Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiko hoi, wahusika wenyewe wako mtaani kusaka vitambaa badala ya kuchimba chuma ludewa kule.Kile kiwanda cha jeshi ya nyumbu sijui kiliishia wapi? [emoji3][emoji3] nakumbuka enzi za mwalim, kiwanda kiliwahi kuzalisha magari pale.
Mchezo utakuwa mzuri.. tutafute neutral ground, game ipigwe.Tumuombe rwanda
Ukishaona hivyo ujuwe wanapo pa kuanzia, wana intelijensia yao.
Aisee hadi aibuJWTZ ni moja ya Taasisi inayo heshimika na kukubalika kwa wananchi walio wengi, ziko nyengine. Kama walitoa muda, wakurudisha kesha rudisha na waoga wameshazipoteza kuepuka kukutwa na kidhibiti. Hii ya kuingia mtaani waachane nayo, waendelee na kazi yao kubwa ya kulinda mipaka, hasa kipindi hiki ambacho tunaambiwa liko lango mojawapo muhimu la nchi litakuwa na wageni wakijitafutia ridhiki langoni.
umeua huyo kikongwe ajuza anazeeka na akili zinarudi kinda gateni!Mbibi kwa mkwara tu. Too old to threaten us. At your advanced age you should be busy arranging your burial arrangements and clarifying your will.
Pole kwa wananchi walioathirika.Sio Kwa huu mkwara👆👆🤣
Miaka 3 nyuma kule kusini walivamia terrorist wakachoma nyumba moto karibu 100 na kuua watu, Je hiyo intelligence Yao ulikuwa iko wapi?
NakaziaUna maanisha jeshi letu halina kazi?
Jeshi la CCM hili. Ikipatikana KATIBA MPYA litasukwa upya na KUFURUSHA mapandikizi yote ya chama twawalajeshi la hovyo sana.... wameshindwa na yule mtoto kule Brikina Faso.......Uzalendo sifuri.