Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ehe ,ukabishane kwengine [emoji1]Kwaherini, mimi nimeshaeleza yangu, simo.
Ngoja nikabishane kwengine, hapa hapanihusu.
[emoji847][emoji847][emoji847]Wamekosa kazi bora za kufanya.Hizi ni akili za mananga na mikuruta mijinga.Waende wakaombe kazi za kiume pale Niger au Mali tuone morali waliyonayo pamoja na utimamu wao wa akili na mwili.
We ni mseng£ kweli wewe ,fala kabisa .Akili za matacle ,Mnaoandika hovyo msifikiri JF haina limit ya kuwalinda.
Nawashauri muwache kuongea kijinga, wakimtaka mtu hapa JF wana uwezo wa kumpata ndani ya muda mchache sana.
Eleweni kuwa hii mitandao hakuna pakujificha na hakuna kinachofutika hata wewe ukifuta.
Chezeeni vingine, msichezee watu wanaojitolea maisha yao kutulinda.
Wapuuzi wameshindwa kupambana na magaidi Kibiti na Rufiji ,kila siku askari wao wanachinjana huko , wanaleta uzwazwa na kuongea mambo ya kipumbavu hapa badala ya kudeal na vitu vya maana , jeshi la kikuMASio Kwa huu mkwara[emoji115][emoji115][emoji1787]
Miaka 3 nyuma kule kusini walivamia terrorist wakachoma nyumba moto karibu 100 na kuua watu, Je hiyo intelligence Yao ulikuwa iko wapi?
DuhWe ni mseng£ kweli wewe ,fala kabisa .Akili za matacle ,
Fool you
He he he he bila shaka ulishapita JKT.Wamekosa kazi bora za kufanya.Hizi ni akili za mananga na mikuruta mijinga.Waende wakaombe kazi za kiume pale Niger au Mali tuone morali waliyonayo pamoja na utimamu wao wa akili na mwili.
Uweke nidhamu Kwa wananchi alafu unapigwa na adui, hii ajili au ugoroJeshi kidogo lazima litupe mkwara kiaina lazivyo na sisi tutakuwa na vikundi vikundi vya magaidi Kama kwa wenzetu, hata ukiwa baba kidogo lazima utetemeshe kwako ili nidhamu iwepo nyumbani.
Kabisaa wangelikua na kazi wasingekua na petty ishu za namna hiiKukosa kazi raha.