JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

Hapana ni viongozi japo wanatokana na ss
Viongozi hawatoki Mars au Jupiter wanatoka humu humu kwenye familia zetu kuwa mwafrika inabidi ukubali kuwa mjinga maisha yako yote.

Hakuna mtu mwenye akili akaishi kwa furaha Afrika hasa kusini mwa jangwa la sahara wote wenye furaha ni wajinga au wamekubali kuwa wajinga milele
 
Viongozi hawatoki Mars au Jupiter wanatoka humu humu kwenye familia zetu kuwa mwafrika inabidi ukubali kuwa mjinga maisha yako yote.

Hakuna mtu mwenye akili akaishi kwa furaha Afrika hasa kusini mwa jangwa la sahara wote wenye furaha ni wajinga au wamekubali kuwa wajinga milele
Ankoli kunywa bia
 
Mnaoandika hovyo msifikiri JF haina limit ya kuwalinda.

Nawashauri muwache kuongea kijinga, wakimtaka mtu hapa JF wana uwezo wa kumpata ndani ya muda mchache sana.

Eleweni kuwa hii mitandao hakuna pakujificha na hakuna kinachofutika hata wewe ukifuta.

Chezeeni vingine, msichezee watu wanaojitolea maisha yao kutulinda.
Mbibi kwa mkwara tu. Too old to threaten us. At your advanced age you should be busy arranging your burial arrangements and clarifying your will.
 
Hawa Kenge wanachowaza ni kupiga watu mitama na kunyangsnya leso na kaptura, akili finyu kabisa,
Nimecheka kwa sauti hapo kwenye kenge.

Yani Tanzania unaweza safiri zaidi ya kilomita 500 ukakutana na mapori manene yasiyoendelezwa. Halafu hawa jamaa wapo tu kusaka sare za mabakamabaka.

Huyu hapo chini anayatupiga fiksi Jeshi letu ni la sita kwa ubora angepelekwa kulima tupate chakula cha kutosha.
1693477939534.jpg
 
Nilisikia double headed snakes walikua wakutosha upande huu ndio maana ilikua rahisi kunyakuliwa wakiwa home ground tena asubuhi kweupe.
Itakuwa walikuwa wanasumbua raia kama wanavyofanya sasa
Na kwa jinsi walivyomazwazwa waliotewa wameongozana kwenda kutafuta maji
 
Itakuwa walikuwa wanasumbua raia kama wanavyofanya sasa
Na kwa jinsi walivyomazwazwa waliotewa wameongozana kwenda kutafuta maji

Doh! Nimeona hapo ni zaidi ya gari moja imechakazwa.


Tatizo mihemko + siasa.


Hii ya mavazi kuna mtu wao wanamtafuta wamempa siku saba bado hajafanya wanavyotaka sasa wanamfuata aliko.
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.

Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.

“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.

Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
Kwani "kusaka nguo zao mitaani" ni moja ya malengo ya kuanzishwa kwa JWTZ?
 
Nchi inawajinga wengi sana, yani hawa jwtz wamekosa jambo LA maana LA kufanya, wanaona kusaka nguo zinazofanana na za jeshi ni jambo LA maana sana!
Yaani mtu ni luteni, kwa elimu yote aliyonayo, mchango wake anaoutoa kwa nchi ni kusaka raia wanaovaa nguo kama za jeshi!? Akili za matope kabisa,
Badala ya kuwaza jinsi ya kutatua changamoto kwenye nchi, mfano wakiweka mkakati wa kutumia vijana wa jkt, wafungwa, tekunolojia kuzalisha sukari na ngano ya kutosha, tusiagize tena kutoka nje, jwtz ifahamike Afrika nzima kwa ku miriki kiwanda cha kuzalisha sukari, mafuta, ngano!
Mnaingia MOU na sekta binafsi, tuna kuwa na akiba ya nafska ya kulisha Afrika nzima!
Au kubadilisha matumizi ya kuni na kuwa gesi kwenye magereza yote,
Au kwenda mbali zaidi kuanzisha karakana ya kuzalisha vitu vya IT, au assembling plant ya magari,
Kwenye branches za majeshi kuna, Airwing,navy, na army(infantry), sasa hv imeongezeka Cyber na space, bongo zipo? Hawa Kenge wanachowaza ni kupiga watu mitama na kunyangsnya leso na kaptura, akili finyu kabisa,
Mwanajeshi tena unakuta wapo zaidi ya mmoja, mnatesa raia, na mnaona ufahari kabisa!
Hii ndio shida ya ku recruit failures wa form four.
Stupid kabisa. Yanaenenda kama mambuzi
Usiwabeze ndipo tunapoenda,anakuja mtu mwenye fikra hizo aitwaye FDR!!

KWA hio hao jamaa Wana muandalia mazingira tu ajaye asiharibu kama hawa wafanyavyo!!

Wamelinda mipaka kwa miaka mingi wameona waje ki vingine!

KWA mtu mwenye akili hiyo operation no coded language ambayo wenye akili huko waliopo wanajua!!

Si vizuri kubeza hii operation NADHANI ni code FULANI wakubwa wanajua!!!

Tusibeze ngoja tuone matokeo yake!!
 
Jeshi kidogo lazima litupe mkwara kiaina lazivyo na sisi tutakuwa na vikundi vikundi vya magaidi Kama kwa wenzetu, hata ukiwa baba kidogo lazima utetemeshe kwako ili nidhamu iwepo nyumbani.
 
Hao waliotoa hilo tamko ni malimbukeni na wapumbavu tu kama wapumbavu wengine.
Wanashindwa ku-deal na vitu serious kama kuuzwa kwa raslimali za nchi, wanakaa kuhangaika na pet issues kama wananchi kuwa na sare za jeshi! Huu ni upumbavu. Kwani wakiwa nazo wananchi, wao wanapungukiwa nini? Si hata hivyo ni jeshi la wananchi? Kama ni jeshi la wananchi na wananchi wakivaa sare za jeshi lao kuna shida gani?!
Waache upuuzi bhana.
 
CCM haina kosa, kuna mtu huko CCM ndo afurushwe. Yupo madarakani bila kuchaguliwa halafu anaboronga.
Eti wanashindwa kudeal na issue kama hizo, wanakalia mambo ya kijinga kijinga hadi aibu!
Si waende wakajifunze Burkina Faso?!
 
Hayo ndio matumizi mazuri ya rasilimali muda ?

Bora yule aliyewapa kazi ya kulima na kuzalisha, hilo lilileta tija kwa jamii; huenda ifike wakati wapewe kazi kama hizi tena....
 
Hayo ndio matumizi mazuri ya rasilimali muda ?

Bora yule aliyewapa kazi ya kulima na kuzalisha, hilo lilileta tija kwa jamii; huenda ifike wakati wapewe kazi kama hizi tena....
Naunga mkono hoja Mkuu.
Walime, wafanye kazi zingine, tupaishe uchumi wetu
 
Back
Top Bottom