Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Shahidi anaweza kuwa mtu yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akiwa ni kada wa chama kinacho lalamika kama huyu
20211027_203325.jpg
 
Shahidi #2 upande wa mashtaka Justin Kaaya angali kumaliza kudodoswa:

View attachment 1988724

Ila hadi hapa tulipo kwa maelezo yake:

1. inafahamika kuwa yeye ni mkereketwa tu wa CCM asiye kuwa na chama.
2. Yeye ni mkulima wa karoti, nyanya, vitunguu, maharage na mahindi.
3. Kama mkulima alikuwa pia mpeleka chai na chakula ofisini kwa Sabaya.
4. Kumbe SABAYA ana mke na yale ya mchumba na mahari bila shaka ilikuwa ni janja yake tu.
5. Aliandikishwa maelezo kwa ajili ya kesi hii baada ya yeye kufutiwa mashtaka.
6. Hakuwahi kuwaona washitakiwa #2 na #3 hadi alipokutana nao gerezani

Hata hivyo haijulikani umuhimu wa shahidi huyu mkereketwa:

View attachment 1988723

Mbowe kama mgombea ubunge Hai wakati huo, alikuwa na haki ya kuwapeleleza washindani wake.

Bila ya shaka washindani wake walikuwa wakimpeleleza pia.
Huyu hawezi kuwa neutral
 
Kwa ushahidi huu tutegemee nini kwenye hii shauri?
Haki kupindishwa kama kawaida, hao wote na jaji ni timu moja iliyokwishapewa maelekezo na jaji mkuu kuwa maamuzi yao yaangalie na muhimili mwingine (bosi wao anataka nini).
 
Shahidi #2 upande wa mashtaka Justin Kaaya angali kumaliza kudodoswa:

View attachment 1988724

Ila hadi hapa tulipo kwa maelezo yake:

1. inafahamika kuwa yeye ni mkereketwa tu wa CCM asiye kuwa na chama.
2. Yeye ni mkulima wa karoti, nyanya, vitunguu, maharage na mahindi.
3. Kama mkulima alikuwa pia mpeleka chai na chakula ofisini kwa Sabaya.
4. Kumbe SABAYA ana mke na yale ya mchumba na mahari bila shaka ilikuwa ni janja yake tu.
5. Aliandikishwa maelezo kwa ajili ya kesi hii baada ya yeye kufutiwa mashtaka.
6. Hakuwahi kuwaona washitakiwa #2 na #3 hadi alipokutana nao gerezani

Hata hivyo haijulikani umuhimu wa shahidi huyu mkereketwa:

View attachment 1988723

Mbowe kama mgombea ubunge Hai wakati huo, alikuwa na haki ya kuwapeleleza washindani wake.

Bila ya shaka washindani wake walikuwa wakimpeleleza pia.
Katibu msaidizi wa CCM anayejinasibu hana chama 🤣 🤣
 
Huyo hapo ndiye shahidi nambari 2 Justine Eriya Kahaya.

Shahidi ni mwanachama mkereketwa na kada wa ccm.

Jee haki hapo ipo au itachelewa?

Ewe Mungu isaidie sehemu inayo umizwa kwenye kesi hii.View attachment 1988721View attachment 1988722
Ndiye huyu anatumia kiapo Cha mahakama kwamba analima nyanya na karoti? Tusitoe hukumu ni kazi ya mahakama.

Ngoja watu wamuumbue. Ukweli utajulikana. Watu wanaomfahamu tunaomba wajitokeze wuumbue. Na ikiwezekana hii kesi ikatiwe rufaa ICC. Happy tutaona mautumbo ya watu zaidi.

Jicho na kamera za dunia ziendelee kumulika. ICC hata mwenye kinga kikatiba atakwenda.

Kamanda Mbowe usikate tamaa.
 
Ndiye huyu anatumia kiapo Cha mahakama kwamba analima nyanya na karoti? Tusitoe hukumu ni kazi ya mahakama.

Ngoja watu wamuumbue. Ukweli utajulikana. Watu wanaomfahamu tunaomba wajitokeze wuumbue. Na ikiwezekana hii kesi ikatiwe rufaa ICC. Happy tutaona mautumbo ya watu zaidi.

Jicho na kamera za dunia ziendelee kumulika. ICC hata mwenye kinga kikatiba atakwenda.

Kamanda Mbowe usikate tamaa.
Hakuna nafasi ya kukata tamaa.
20211027_203325.jpg
 
Huyu hawezi kuwa neutral

Si kuwa neutral tu mkuu. Lakini hata kama ushahidi wake ni wa kweli, Mbowe alikuwa mgombea ubunge Hai.

Hakuwa na haki ya kuwapeleleza kina Sabaya waliokuwa wakijipanga kumhujumu yeye?

Kwenye kuwapeleleza kina Sabaya kulikuwa na tatizo gani kuwasiliana na Justin Kaaya au na yeyote au hata na ku mlipa chochote kwa taarifa alizotoa?

Huyu labda kama kaletwa kutoa ushahidi kuwa Bwire alikuwa mlinzi wa Mbowe na kuwa namba hizo za simu zilikuwa za Mbowe.

Hawajui Adamoo wala Ling'wenya!

Vinginevyo mengine mbona ni utopolo mtupu.
 
Back
Top Bottom