Kabendera, Kitabu pekee hakina nguvu ya kumfanyia Mtu Character Assassination kwenye nchi Maskini hasa za Afrika

Kabendera, Kitabu pekee hakina nguvu ya kumfanyia Mtu Character Assassination kwenye nchi Maskini hasa za Afrika

Hata hivyo kuna kitabu kingine cha yule prof wa zambia kinachomsifia Magu kitasomwa pia kwahiyo tusichukulie hivi vya kumkashifu pekee ndivyo vitasomwa baada ya miaka 200
HACHAFUKI KAMWE !
Hii yote ni janja janja ya mabeberu na mafisadi !
Tumewastukia 🙏 !
 
Habari Wakuu!

January hii imeanza na mambo mengi lakini Mpaka sasa kwa humu JF kuna mambo Makuu mawili yaliyovuta usikivu wa wengi, Jambo la Kwanza ni Uchaguzi wa CHADEMA, na lile la Pili, ni Kitabu cha Kabendera.

Kwanza nikiri, Sina hicho kitabu, hivyo sijakisoma. Lakini kupitia utangulizi nilioupata kutokana na interview aliyofanyiwa Mwandishi wa kitabu hicho, Muhtasari alioutoa umetoa picha kuwa Kitabu hicho kinahusu nini na kina lenga nini.

Lengo kubwa kabisa la Kitabu hicho, ni kuonyesha Mabaya, ushenzi, na maovu ya Magufuli iwe yalikuwa yanajulikana au Yale ambayo yalikuwa hayajulikani.
Kwa lugha za mtaani, Kitabu hicho kimelenga kumuanika na kumkaanga vibaya Hayati JPM.

Mimi sina tatizo na Jambo hilo ikiwa yaliyoandikwa humo ni KWELI.

Ishu Ipo kwenye Matokeo, je Kitabu hicho kitakuwa na athari yoyote kwa Watu, hasa Tabaka la chini ambalo ndio kundi kubwa la Watanzania?
Hapa jibu ni Hapana.

Kitabu hiki hakitakuwa na athari zozote kwa Watanzania wengi. Kwa sababu zifuatazo;

1. Watanzania wengi sio wapenzi WA kusoma vitabu.
Hivyo kwenye Watanzania Milioni 60 Kitabu hicho hakiwezi kusomwa hata na Watanzania Laki Moja.
Na watakaofanikiwa kukisoma ni kundi la Tabaka Fulani la juu na lile la Wasomi.

2. Kitabu kipo kwa Lugha ya kingereza.
Kusoma vitabu ni changamoto kwa Watanzania. Sasa unapowaongezea Lugha ya kingereza Watanzania wengi waliochini ya Dola Moja ambao Lugha hiyo ni changamoto ni wazi hawatasoma.

3. Kitabu kinamsakama Magufuli ambaye ni wazi ni kipenzi cha Watanzania waliowengi.
Ingawaje Mimi Taikon Mtibeli sikufurahishwa na Mifumo na mienendo ya utawala wa Magufuli lakini hiyo haimaanishi kuwa sikuona jinsi Watanzania wengi walivyokuwa wanampenda Magufuli.

Nachelea kusema, Magufuli ndiye Rais aliyekuwa anapendwa zaidi na Watanzania kuliko Rais yeyote tangu nchi hii ipate Uhuru.

Kwa Watanzania, Magufuli ni kama Mtume wao. Hata ungemsema kwa ubaya gani wao wangemtetea, wasingekuamini.

Kabendera na Kitabu chake Hana namna yoyote hata angekuja na ushahidi WA video kuonyesha unyama wa Magufuli bado Watanzania wengi wangekataa katakata na kusema video hiyo ni AI.

