JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

Wananchi mnashauriwa msifunge makabati yenu wakati wanaume wakisaka ngwamba zao!
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.

Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.

“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.

Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
Mm bdo ninayo Moja hp ghetto wake waichukue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kwanini wa Tz hupenda lisifia jeshi lao, ila Mimi kwakweli sijui nawaonaje hao jamaa, nawaona bado sana kuendana na kasi ya dunia inavoenda ...

Ndio haya kila mzazi anamwona mwanaye ana " akili sana" vile akiwa anakuwa katika umri na kimo, baadae anagundua ovyo kabisa akikua.
 
Ukute mtu umesoma nae... Darasan alikua hovyo... Ukamsaidia siku ya final paper japo kumuibia majibu akapat katokeo kauafadhal... Kwa vile alikua hovyo darasan basi ata barua hajui kundika... Ukamsaidia kuandika barua ili akajiunge na jeshi... Alafu aje achukue gwanda kimasihara... Nasemaje... Nasemaje... Anapigwa mtu kama mwizi... Athumani wew athumaniii... Viiviiviiiiviviviviii...
 
Kama ni kweli huyo Kaimu Mkurugenzi kasema haya basi ni dhahiri wa kufukuzwa kazi mara moja !
Kazi ya jeshi si kusachi na kukamata raia hiyo ni kazi ya polisi ndio wanaopewa mamlaka hayo na katiba ya nchi hii.
Huyu aondolewe kazini mara moja.Nadhani sasa anavuka mipaka
😁😁😁😁 huo muda wa police kufanya hivyo umeisha, na ukishaona hawa wameingilia jambo ujue kazi ipo. Uzuri walitoa tangazo na siku za kufata maelkezo. Kama ulikaza shingo acha livunjike sasa. Vaa wakukute ili ujue wanaweza kukamata au watakwambia usubiri police waje kukukamata 🤣🤣🤣🤣
 
Sijuhi kwanini wengi mmeona approach ya JWTZ sio sawa juu ya hili jambo la mavazi.
Hiyo ya mavazi yanayofanana na Sare za JWTZ kuvaliwa mitaani binafsi nakubaliana nao.
Ila hapa kuna zaidi ya hilo kuanzia nidhamu na utii kwa Taifa na kanuni zake kufuatwa, kuna jambo linaendelea ktk kukumbushana wajibu kwa mtindo wake.
Wananchi tuko wengi hivyo tunaweza fanana ktk uono wa jambo ila hii inaenda both ways nako wako wengi hivyo halikua jambo la mmoja kuamua ila wa kusema akatumwa.
HESHIMU KAZI YA MWENZIO.

Sent from my Infinix X682B using JamiiForums mobile app
 
Nauliza tu, kuna vinguo vingi vya watoto let's say wa umri wa mwaka mmoja miwili, wakimkuta yuko clinic watamkamata? wajeda watakuwa wamepewa deal kuvua nguo za watoto wetu na kuzihamisha kwa familia zao, ngoja tuone
Hii jana tu nimepita mahali nimekuta watoto mtaani wanacheza mmoja kavaa kombati bichi kabisa, kichwani kwangu nikawaza sana hapa kuna namna na wala sio hizi nguo tu.

Sent from my Infinix X682B using JamiiForums mobile app
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.

Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.

“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.

Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.
Hawana kazi za kufanya hawa! Na ndiyo maana wanaona wafanye oparesheni za kipuuzi.

Ningekuwa Rais, ningewapeleka misitu ya Congo ili wakapambane na waasi wa M23 na ADF (ila kwa siri ningewapa special mission ya kubeba maliasili zote za Wacongoman, na kuzileta nchini ili zikauzwe kwa Mabeberu na Wachina).
 
Wamekosa kazi bora za kufanya.Hizi ni akili za mananga na mikuruta mijinga.Waende wakaombe kazi za kiume pale Niger au Mali tuone morali waliyonayo pamoja na utimamu wao wa akili na mwili.
Kabisa ni aibu kubwa kwa jeshi kudeal na jambo la kipuuzi kama hili Bora lingeatangaza hata oparesheni ya kutokomeza mateja au panya road na aina nyingine za uhalifu sio kuja kusaka mitumba ambayo wanajua wazi haitengenezwi hapa bongo na imeingizwa Nchini kisheria kabisa uzuri huku maporini sie tunavaa tu hata hapa nilipo nimejibonda US ARMY na hamtakaa mnitie mbaroni karibuni makete
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, hakuna marefu yasio na ncha, safari 1 huanzisha nyingine, za mwizi 40, Simba mwenda Pole ndio hula..., Za kuambiwa changanya na Zako,msije mkasema hakukumbushwa
Kula chuma hiko
---

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema siku saba zilizotolewa kusalimisha mavazi yanayofanania na sare za jeshi kwa hiari zimeisha, hivyo jeshi litaingia kuzisaka nguo hizo kwa wananchi.

Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Msemaji wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda amesema jeshi halina utani katika suala hilo, kwani katazo hilo ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha Sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 yaliyofanyiwa marejeo mwaka 2002 pamoja na kifungu cha 178 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 na kifungu cha 6 cha Sheria ya Usalama wa Taifa.

“Muda wao wa kusalimisha kwa hiari umeisha, kama mtu atakuwa hajasalimisha basi tutazifuata wenyewe, na mtindo upi tutatumia kuzichukua kwa wananchi tunajua wenyewe,” amesema Kamanda Ilonda.

Ameongeza kuwa sheria inakataza kutengeneza, kuagiza, kuuza na kutumia sare za JWTZ au zinazofanana na sare hizo bila kuwa na kibali kutoka katika mamlaka husika.

Kazi ya jeshi ni hii kweli? Mmmhh, nadhani JWTZ lina mambo mkubwa ya msingi kufuatilia kuliko hili, washatoa tamko, sioni watu wakivaa sare tena, sasa wanatafuta nini cha ziada..
 
Sio Kwa huu mkwara👆👆🤣

Miaka 3 nyuma kule kusini walivamia terrorist wakachoma nyumba moto karibu 100 na kuua watu, Je hiyo intelligence Yao ulikuwa iko wapi?
Nyumba 100 unazijua mzee?
Vitongoji vitatu hivyo.
Watu zaidi ya mia tano,uwe unafikiri kabla hujaandika.
Tukio lilitokea ndio, ila Nyumba 100 hapana.
 
Hapa kinachoangaliwa ni sheria ya nchi. Tupige tu kelele kujifariji lakini kama una mzigo unaofanana na mali za hao wapelekee au choma moto hasa wafanyabiashara kagueni maghala yenu.
 
Back
Top Bottom