Shahidi alikuwa haja julikana ,alivyo julikana ndugu yake ambaye ni mpenda haki ndo akatoa ukweli na udhibitisho wa picha in short kesho kwenye cross examination za KIBATARA tutajua zaidiHizo kesi zake za madawa ya kulevya ni namba ngapi huko.police ziweke hapo.
Kwa nini hamkumpa kibatara aItumie kama ushahidi,
Kwa nini hawakufanya hivyo?
Kesho Shahidi Mkulima atahojiwa na Kibatala , usibanduke jfHizo kesi zake za madawa ya kulevya ni namba ngapi huko.police ziweke hapo.
Kwa nini hamkumpa kibatara aItumie kama ushahidi,
Kwa nini hawakufanya hivyo?
Wanadai Sina permission ya kuangalia hizo attachment! Nakubali na Nashukuru, mimi siyo Mmeru anaye penda Wameru wenye ‘shile shile’, kuleeee nyai kabisa! Bora sijamwona!Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mtu alikuwa mfanyakazi binafsi wa Sabaya, baadaye wakatofautiana kutokana na malipo, Yaani Sabaya alimdhulumu Kaaya malipo ya miezi mingi na ndipo Kaaya akaamua kuacha kazi za Sabaya.
Jambo la kuacha kazi lilimuudhi mtukufu Sabaya ambaye alilichukulia kama kiburi na dharau kwa DC, Sabaya akaamua kumkamata Kaaya na kumtengenezea kesi ya madawa ya kulevya. hadi makubaliano ya kutoa ushahidi wa uongo dhidi ya Mbowe yalipo kamilika ndio akafutiwa mashtaka yake.
Kwa wasiomjua Eliya Kaaya aliyekuwa mtumishi binafsi wa Sabaya tumewawekea hapa Ushahidi mwanana , sasa mnatakiwa muelewe mashahidi wa kumfunga Mbowe walikotokea .
View attachment 1988464View attachment 1988465View attachment 1988466
Acha ku-generalize mambo Wewe!Kaaya ni Mmeru moja ya makabila katili sana hapa Tanzania.. waliwahi kuwa na ugomvi wa kanisa miaka 1992 mpk alipokuja kusawazisha Augustion Lyatonga miaka ya 1994......... Watu katili mfano hakuna
Mbona watu walishangilia kifo cha magufuli? Wakashangilia kifungo cha Sabaya. Au hawakujua kama walikua wanashabikia maumivu ya binadamu wenzao? Au Binadamu ni mbowe peke yake, wengine wote ni mbuzi.Nakupa ushauri wa bure,Mungu niwaajabu acha kushabikia maumivu ya binadamu wenzako isivyo halali.Pigo utakalo lipata familia yako itakuwa shahidi hutojua namna mikosi na laana vinapotokea.MUNGU wetu ni wa haki hakuna adhabu mbinguni kuna adhabu hapa duniani.
Mambo magumu😂. Wakili kabeba hadi begi la mkewe kuingia mahakamani.Mashabiki wa Mwamba mitandaoni: Hii kesi rahisi sana kwa Mwamba, tunashinda saa mbili asubuhi
Wakili wa Mwamba:
Unahalalisha matendo yasiyo haki ya hao watumiaji vibaya wa madaraka, ambao hukumu zao zimefanyika kwa haki, mmoja Kisongo na mwengine gereza la mbali zaidi? You are next!Mbona watu walishangilia kifo cha magufuli? Wakashangilia kifungo cha Sabaya. Au hawakujua kama walikua wanashabikia maumivu ya binadamu wenzao? Au Binadamu ni mbowe peke yake, wengine wote ni mbuzi.
Hapa alikua anauza karoti kwa chakubanga.
Nadhani ni shida tu ya mtandao .Wanadai Sina permission ya kuangalia hizo attachment! Nakubali na Nashukuru, mimi siyo Mmeru anaye penda Wameru wenye ‘shile shile’, kuleeee nyai kabisa! Bora sijamwona!
Malipo ni hapa hapa Dunia wanafurahia Shida na Mateso ya Mbowe ila MUNGU Atasimama na MboweNakupa ushauri wa bure,Mungu niwaajabu acha kushabikia maumivu ya binadamu wenzako isivyo halali.Pigo utakalo lipata familia yako itakuwa shahidi hutojua namna mikosi na laana vinapotokea.MUNGU wetu ni wa haki hakuna adhabu mbinguni kuna adhabu hapa duniani.
Wasiliana na Kibatala mpe Ukweli wote na Mungu atakubarikiMkuu nimesha pata namba ya kibatala
Inanyang'anywaHaki haiombwi
Na haiombwi piaHaki haiombwi