GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ushahidi huu tutegemee nini kwenye hii shauri?Haki haitoki kwa shahidi, inatafsiriwa kwenye sheria na jaji, na sio maoni yake.
Upo sahihi kabisaInanyang'anywa
Shati siyo chama bwashee.Walimpanga wakamwambia aseme hana chama wala sio mkereketwa, hawakujua aliwahi kupiga picha na shati lao.
Hata akiwa ni kada wa chama kinacho lalamika kama huyu
Huyu hawezi kuwa neutralShahidi #2 upande wa mashtaka Justin Kaaya angali kumaliza kudodoswa:
View attachment 1988724
Ila hadi hapa tulipo kwa maelezo yake:
1. inafahamika kuwa yeye ni mkereketwa tu wa CCM asiye kuwa na chama.
2. Yeye ni mkulima wa karoti, nyanya, vitunguu, maharage na mahindi.
3. Kama mkulima alikuwa pia mpeleka chai na chakula ofisini kwa Sabaya.
4. Kumbe SABAYA ana mke na yale ya mchumba na mahari bila shaka ilikuwa ni janja yake tu.
5. Aliandikishwa maelezo kwa ajili ya kesi hii baada ya yeye kufutiwa mashtaka.
6. Hakuwahi kuwaona washitakiwa #2 na #3 hadi alipokutana nao gerezani
Hata hivyo haijulikani umuhimu wa shahidi huyu mkereketwa:
View attachment 1988723
Mbowe kama mgombea ubunge Hai wakati huo, alikuwa na haki ya kuwapeleleza washindani wake.
Bila ya shaka washindani wake walikuwa wakimpeleleza pia.
Haki kupindishwa kama kawaida, hao wote na jaji ni timu moja iliyokwishapewa maelekezo na jaji mkuu kuwa maamuzi yao yaangalie na muhimili mwingine (bosi wao anataka nini).Kwa ushahidi huu tutegemee nini kwenye hii shauri?
Katibu msaidizi wa CCM anayejinasibu hana chama 🤣 🤣Shahidi #2 upande wa mashtaka Justin Kaaya angali kumaliza kudodoswa:
View attachment 1988724
Ila hadi hapa tulipo kwa maelezo yake:
1. inafahamika kuwa yeye ni mkereketwa tu wa CCM asiye kuwa na chama.
2. Yeye ni mkulima wa karoti, nyanya, vitunguu, maharage na mahindi.
3. Kama mkulima alikuwa pia mpeleka chai na chakula ofisini kwa Sabaya.
4. Kumbe SABAYA ana mke na yale ya mchumba na mahari bila shaka ilikuwa ni janja yake tu.
5. Aliandikishwa maelezo kwa ajili ya kesi hii baada ya yeye kufutiwa mashtaka.
6. Hakuwahi kuwaona washitakiwa #2 na #3 hadi alipokutana nao gerezani
Hata hivyo haijulikani umuhimu wa shahidi huyu mkereketwa:
View attachment 1988723
Mbowe kama mgombea ubunge Hai wakati huo, alikuwa na haki ya kuwapeleleza washindani wake.
Bila ya shaka washindani wake walikuwa wakimpeleleza pia.
Ndiye huyu anatumia kiapo Cha mahakama kwamba analima nyanya na karoti? Tusitoe hukumu ni kazi ya mahakama.Huyo hapo ndiye shahidi nambari 2 Justine Eriya Kahaya.
Shahidi ni mwanachama mkereketwa na kada wa ccm.
Jee haki hapo ipo au itachelewa?
Ewe Mungu isaidie sehemu inayo umizwa kwenye kesi hii.View attachment 1988721View attachment 1988722
Shati siyo chama bwashee.
Hata mgambo wa Mtume Mwamposya wanavaa sare za kijani!
Hakuna nafasi ya kukata tamaa.Ndiye huyu anatumia kiapo Cha mahakama kwamba analima nyanya na karoti? Tusitoe hukumu ni kazi ya mahakama.
Ngoja watu wamuumbue. Ukweli utajulikana. Watu wanaomfahamu tunaomba wajitokeze wuumbue. Na ikiwezekana hii kesi ikatiwe rufaa ICC. Happy tutaona mautumbo ya watu zaidi.
Jicho na kamera za dunia ziendelee kumulika. ICC hata mwenye kinga kikatiba atakwenda.
Kamanda Mbowe usikate tamaa.
Katibu msaidizi wa CCM anayejinasibu hana chama 🤣 🤣
MaCCM akili zenu hazina akiliShati siyo chama bwashee.
Hata mgambo wa Mtume Mwamposya wanavaa sare za kijani!
Katibu wa CCM ni mwajiriwa bwashee!MaCCM akili zenu hazina akili
Katibu msaidizi wa CCM hana chama.😀
Mmekwama sana MaCCMKatibu wa CCM ni mwajiriwa bwashee!
Huyu hawezi kuwa neutral
Matokeo yake amekimbilia facebook na ku-deactivate account yake ila ikawa too late kumbe alivyokua kizimbani watu wameshamtembelea facebook wameshapakua picha za kutosha tu.Walimpanga wakamwambia aseme hana chama wala sio mkereketwa, hawakujua aliwahi kupiga picha na shati lao.
Katibu wa CCM ni mwajiriwa bwashee!