4. Kabendera licha ya kuwa Watanzania wengi hawamjui lakini ikitokea wakamjua watamhusianisha na kibaraka wa Mabeberu.
Kwa nature ya Watanzania wengi walivyo, Kabendera hawezi kusema lolote la maana au kumsema vibaya Magufuli na Watanzania wakamuelewa.
Kabendera atakuwa labelled kama kibaraka tuu wa Mabeberu
Na Kitabu chake hakina maana yoyote kwa Jamii ya kitanzania.

Kitabu cha Kabendera ingawaje kwa Sisi Watibeli kinaweza kuwa kumbukumbu ya kihistoria, na kuonyesha madhaifu ya Mfumo wetu na Katiba yetu,
Lakini kwa Watanzania, Kitabu hicho hakitapewa uzito kihivyo.

Kwa upande wa Wazungu, Kitabu hicho hakina mambo yoyote mapya ya kutisha KW sababu mambo yote yaliyotajwa humo kwa Wazungu sio mageni pale waonapo viongozi wa Afrika au nchi zisizoendelea au zinazoendelea.

Haya!
Kaangalie hii movie mkuu
 

Attachments

  • ppv4777724868593031812d2435c8a-d29c-4b6a-8dd8-f840d00ef6a5.mp4
    2.7 MB
Ha
Watanzania wengi waliishi kwa unafiki kwasababu ya mfumo aliouweka haikuwa rahisi watu ku reveal hisia zao hadharani.

Lakini bado naungana na wewe kuwa watu walikuwa wanampenda (ila napinga factor ya kusema walikuwa ni wengi)

Kuna watu wamepata kazi kwenye mifumo ambayo iliharibiwa na connection.

Kuna watu walidhurumiwa na watu wenye nguvu lakini kupitia yeye haki zao zililipwa.

Kiukweli amefanya mengi kuigusa jamii na hilo nitakuwa mjinga kama nitapinga.

Kama binadamu nakubali kuwa alikuwa na mapungufu yake na pia alikuwa na mazuri yake.

Lakini katika mapungufu ya binadamu kuna mzani ambao mapungufu hayo tunayapima na kuangalia ni kwa kiasi gani tunaweza kuya ignore na ku move on na mazuri.

Mfano tunaweza kutambua kuwa ndoa zina changamoto na hizo changamoto zinakuja kwa mapungufu ya binadamu.

Mume ambaye alikuwa anamjali sana mke wake kwa kufanya kila kitu cha kumridhisha ikiwemo kumnunulia zawadi mbalimbali ili awe na furaha.

Then siku ikatokea mke amezidisha chumvi kwenye chakula halafu reaction ya mume ikawa ni kumgombeza kwa ukali.

Wote tukisimuliwa hicho kisa basi katika mizani ya mapungufu ya binadamu tunaweza kuona hiyo kama ni sehemu ya weakness ya mwanaume na pengine tukamshauri mwanamke a-move on.

Lakini kama story hiyo ikawa mume kuishia kumchinja na kisu mke wake kwasababu ya kuzidisha chumvi, hatuwezi kusema ni mapungufu ya binadamu kwa kitendo hicho.

Na kwamba tunapaswa kuachana na mabaya hayo na kukumbuka mazuri ya huyo mwanaume kwa jinsi alivyompa zawadi mbalimbali mke wake hadi kwenye siku ya birthday yake.

Hiyo haiwezi kuwa sawa

Lazima tukubaliane kuna viwango vya ubaya ambavyo mtu ukivifanya unakuwa umevuka mstari. Watu hawawezi kuona thamani ya yale mazuri uliyoyafanya.

Magufuli kama kweli alihusika na hayo mauaji tena kwa mkono wake basi hoja ya kusema alisaidia sijui kupata lami itakuwa ni ujinga unless huyo aliyeuliwa ithibitishwe alikuwa jambazi aliyehatarisha maisha ya raisi kwa wakati huo.

