Yan 🤣 ulivyo ongea kama ww ndio uko mstari wa mbele kuwalinda raiaMnaoandika hovyo msifikiri JF haina limit ya kuwalinda.
Nawashauri muwache kuongea kijinga, wakimtaka mtu hapa JF wana uwezo wa kumpata ndani ya muda mchache sana.
Eleweni kuwa hii mitandao hakuna pakujificha na hakuna kinachofutika hata wewe ukifuta.
Chezeeni vingine, msichezee watu wanaojitolea maisha yao kutulinda.
Nchi inawajinga wengi sana, yani hawa jwtz wamekosa jambo LA maana LA kufanya, wanaona kusaka nguo zinazofanana na za jeshi ni jambo LA maana sana!Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.
Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.
“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.
Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
Hongera Kwa ushauri mzuri,Nchi inawajinga wengi sana, yani hawa jwtz wamekosa jambo LA maana LA kufanya, wanaona kusaka nguo zinazofanana na za jeshi ni jambo LA maana sana!
Yaani mtu ni luteni, kwa elimu yote aliyonayo, mchango wake anaoutoa kwa nchi ni kusaka raia wanaovaa nguo kama za jeshi!? Akili za matope kabisa,
Badala ya kuwaza jinsi ya kutatua changamoto kwenye nchi, mfano wakiweka mkakati wa kutumia vijana wa jkt, wafungwa, tekunolojia kuzalisha sukari na ngano ya kutosha, tusiagize tena kutoka nje, jwtz ifahamike Afrika nzima kwa ku miriki kiwanda cha kuzalisha sukari, mafuta, ngano!
Mnaingia MOU na sekta binafsi, tuna kuwa na akiba ya nafska ya kulisha Afrika nzima!
Au kubadilisha matumizi ya kuni na kuwa gesi kwenye magereza yote,
Au kwenda mbali zaidi kuanzisha karakana ya kuzalisha vitu vya IT, au assembling plant ya magari,
Kwenye branches za majeshi kuna, Airwing,navy, na army(infantry), sasa hv imeongezeka Cyber na space, bongo zipo? Hawa Kenge wanachowaza ni kupiga watu mitama na kunyangsnya leso na kaptura, akili finyu kabisa,
Mwanajeshi tena unakuta wapo zaidi ya mmoja, mnatesa raia, na mnaona ufahari kabisa!
Hii ndio shida ya ku recruit failures wa form four.
Stupid kabisa. Yanaenenda kama mambuzi
Ukifikiri kwa jicho lako la 3, ni kwamba nchi haiko salamaNchi inaenda kama kuku asiye na kichwa, sio kazi ya jeshi kufsnya law enforcement,
Madhara ya kujaza vilaza sekta nyeti,
Au wanatumika kupoteza na kubadilisha attention ya wananchi kutoka kwenye issue ya bandari,
Nyerere alituroga kabisa, hawa jwtz, kadi zao za ccm zimehifadhiwa chimwaga, wakistaafu tu, wanarudishiwa, wanawaza kama machawa ya ccm.Hongera Kwa ushauri mzuri,
Lakin viongozi wako wakuu wanawaza uchaguzi pekee
Intelijensia ni nini ?Ukishaona hivyo ujuwe wanapo pa kuanzia, wana intelijensia yao.
Acha kutisha watu kifala jinga kabisa hiliMnaoandika hovyo msifikiri JF haina limit ya kuwalinda.
Nawashauri muwache kuongea kijinga, wakimtaka mtu hapa JF wana uwezo wa kumpata ndani ya muda mchache sana.
Eleweni kuwa hii mitandao hakuna pakujificha na hakuna kinachofutika hata wewe ukifuta.
Chezeeni vingine, msichezee watu wanaojitolea maisha yao kutulinda.
Kinachokera kimojawapo ni cha kumvamia raia ambaye hana mafunzo yoyote ya kijeshi,tena uvamizi unaotumika ukute ni wa kikundi,anapigwa mitama,aisee... inakera sana.Watu ambao mimi raia nafanya kazi,usiku na mchana,nilipe kodi,ambayo huyo askari kwenye hiyo KODI yangu,atalipwa posho,na mshahara,na vilevile hiyo pesa yangu,ndiyo imemfanya apate mafunzo,halafu leo badala ya kuheshimu raia,unamtisha na muda mwingine unampiga mitama,aisee....Nchi inawajinga wengi sana, yani hawa jwtz wamekosa jambo LA maana LA kufanya, wanaona kusaka nguo zinazofanana na za jeshi ni jambo LA maana sana!
Yaani mtu ni luteni, kwa elimu yote aliyonayo, mchango wake anaoutoa kwa nchi ni kusaka raia wanaovaa nguo kama za jeshi!? Akili za matope kabisa,
Badala ya kuwaza jinsi ya kutatua changamoto kwenye nchi, mfano wakiweka mkakati wa kutumia vijana wa jkt, wafungwa, tekunolojia kuzalisha sukari na ngano ya kutosha, tusiagize tena kutoka nje, jwtz ifahamike Afrika nzima kwa ku miriki kiwanda cha kuzalisha sukari, mafuta, ngano!
Mnaingia MOU na sekta binafsi, tuna kuwa na akiba ya nafska ya kulisha Afrika nzima!
Au kubadilisha matumizi ya kuni na kuwa gesi kwenye magereza yote,
Au kwenda mbali zaidi kuanzisha karakana ya kuzalisha vitu vya IT, au assembling plant ya magari,
Kwenye branches za majeshi kuna, Airwing,navy, na army(infantry), sasa hv imeongezeka Cyber na space, bongo zipo? Hawa Kenge wanachowaza ni kupiga watu mitama na kunyangsnya leso na kaptura, akili finyu kabisa,
Mwanajeshi tena unakuta wapo zaidi ya mmoja, mnatesa raia, na mnaona ufahari kabisa!
Hii ndio shida ya ku recruit failures wa form four.
Stupid kabisa. Yanaenenda kama mambuzi
Angalau wewe unaakili Mkuu!!Ukifikiri kwa jicho lako la 3, ni kwamba nchi haiko salama
Ankoli Sio POA , lakin huu upepo utapita Tu,Angalau wewe unaakili Mkuu!!
Ndio maana kakimbilia kwao Ili kuepuka HOFU yao!!
Ishu sio hiyo Mkuu!!
Kuns JAMBO wanataka wameona mambo hayapo SAWA hao JAMAA!!
Hawana IMANI na jeshi la police na anaeliamrisha hilo jeshi Mkuu;!!
Nilisoma mahali humu humu,eti hawafurahishwi na kutoroshwa wanyama kiholela, SIJUI kama kuna ukweli wa hilo!wajuvi waje watwaambie!!!Hiyo ndio kazi yao.
Kulinda rasilimali za nchi ? Sijui
Wanafurahishwa.Nilisoma mahali humu humu,eti hawafurahishwi na kutoroshwa wanyama kiholela, SIJUI kama kuna ukweli wa hilo!wajuvi waje watwaambie!!!