JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

Anakulinda wewe na mama ako [emoji57]
 
wanajeshi wenzao wa korea kaskazini wako bize mitandaoni wanaiba dollars wao wanahangaika na madela yenye rangi madoa madoa, kwanini nao wasiwe kazini kuhakisha dollars zinapatikana benki kuu, ila sera za maccm zimefanya wajeda kuchanganyikiwa badala ya kudesign silaha na kuwauzia russia wao wako bize na midosho facken kabisa.
 
Kama wamekosa kazi za kufanya, kwanini wasijitolee kwenda kufanya kazi kwenye ujenzi wa bwawa la umeme la nyerere kule au kwenye mradi wa SGR ili hiyo miradi ikamilike kwa wakati? wachukue hata magreda ya jeshi wakachonge barabara za vijijini, wakulima wapate njia za kufikisha mazao masokoni, tunyanyue uchumi wa taifa.

Kuna kazi nyingi sana za kujitolea, lakini wao hawazioni, wako bize kuhangaika na mavazi. Aibu kubwa sana kwa taifa.
 
Mbibi kwa mkwara tu. Too old to threaten us. At your advanced age you should be busy arranging your burial arrangements and clarifying your will.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wa Tz munaogopa mitama🤣
 
Kile kiwanda cha jeshi ya nyumbu sijui kiliishia wapi? [emoji3][emoji3] nakumbuka enzi za mwalim, kiwanda kiliwahi kuzalisha magari pale.
 
Naunga mkono hoja
 
Kile kiwanda cha jeshi ya nyumbu sijui kiliishia wapi? [emoji3][emoji3] nakumbuka enzi za mwalim, kiwanda kiliwahi kuzalisha magari pale.
Ni nani atanunua Gari linaitwa nyumbu,
I wonder aliyekianzisha alimaanisha nn🤣
 
akili yangu ya darasa la nne B inaniambia ule upepo wa zile coup de tat zilizotokea west afrika umeleta hofu kwa deep state ya ccm.

wameona walitumie jeshi liingie mtaani kupandikiza mbegu ya uoga miongoni mwa watz. hiyo ya uniform ni kisingizio tu.

kingine ni issues ya dp world,nimeona kuna wanaharakati wanazungumzia sana maandamano.
 
Naziona dalili za mwanzo mwanzo kabisa za Jeshi kuchukua Nchi kutoka mikononi mwa Wanasiasa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ni mjinga sana na analitia aibu jeshi letu
 
Week iliyopitwa jeshi walitoa mkwara wanamtafuta aliyewasingizia kuwa wameongezewa mshahara , ivi walimpata?
 
Coup de tat Ina fanywa na wanachi? Kwani

Iyo ni jeshi tena low ranked offer ndiyo wanafanya maana mkuu wa majeshi Hana njaa hawezi fanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…