Nje na hapo utabaki kuwa utetezi irrational tu. Na ukitaka kujua how it feels jiweke kwenye nafasi za familia za hao wahanga kisha pima hoja za kuonesha mazuri ya JPM kama zitakuwa valid kwako.
Hakuna awamu ambayo haikuwaacha wahanga !
Mwamba HACHAFUKI na Hachafuliwi kwa wanyonge wa Nchi hii ambao ndio wengi !
Mengine yote ni Abracadabra za akina naniliu wa Nchi hii a.k.a Wajanja wajanja !
 
Habari Wakuu!

January hii imeanza na mambo mengi lakini Mpaka sasa kwa humu JF kuna mambo Makuu mawili yaliyovuta usikivu wa wengi, Jambo la Kwanza ni Uchaguzi wa CHADEMA, na lile la Pili, ni Kitabu cha Kabendera.

Kwanza nikiri, Sina hicho kitabu, hivyo sijakisoma. Lakini kupitia utangulizi nilioupata kutokana na interview aliyofanyiwa Mwandishi wa kitabu hicho, Muhtasari alioutoa umetoa picha kuwa Kitabu hicho kinahusu nini na kina lenga nini.

Lengo kubwa kabisa la Kitabu hicho, ni kuonyesha Mabaya, ushenzi, na maovu ya Magufuli iwe yalikuwa yanajulikana au Yale ambayo yalikuwa hayajulikani.
Kwa lugha za mtaani, Kitabu hicho kimelenga kumuanika na kumkaanga vibaya Hayati JPM.

Mimi sina tatizo na Jambo hilo ikiwa yaliyoandikwa humo ni KWELI.

Ishu Ipo kwenye Matokeo, je Kitabu hicho kitakuwa na athari yoyote kwa Watu, hasa Tabaka la chini ambalo ndio kundi kubwa la Watanzania?
Hapa jibu ni Hapana.

Kitabu hiki hakitakuwa na athari zozote kwa Watanzania wengi. Kwa sababu zifuatazo;

1. Watanzania wengi sio wapenzi WA kusoma vitabu.
Hivyo kwenye Watanzania Milioni 60 Kitabu hicho hakiwezi kusomwa hata na Watanzania Laki Moja.
Na watakaofanikiwa kukisoma ni kundi la Tabaka Fulani la juu na lile la Wasomi.

2. Kitabu kipo kwa Lugha ya kingereza.
Kusoma vitabu ni changamoto kwa Watanzania. Sasa unapowaongezea Lugha ya kingereza Watanzania wengi waliochini ya Dola Moja ambao Lugha hiyo ni changamoto ni wazi hawatasoma.

3. Kitabu kinamsakama Magufuli ambaye ni wazi ni kipenzi cha Watanzania waliowengi.
Ingawaje Mimi Taikon Mtibeli sikufurahishwa na Mifumo na mienendo ya utawala wa Magufuli lakini hiyo haimaanishi kuwa sikuona jinsi Watanzania wengi walivyokuwa wanampenda Magufuli.

Nachelea kusema, Magufuli ndiye Rais aliyekuwa anapendwa zaidi na Watanzania kuliko Rais yeyote tangu nchi hii ipate Uhuru.

Kwa Watanzania, Magufuli ni kama Mtume wao. Hata ungemsema kwa ubaya gani wao wangemtetea, wasingekuamini.

Kabendera na Kitabu chake Hana namna yoyote hata angekuja na ushahidi WA video kuonyesha unyama wa Magufuli bado Watanzania wengi wangekataa katakata na kusema video hiyo ni AI.

4. Kabendera licha ya kuwa Watanzania wengi hawamjui lakini ikitokea wakamjua watamhusianisha na kibaraka wa Mabeberu.
Kwa nature ya Watanzania wengi walivyo, Kabendera hawezi kusema lolote la maana au kumsema vibaya Magufuli na Watanzania wakamuelewa.
Kabendera atakuwa labelled kama kibaraka tuu wa Mabeberu
Na Kitabu chake hakina maana yoyote kwa Jamii ya kitanzania.

