Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Sheria za kulinda uovu wa Jiwe au siyo?..

Kwa hiyo hizo sheria Kabendera alizivunja baada ya Jiwe kuwa Rais si ndio?

Peleka utaahira huko.
Ukivunja sheria ni suala la muda tu. Inaweza pita hata miaka kumi. Hata waliokwepa kodi enzi za JK na kujiona wapo juu ya sheria za kodi kwa muda mrefu walikiona cha moto pale walipodaiwa malimbikizo.

Kwa hiyo unapovunja sheria ukaachwa kwa wakati huo usijione mjanja.
 
Iwe kulikuwa na ugomvi au haukuwepo na iwe aliuamua au hakuuamua. Wewe na wewe ni marehemu mtarajiwa. Atakayetoa hukumu ya mwisho ni Mungu.
Mungu ndiye aliyeuamua baada ya kusikia kilio chetu.
Rais jizi vile 1.5 trilioni na mauwaji kibao.
Linatomba mpaka ndugu wa mkewe...
Chafu sana lile
 
Hata kuandika kwenyewe hujui
 
Hata waliovunja sheria na kuuwa na kupora watanzania MUNGU kalala mbele na kiongozi wao
 
Mungu kamlipia Kwa Kumpeleka Motoni Mteai wa Kaendendera
 

Tumuache Kabendera aseme ya moyoni
 
Wajinga kama nyie ndio mnafanya nchi iwe kama ilivyo. Mtu anakipigania kilicho chake unadai katumwa. Dhulma ilifanyika ameonewa pakubwa sana. Kumbuka ata ulaya kuna wazee walioshiriki vita ya 2 ya dunia wakafanya maovu, file likifukuliwa unahukumiwa. Acha akili za kijinga tukiacha kila siku yapite atakuja dhalimu mwingine tena.
A jig a
 
Huyo Kabendera ana umuhimu gani? Watu wameshachoshwa na serkali za kionezi tangu zama zote lkn yeye yuko sasa kusema ubaya uliopita naasiseme uliopo, hakuwahi kuongelea kuwa hela za viroba zilikuwa ni za UMMA au ? Hiyo ESCROW ulikuwa ni upigaji au la.
Hii awamu itapita itashughulika naye awamu nyingine hata kama ni ya 20.
Angekuwa mwerevu angenyamaza.
Hawa wazee unaona wakila bethidei wana makosa lkn tunawatakia maisha marefu hakuna kuwazonga kulipa kisasi tunasonga mbele sasa
 
Ukweli mtupu, jamaa anajipa umuhimu usiokuwanao
Badala ajibu hoja yeye analeta yale yale ya kutisha watu. Mimi nadhan ingekuwa bora kama angemfata yeye binafsi na kumpa huu ushauri wako
Kila mtu ana haki ya kuandika jambo hapa JF ili mradi havunji kanuni na maudhui ya forum au hata sheria za nchi.

Hao wengine walioandika dhidi ya kabendera mbona hamjawaambia au kuwaona wamepotoka?


Tuache kuwaona wengine wanakosea na wengine hawakosei, hii nchi yetu sote.
 
Hi sipo kwa system read well my words. Nimesema kile nakiona kesho ya Bendera. Either ametumwa au kajituma anacheza na asio wajuwa na mwisho atavuna mabuwa. Is better afunge mdomo asonge mbele.a asnate
Una wasiwasi atakutaja kwenye upuuzi wa kupoteza watu!? Wewe hofu yako nini yeye akisema madhila ya mfalme wenu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…