Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Watanzania wengi waliishi kwa unafiki kwasababu ya mfumo aliouweka haikuwa rahisi watu ku reveal hisia zao hadharani.
Lakini bado naungana na wewe kuwa watu walikuwa wanampenda (ila napinga factor ya kusema walikuwa ni wengi)
Kuna watu wamepata kazi kwenye mifumo ambayo iliharibiwa na connection.
Kuna watu walidhurumiwa na watu wenye nguvu lakini kupitia yeye haki zao zililipwa.
Kiukweli amefanya mengi kuigusa jamii na hilo nitakuwa mjinga kama nitapinga.
Kama binadamu nakubali kuwa alikuwa na mapungufu yake na pia alikuwa na mazuri yake.
Lakini katika mapungufu ya binadamu kuna mzani ambao mapungufu hayo tunayapima na kuangalia ni kwa kiasi gani tunaweza kuya ignore na ku move on na mazuri.
Mfano tunaweza kutambua kuwa ndoa zina changamoto na hizo changamoto zinakuja kwa mapungufu ya binadamu.
Mume ambaye alikuwa anamjali sana mke wake kwa kufanya kila kitu cha kumridhisha ikiwemo kumnunulia zawadi mbalimbali ili awe na furaha.
Then siku ikatokea mke amezidisha chumvi kwenye chakula halafu reaction ya mume ikawa ni kumgombeza kwa ukali.
Wote tukisimuliwa hicho kisa basi katika mizani ya mapungufu ya binadamu tunaweza kuona hiyo kama ni sehemu ya weakness ya mwanaume na pengine tukamshauri mwanamke a-move on.
Lakini kama story hiyo ikawa mume kuishia kumchinja na kisu mke wake kwasababu ya kuzidisha chumvi, hatuwezi kusema ni mapungufu ya binadamu kwa kitendo hicho.
Na kwamba tunapaswa kuachana na mabaya hayo na kukumbuka mazuri ya huyo mwanaume kwa jinsi alivyompa zawadi mbalimbali mke wake hadi kwenye siku ya birthday yake.
Hiyo haiwezi kuwa sawa
Lazima tukubaliane kuna viwango vya ubaya ambavyo mtu ukivifanya unakuwa umevuka mstari. Watu hawawezi kuona thamani ya yale mazuri uliyoyafanya.
Magufuli kama kweli alihusika na hayo mauaji tena kwa mkono wake basi hoja ya kusema alisaidia sijui kupata lami itakuwa ni ujinga unless huyo aliyeuliwa ithibitishwe alikuwa jambazi aliyehatarisha maisha ya raisi kwa wakati huo.
Nje na hapo utabaki kuwa utetezi irrational tu. Na ukitaka kujua how it feels jiweke kwenye nafasi za familia za hao wahanga kisha pima hoja za kuonesha mazuri ya JPM kama zitakuwa valid kwako.
Lakini bado naungana na wewe kuwa watu walikuwa wanampenda (ila napinga factor ya kusema walikuwa ni wengi)
Kuna watu wamepata kazi kwenye mifumo ambayo iliharibiwa na connection.
Kuna watu walidhurumiwa na watu wenye nguvu lakini kupitia yeye haki zao zililipwa.
Kiukweli amefanya mengi kuigusa jamii na hilo nitakuwa mjinga kama nitapinga.
Kama binadamu nakubali kuwa alikuwa na mapungufu yake na pia alikuwa na mazuri yake.
Lakini katika mapungufu ya binadamu kuna mzani ambao mapungufu hayo tunayapima na kuangalia ni kwa kiasi gani tunaweza kuya ignore na ku move on na mazuri.
Mfano tunaweza kutambua kuwa ndoa zina changamoto na hizo changamoto zinakuja kwa mapungufu ya binadamu.
Mume ambaye alikuwa anamjali sana mke wake kwa kufanya kila kitu cha kumridhisha ikiwemo kumnunulia zawadi mbalimbali ili awe na furaha.
Then siku ikatokea mke amezidisha chumvi kwenye chakula halafu reaction ya mume ikawa ni kumgombeza kwa ukali.
Wote tukisimuliwa hicho kisa basi katika mizani ya mapungufu ya binadamu tunaweza kuona hiyo kama ni sehemu ya weakness ya mwanaume na pengine tukamshauri mwanamke a-move on.
Lakini kama story hiyo ikawa mume kuishia kumchinja na kisu mke wake kwasababu ya kuzidisha chumvi, hatuwezi kusema ni mapungufu ya binadamu kwa kitendo hicho.
Na kwamba tunapaswa kuachana na mabaya hayo na kukumbuka mazuri ya huyo mwanaume kwa jinsi alivyompa zawadi mbalimbali mke wake hadi kwenye siku ya birthday yake.
Hiyo haiwezi kuwa sawa
Lazima tukubaliane kuna viwango vya ubaya ambavyo mtu ukivifanya unakuwa umevuka mstari. Watu hawawezi kuona thamani ya yale mazuri uliyoyafanya.
Magufuli kama kweli alihusika na hayo mauaji tena kwa mkono wake basi hoja ya kusema alisaidia sijui kupata lami itakuwa ni ujinga unless huyo aliyeuliwa ithibitishwe alikuwa jambazi aliyehatarisha maisha ya raisi kwa wakati huo.
Nje na hapo utabaki kuwa utetezi irrational tu. Na ukitaka kujua how it feels jiweke kwenye nafasi za familia za hao wahanga kisha pima hoja za kuonesha mazuri ya JPM kama zitakuwa valid kwako.