Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza akawa ndio kahuzunika kwa hilo kutokea ACHA tusubiri mkuu!!Wanafurahishwa.
Mwenyekiti wa bodi ya Ngorongoro ni retired CDF
Hakuna anae huzunishwa.Anaweza akawa ndio kahuzunika kwa hilo kutokea ACHA tusubiri mkuu!!
Itoshe kusema ni wapvmbavuAsiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.
Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.
“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.
Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
Inatafuna mpaka ubongo kichwa kinabaki emptyNja isiyo ishaa
Hapana sio njaa Mkuu, TRUST me!!Inatafuna mpaka ubongo kichwa kinabaki empty
Una maanisha jeshi letu halina kazi?
Bara la giza lina laana na watu wake wamelaanika since ancient time.Kwa Tabia hii Afrika ngumu kuendelea
Weupe sana hawa, walidhani vita ni kupasua matofaliTunaomba maelezo ya hii picha mkuu
Mozambique, Cabo DelgadoWapi hii?
Chuma iko nyang’anyang’a.
Mozambique, Cabo Delgado
Ogopa Sana barobaro Yuko radhi afe ili akapewe mabikra 70 ,akawabikiri yy mwenyewe
Hakuna kitu hapo. CCM ina mizizi kila sehemu hapa nchini wana green card hao ni wanachama wa kufa na kupona wa kijani.Hapana sio njaa Mkuu, TRUST me!!
Hapa kuna gem inachezwa hapa!!
Tumia akili,wait for a few days!!