Kitabu cha Kabendera ingawaje kwa Sisi Watibeli kinaweza kuwa kumbukumbu ya kihistoria, na kuonyesha madhaifu ya Mfumo wetu na Katiba yetu,
Lakini kwa Watanzania, Kitabu hicho hakitapewa uzito kihivyo.

Kwa upande wa Wazungu, Kitabu hicho hakina mambo yoyote mapya ya kutisha KW sababu mambo yote yaliyotajwa humo kwa Wazungu sio mageni pale waonapo viongozi wa Afrika au nchi zisizoendelea au zinazoendelea.

Haya!
Vyovyote itakavyo kuwa lakini ukweli umeandikwa. Hapa sio mapenzi ya Watanzania bali ni ukatili wa huyo mwendazake mshenzi.
 
Sawa, lakini ukweli wa baadhi ya maovu yake umma wa watanzania umeshayajua. RIP Ben Saa 8.
 
No matter how incendiary or factual this book is, it is soon to be sent into the dustbin of history just like, KAPTURA LA MARX, NYERERE ALIKUWA MCHAWI, WHO TELLS THE TRUTH IN TANZANIA, KWAHERI UKOLINI:KWAHERI UHURU, nk.

The old will die, and the young will forget.​
 
Kama lilivyo jina lake Kabendera ni kafuata upepo tu kuna upepo fulani kana ufuata ni mambo ya msimu hayana madhara.
 
Habari Wakuu!

January hii imeanza na mambo mengi lakini Mpaka sasa kwa humu JF kuna mambo Makuu mawili yaliyovuta usikivu wa wengi, Jambo la Kwanza ni Uchaguzi wa CHADEMA, na lile la Pili, ni Kitabu cha Kabendera.

Kwanza nikiri, Sina hicho kitabu, hivyo sijakisoma. Lakini kupitia utangulizi nilioupata kutokana na interview aliyofanyiwa Mwandishi wa kitabu hicho, Muhtasari alioutoa umetoa picha kuwa Kitabu hicho kinahusu nini na kina lenga nini.

Lengo kubwa kabisa la Kitabu hicho, ni kuonyesha Mabaya, ushenzi, na maovu ya Magufuli iwe yalikuwa yanajulikana au Yale ambayo yalikuwa hayajulikani.
Kwa lugha za mtaani, Kitabu hicho kimelenga kumuanika na kumkaanga vibaya Hayati JPM.

Mimi sina tatizo na Jambo hilo ikiwa yaliyoandikwa humo ni KWELI.

Ishu Ipo kwenye Matokeo, je Kitabu hicho kitakuwa na athari yoyote kwa Watu, hasa Tabaka la chini ambalo ndio kundi kubwa la Watanzania?
Hapa jibu ni Hapana.

Kitabu hiki hakitakuwa na athari zozote kwa Watanzania wengi. Kwa sababu zifuatazo;

1. Watanzania wengi sio wapenzi WA kusoma vitabu.
Hivyo kwenye Watanzania Milioni 60 Kitabu hicho hakiwezi kusomwa hata na Watanzania Laki Moja.
Na watakaofanikiwa kukisoma ni kundi la Tabaka Fulani la juu na lile la Wasomi.

2. Kitabu kipo kwa Lugha ya kingereza.
Kusoma vitabu ni changamoto kwa Watanzania. Sasa unapowaongezea Lugha ya kingereza Watanzania wengi waliochini ya Dola Moja ambao Lugha hiyo ni changamoto ni wazi hawatasoma.

3. Kitabu kinamsakama Magufuli ambaye ni wazi ni kipenzi cha Watanzania waliowengi.
Ingawaje Mimi Taikon Mtibeli sikufurahishwa na Mifumo na mienendo ya utawala wa Magufuli lakini hiyo haimaanishi kuwa sikuona jinsi Watanzania wengi walivyokuwa wanampenda Magufuli.

