari anayoishi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambayo ameijenga hivi karibuni huko Machame.

View attachment 2812700

Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe weekend hii aliwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu (Heche, Lema na Msigwa) kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa nyumba hiyo mpya ya Mbowe ambayo ameijenga kwa miezi 3 tu.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu, tena wakati ambao shughuli za chama zimekwama kuendelea kwa kisingizio kuwa ruzuku imeisha mpaka watakapoingiziwa tena Disemba 2023.

Hoja yao inaonekana ina mashiku kwa sababu, ndani ya CHADEMA wenye mamlaka ya kuidhinisha pesa kutolewa (Signatories) ni watatu tu Mwenyekiti Mbowe, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salim Mwalimu na Mjumbe wa Baraza la Udhamini Mzee Mtei.

Hii inaonesha bado hakuna kuaminiana baina ya Mwenyekiti Mbowe na baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu ukiwatoa wale wanaokula nao sahani moja (Lema, Msigwa, Heche, na Salim Mwalimu) na wengi wanachojiuliza inawezekanaje Chama kikose hela ya mafuta ya Chopa halafu Mwenyekiti anazindua nyumba yenye thamani ya Milioni 500.

Ndugu zangu tuendelea kufuatilia kwa karibu, ndani ya CHADEMA kuna Bundi anazengea na muda si mrefu tutaanza kusikia vilio vya kuomboleza kwa sababu najua Tundu Lissu hawezi kukaa na kuyafumbia macho yanayoendelea mule ndani.
Kama kajenga hiyo nyumba kwa shilingi za Tanzania milioni 500 za leo nampongeza kwa kujua kubana matumizi.

Is that prefab or something?
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika ndani ya CHADEMA kufuatia baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kuona nyumba ya kifahari anayoishi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambayo ameijenga hivi karibuni huko Machame.

View attachment 2812700

Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe weekend hii aliwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu (Heche, Lema na Msigwa) kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa nyumba hiyo mpya ya Mbowe ambayo ameijenga kwa miezi 3 tu.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu, tena wakati ambao shughuli za chama zimekwama kuendelea kwa kisingizio kuwa ruzuku imeisha mpaka watakapoingiziwa tena Disemba 2023.

Hoja yao inaonekana ina mashiku kwa sababu, ndani ya CHADEMA wenye mamlaka ya kuidhinisha pesa kutolewa (Signatories) ni watatu tu Mwenyekiti Mbowe, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salim Mwalimu na Mjumbe wa Baraza la Udhamini Mzee Mtei.

Hii inaonesha bado hakuna kuaminiana baina ya Mwenyekiti Mbowe na baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu ukiwatoa wale wanaokula nao sahani moja (Lema, Msigwa, Heche, na Salim Mwalimu) na wengi wanachojiuliza inawezekanaje Chama kikose hela ya mafuta ya Chopa halafu Mwenyekiti anazindua nyumba yenye thamani ya Milioni 500.

Ndugu zangu tuendelea kufuatilia kwa karibu, ndani ya CHADEMA kuna Bundi anazengea na muda si mrefu tutaanza kusikia vilio vya kuomboleza kwa sababu najua Tundu Lissu hawezi kukaa na kuyafumbia macho yanayoendelea mule ndani.
una akili za kimasikini wewe.
hivi ghorofa linajengwa kwa miezi mitatu? unajenga la mbao
unajua vizuri historia ya familia ya mbowe wewe? kumiliki kaghorofa kama hako unachanganyikiwa ukilinganisha na ule ufisadi wenu wa kunuka hapo LUMUMBA HUUSEMI MBONA?
tutajie kwanza viongozi waadilifu na wasafi hapo lumumba kabla ya kuchafua watu ambao baba zao waliwaachia utajiri
 
CCM hamna tofauti na mashabiki wa Simba baada ya kutandikwa 5G.

Pia, picha hii imfike Jiwe huko aliko aliedhani atafanikiwa kumfanya Mbowe awe masikini.

Wewe binti una umalaya malaya sana.

Jiwe angetaka huyu mzee wako awe masikini asingeacha wabunge 19 bungeni.
 
Back
Top Bottom