JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

Hawa jamaa bado wako karne ya nyuma sana ...badala ya kutoa version ya nguo ambayo itauzika mitaani ili kuongeza upendo wa watu kwa taasisi wao wanaenda na vitisho.Afrika tulilogwa hatuna ubunifu kabisa....hivi karne hii ni ya kumaliza resources na muda kuongelea nguo...??Watu wako busy na kwenda mwezini, kutengeneza drones...etc...wao wanapiga kelele kwa haya ya nguo jamani??
Kwa nini JWTZ wasianzishe military expo...kila mwaka vijana wetu wakaenda kuonyesha ubunifu wao kwenye dhana mbalimbali...na vitu mbalimbali....n.k.Kuna vitu havipaswi kuwachukulia muda kabisa kwenye karne hii
 
wa Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.

Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.

“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.

Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
Nauliza tu, kuna vinguo vingi vya watoto let's say wa umri wa mwaka mmoja miwili, wakimkuta yuko clinic watamkamata? wajeda watakuwa wamepewa deal kuvua nguo za watoto wetu na kuzihamisha kwa familia zao, ngoja tuone
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.

Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.

“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.

Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
Acha kuvuta bange wewe
 
Nauliza tu, kuna vinguo vingi vya watoto let's say wa umri wa mwaka mmoja miwili, wakimkuta yuko clinic watamkamata? wajeda watakuwa wamepewa deal kuvua nguo za watoto wetu na kuzihamisha kwa familia zao, ngoja tuone
Kambale : Mama sharubu Baba sharubu na Mtoto Sharubu , kazi ipo
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.

Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.

“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.

Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
LOlote wanalofanya jeshi, nyuma yao yupo Amiri Jeshi Mkuu.

Yeye ndo ametoa maagizo wananchi washughulikiwe na jeshi wanatafuta namna ya kukinukisha
 
Mnaoandika hovyo msifikiri JF haina limit ya kuwalinda.

Nawashauri muwache kuongea kijinga, wakimtaka mtu hapa JF wana uwezo wa kumpata ndani ya muda mchache sana.

Eleweni kuwa hii mitandao hakuna pakujificha na hakuna kinachofutika hata wewe ukifuta.

Chezeeni vingine, msichezee watu wanaojitolea maisha yao kutulinda.
Wewe dada acha vitisho aisee, Joe Biden huko kwenye teknolojia kubwa anatukanwa na anayetukana hapatikani kabisa. Serikali yako hii MASIKINI na dhaifu kiteknolojia inawezaje kunipata huku shamba niliko? Mkiwa CCM akili mnaacha wapi?
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.

Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.

“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.

Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
Wamekosa kazi sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha waendelee kutuchokoza tu, soon tutaanza kutengeneza drone kwaajili ya kujihami na hawa maharamia wa CCM
 
Mnaoandika hovyo msifikiri JF haina limit ya kuwalinda.

Nawashauri muwache kuongea kijinga, wakimtaka mtu hapa JF wana uwezo wa kumpata ndani ya muda mchache sana.

Eleweni kuwa hii mitandao hakuna pakujificha na hakuna kinachofutika hata wewe ukifuta.

Chezeeni vingine, msichezee watu wanaojitolea maisha yao kutulinda.
Umeandika ujinga mtupu wewe bibi kikongwe. Au umeishiwa ugolo uko na arosto?! Kwa hiyo sisi ndo tumewatuma kufanya ujinga na upuuzi kama huo wa kupambana na tuvitu tudogo tudogo badala ya kuangalia mambo ya msingi ya ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi?!
Aliyewashauri kuhusiana na hili suala la nguo, ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine. Period.
Waambie wanitafute.
 
Raia wabishi sana wanafanya kila kitu wanakijua kuingia mtaani na kusearch kwako utaona kawaida ila ni mbinu ya kugundua vitu vingi sana kuna watu wanaishi na raia wa kigeni ndani kinyume na utaratibu,wanamiliki silaha ndani na nyara nyingi za serikali wote hao kazi wanayo nimewapa siri kidogo
 
Naona wafanye tu maana walitoa onyo na walitoa siku za kurudisha, kama mtu alikaza shingo basi acha livunjike kwa sasa.

Sheria ya ulinzi wa taifa imeeleza hapo sio kwamba wamejitunzia, sasa acha sheria ifate mkondo wake.
 
Kama ni kweli huyo Kaimu Mkurugenzi kasema haya basi ni dhahiri wa kufukuzwa kazi mara moja !
Kazi ya jeshi si kusachi na kukamata raia hiyo ni kazi ya polisi ndio wanaopewa mamlaka hayo na katiba ya nchi hii.
Huyu aondolewe kazini mara moja.Nadhani sasa anavuka mipaka
 
Back
Top Bottom