JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

Wameshindwa kusaka wezi wa IPTL, SYMBION, DPW, Ardhi NGORONGORO , Wanyama pori, TTCL, ATCL, leo waje na matumbo yao makubwa eti nguo na wakati hawana hata kiwanda cha kushona Chupi!
Ankoli aibu naona mm
 
JWTZ ni moja ya Taasisi inayo heshimika na kukubalika kwa wananchi walio wengi, ziko nyengine. Kama walitoa muda, wakurudisha kesha rudisha na waoga wameshazipoteza kuepuka kukutwa na kidhibiti. Hii ya kuingia mtaani waachane nayo, waendelee na kazi yao kubwa ya kulinda mipaka, hasa kipindi hiki ambacho tunaambiwa liko lango mojawapo muhimu la nchi litakuwa na wageni wakijitafutia ridhiki langoni.
Aisee hadi aibu
 
Sio Kwa huu mkwara👆👆🤣

Miaka 3 nyuma kule kusini walivamia terrorist wakachoma nyumba moto karibu 100 na kuua watu, Je hiyo intelligence Yao ulikuwa iko wapi?
Pole kwa wananchi walioathirika.
 
Mafunzo yote ya kimedani mliyoyapata hichi ndicho mnachoweza KUKIFANYA? Makamanda mnatuaibisha sana
 
Lengo la kufanya hivi ni kubet kama watanigundua au la.
Pia vitu ninavyojivunia navyo ni wajihi wangu na kuzijua taratibu zao. KIUFUPI HAWATANIDAKA.
 
Ningewaona wana busara na uchungu na malizetu iwapo watajikita kuwasaka wanao ingia mikataba mibovu yenye hasara
 
Back
Top Bottom