Nachelea kusema, Magufuli ndiye Rais aliyekuwa anapendwa zaidi na Watanzania kuliko Rais yeyote tangu nchi hii ipate Uhuru.

Kwa Watanzania, Magufuli ni kama Mtume wao. Hata ungemsema kwa ubaya gani wao wangemtetea, wasingekuamini.

Kabendera na Kitabu chake Hana namna yoyote hata angekuja na ushahidi WA video kuonyesha unyama wa Magufuli bado Watanzania wengi wangekataa katakata na kusema video hiyo ni AI.

4. Kabendera licha ya kuwa Watanzania wengi hawamjui lakini ikitokea wakamjua watamhusianisha na kibaraka wa Mabeberu.
Kwa nature ya Watanzania wengi walivyo, Kabendera hawezi kusema lolote la maana au kumsema vibaya Magufuli na Watanzania wakamuelewa.
Kabendera atakuwa labelled kama kibaraka tuu wa Mabeberu
Na Kitabu chake hakina maana yoyote kwa Jamii ya kitanzania.

Kitabu cha Kabendera ingawaje kwa Sisi Watibeli kinaweza kuwa kumbukumbu ya kihistoria, na kuonyesha madhaifu ya Mfumo wetu na Katiba yetu,
Lakini kwa Watanzania, Kitabu hicho hakitapewa uzito kihivyo.

Kwa upande wa Wazungu, Kitabu hicho hakina mambo yoyote mapya ya kutisha KW sababu mambo yote yaliyotajwa humo kwa Wazungu sio mageni pale waonapo viongozi wa Afrika au nchi zisizoendelea au zinazoendelea.

Haya!
Lengo la kitabu kuandikwa sio character assassination
 
Bandiko lako liko vizuri ila kuna vitu hujavielewa.

Magufuli akiwa rais kabla ya yote yule alikuwa ni binadamu kama mimi na wewe kuna mahali hata licha ya urais wake alienda na watu kutekeleza au kusaidiwa kutekeleza ila haimaanishi wote walipenda aliyoyafanya sasa hawa ndio walikuwa wakitumia ile account maarufu enzi zile "kutema nyongo" ndio maana umeona alivyofariki hata ile account imebaki kama account za udaku tu kule .

Magufuli alifanya censorship kubwa alizuiwa kusemwa wazi, unapozuia watu kukusema wazi jua watatafuta njia ya wewe kukusema ni katika mlinganyo huo Magufuli na Nyerere ndio wameandikiwa vitabu vya kuonyesha maovu yao cha Nyerere kitafute kinaitwa "The dark side of Nyerere's legacy" kimeandikwa na
Ludovick Mwijage akiwa uhamishoni aliyepitia madhila ya utawala ule na vile teknolojia haikuwa juu basi mengi pia hayakuwahi kujulikana.

Ukiruhusu watu wakakusema na kukukosoa hata ukitokana kitini basi hata ile jazba ya watu itakuwa imepungua , mfano hivi kuna rais aliyewahi kusemwa kama Kikwete?

EPA, Richmomd, Dowans, Meremeta n.k hivi vilijadiliwa wazi hadi kufika bungeni na Richmond ikaondoka na watu live live , nani angeweza kuripoti hivi enzi za Magufuli ambaye alitoa order hata bunge lisiruke live?

Kikwete tangu atoke madarakani ni miaka 9 sasa sina kumbukumbu kama kuna mtu ameandika kitabu kuhusu yeye ila hata siku akiandika usitarajie kitajaaa kama yaliyoyajaa kwenye vitabu alivyoandikiwa Magufuli ambaye hadi sasa ni miaka 3 hayupo madarakani ila kaandikiwa vitabu 2.

Twende mbele turudi nyuma nataka nikukumbushe tu isingekuwa "viapo" s hivyo vyombo vya dola sio wote wanafurahia uonevu na madhila ya kinyama kwa watu.

Nakupa mfano katika mahojiano ya Sativa alipotekwa hadi kufikishwa Oysterbay polisi waliomfikisha pale walimuacha kwa polisi wengine na waliomhoji walibaki kumuuliza tu "Kwani umefanya kosa gani kubwa hadi mtu mkubwa kama huyu ZCO [Mafwele] kuja hapa tena jioni ameacha familia ilhali angepiga tu simu ya amri?

Hivyo tukae tukifahamu ukifanya jambo watu wanakuwa na wewe tofauti na hapo basi labda haupo hai mimi nilisoma na waziri mmoja alikuwa kiongozi wa chakula zile tabia zake za hovyo kuiba vyakula stooni na kuuza mtaani siku amekuwa waziri ile wizara alipata issue moja ya wizi wa pesa za walipakodi mwisho akabebwa kwa jina la mzazi wake na makada wakongwe wa Lumumba ila guess what yule mtu mimi nilimjua kitambo tabia zile na kumbe hata hakubadilika hata alivyofika level ya uongozi wa juu kwenye nchi muda mwingine ni rahisi kumtoa nyani msituni ila sio rahisi kuutoa msitu akilini mwa nyani.
 
Habari Wakuu!

January hii imeanza na mambo mengi lakini Mpaka sasa kwa humu JF kuna mambo Makuu mawili yaliyovuta usikivu wa wengi, Jambo la Kwanza ni Uchaguzi wa CHADEMA, na lile la Pili, ni Kitabu cha Kabendera.

Kwanza nikiri, Sina hicho kitabu, hivyo sijakisoma. Lakini kupitia utangulizi nilioupata kutokana na interview aliyofanyiwa Mwandishi wa kitabu hicho, Muhtasari alioutoa umetoa picha kuwa Kitabu hicho kinahusu nini na kina lenga nini.

Lengo kubwa kabisa la Kitabu hicho, ni kuonyesha Mabaya, ushenzi, na maovu ya Magufuli iwe yalikuwa yanajulikana au Yale ambayo yalikuwa hayajulikani.
Kwa lugha za mtaani, Kitabu hicho kimelenga kumuanika na kumkaanga vibaya Hayati JPM.

Mimi sina tatizo na Jambo hilo ikiwa yaliyoandikwa humo ni KWELI.

Ishu Ipo kwenye Matokeo, je Kitabu hicho kitakuwa na athari yoyote kwa Watu, hasa Tabaka la chini ambalo ndio kundi kubwa la Watanzania?
Hapa jibu ni Hapana.

Kitabu hiki hakitakuwa na athari zozote kwa Watanzania wengi. Kwa sababu zifuatazo;

1. Watanzania wengi sio wapenzi WA kusoma vitabu.
Hivyo kwenye Watanzania Milioni 60 Kitabu hicho hakiwezi kusomwa hata na Watanzania Laki Moja.
Na watakaofanikiwa kukisoma ni kundi la Tabaka Fulani la juu na lile la Wasomi.

2. Kitabu kipo kwa Lugha ya kingereza.
Kusoma vitabu ni changamoto kwa Watanzania. Sasa unapowaongezea Lugha ya kingereza Watanzania wengi waliochini ya Dola Moja ambao Lugha hiyo ni changamoto ni wazi hawatasoma.

3. Kitabu kinamsakama Magufuli ambaye ni wazi ni kipenzi cha Watanzania waliowengi.
Ingawaje Mimi Taikon Mtibeli sikufurahishwa na Mifumo na mienendo ya utawala wa Magufuli lakini hiyo haimaanishi kuwa sikuona jinsi Watanzania wengi walivyokuwa wanampenda Magufuli.

Nachelea kusema, Magufuli ndiye Rais aliyekuwa anapendwa zaidi na Watanzania kuliko Rais yeyote tangu nchi hii ipate Uhuru.

Kwa Watanzania, Magufuli ni kama Mtume wao. Hata ungemsema kwa ubaya gani wao wangemtetea, wasingekuamini.

Kabendera na Kitabu chake Hana namna yoyote hata angekuja na ushahidi WA video kuonyesha unyama wa Magufuli bado Watanzania wengi wangekataa katakata na kusema video hiyo ni AI.

4. Kabendera licha ya kuwa Watanzania wengi hawamjui lakini ikitokea wakamjua watamhusianisha na kibaraka wa Mabeberu.
Kwa nature ya Watanzania wengi walivyo, Kabendera hawezi kusema lolote la maana au kumsema vibaya Magufuli na Watanzania wakamuelewa.
Kabendera atakuwa labelled kama kibaraka tuu wa Mabeberu
Na Kitabu chake hakina maana yoyote kwa Jamii ya kitanzania.

Kitabu cha Kabendera ingawaje kwa Sisi Watibeli kinaweza kuwa kumbukumbu ya kihistoria, na kuonyesha madhaifu ya Mfumo wetu na Katiba yetu,
Lakini kwa Watanzania, Kitabu hicho hakitapewa uzito kihivyo.

Kwa upande wa Wazungu, Kitabu hicho hakina mambo yoyote mapya ya kutisha KW sababu mambo yote yaliyotajwa humo kwa Wazungu sio mageni pale waonapo viongozi wa Afrika au nchi zisizoendelea au zinazoendelea.

Haya!
Kama ni kutahiriwa kabendera anatembea kichwa chake kikihitaji kutahiriwa, sasa sijui hiki alichokianzisha kama alijiandaa maana yake yeye na kizazi chake ahame nchi kwa jinsi ambavyo watanzania walivyo na mahaba na Dkt Magufuli, he is a deadman walking! Atakufa kifo kibaya sana na familia yake wote kawaletea tabu sana, no kabendera will be spared. Kama alidhani ni ngojera atapata umaarufu basi kajichimbia kaburi la mateso na vifo kwake yeye na familia yake. Dunia ndi ndogo na ni duara, Dkt Magufuli ni jeshi kubwa na Mungu siku zote amekuwa upande wake na ndiyo maana hata Tundu Lisu mwaka 2024/25 ndiyo kajua akiyetaka kumuua ni mbowe na siyo Dkt Magufuli
 
Habari Wakuu!

January hii imeanza na mambo mengi lakini Mpaka sasa kwa humu JF kuna mambo Makuu mawili yaliyovuta usikivu wa wengi, Jambo la Kwanza ni Uchaguzi wa CHADEMA, na lile la Pili, ni Kitabu cha Kabendera.

Kwanza nikiri, Sina hicho kitabu, hivyo sijakisoma. Lakini kupitia utangulizi nilioupata kutokana na interview aliyofanyiwa Mwandishi wa kitabu hicho, Muhtasari alioutoa umetoa picha kuwa Kitabu hicho kinahusu nini na kina lenga nini.

Lengo kubwa kabisa la Kitabu hicho, ni kuonyesha Mabaya, ushenzi, na maovu ya Magufuli iwe yalikuwa yanajulikana au Yale ambayo yalikuwa hayajulikani.
Kwa lugha za mtaani, Kitabu hicho kimelenga kumuanika na kumkaanga vibaya Hayati JPM.

Mimi sina tatizo na Jambo hilo ikiwa yaliyoandikwa humo ni KWELI.

Ishu Ipo kwenye Matokeo, je Kitabu hicho kitakuwa na athari yoyote kwa Watu, hasa Tabaka la chini ambalo ndio kundi kubwa la Watanzania?
Hapa jibu ni Hapana.

Kitabu hiki hakitakuwa na athari zozote kwa Watanzania wengi. Kwa sababu zifuatazo;

1. Watanzania wengi sio wapenzi WA kusoma vitabu.
Hivyo kwenye Watanzania Milioni 60 Kitabu hicho hakiwezi kusomwa hata na Watanzania Laki Moja.
Na watakaofanikiwa kukisoma ni kundi la Tabaka Fulani la juu na lile la Wasomi.

2. Kitabu kipo kwa Lugha ya kingereza.
Kusoma vitabu ni changamoto kwa Watanzania. Sasa unapowaongezea Lugha ya kingereza Watanzania wengi waliochini ya Dola Moja ambao Lugha hiyo ni changamoto ni wazi hawatasoma.

3. Kitabu kinamsakama Magufuli ambaye ni wazi ni kipenzi cha Watanzania waliowengi.
Ingawaje Mimi Taikon Mtibeli sikufurahishwa na Mifumo na mienendo ya utawala wa Magufuli lakini hiyo haimaanishi kuwa sikuona jinsi Watanzania wengi walivyokuwa wanampenda Magufuli.

Nachelea kusema, Magufuli ndiye Rais aliyekuwa anapendwa zaidi na Watanzania kuliko Rais yeyote tangu nchi hii ipate Uhuru.

Kwa Watanzania, Magufuli ni kama Mtume wao. Hata ungemsema kwa ubaya gani wao wangemtetea, wasingekuamini.

Kabendera na Kitabu chake Hana namna yoyote hata angekuja na ushahidi WA video kuonyesha unyama wa Magufuli bado Watanzania wengi wangekataa katakata na kusema video hiyo ni AI.

4. Kabendera licha ya kuwa Watanzania wengi hawamjui lakini ikitokea wakamjua watamhusianisha na kibaraka wa Mabeberu.
Kwa nature ya Watanzania wengi walivyo, Kabendera hawezi kusema lolote la maana au kumsema vibaya Magufuli na Watanzania wakamuelewa.
Kabendera atakuwa labelled kama kibaraka tuu wa Mabeberu
Na Kitabu chake hakina maana yoyote kwa Jamii ya kitanzania.

Kitabu cha Kabendera ingawaje kwa Sisi Watibeli kinaweza kuwa kumbukumbu ya kihistoria, na kuonyesha madhaifu ya Mfumo wetu na Katiba yetu,
Lakini kwa Watanzania, Kitabu hicho hakitapewa uzito kihivyo.

Kwa upande wa Wazungu, Kitabu hicho hakina mambo yoyote mapya ya kutisha KW sababu mambo yote yaliyotajwa humo kwa Wazungu sio mageni pale waonapo viongozi wa Afrika au nchi zisizoendelea au zinazoendelea.

Haya!
Unazungumzia tabaka la chini kivipi wewe? Magufuli aliwajali vipi kwanza, kila kitu alikuwa anapeleka Chato, hadi makao makuu ya utalii, center of excellency, makao makuu ya CRDB Chato, badala ya Geita au Katoro, Huo uwanja mkubwa wa hadhi ya class ya kimataifa kwenye kijiji kidogo cha Chato? Wasukuma waliojazwa serikalini( Sina nia mbaya na wasukuma, lakini ukweli lazima usemwe). Wewe unayemtetea ni wazi kuwa umenufaika na uwepo wa Magufuli. Rais mbaguzi haijawahi kutokea, amempita hata mama mwenye kuupiga mwingi.
 
HACHAFUKI KAMWE !
Hii yote ni janja janja ya mabeberu na mafisadi !
Tumewastukia 🙏 !
Bado mnadanganywa na mpo kwenye hangover ya ujamaa, Mabeberu, hao wanaowapa misaada ndiyo mabeberu zenu? Wakiwaambia mnateka na kuua mnawaita mabeberu, wakiwapa pesa mnawaita development partners. Mnachekesha nyiye. Nafuu beberu kuliko mbuzi jike.
 
Well said. Tunampenda sana Magufuli. Vibaraka wa mabeberu wanapoteza tu muda na resources.
 
Bado mnadanganywa na mpo kwenye hangover ya ujamaa, Mabeberu, hao wanaowapa misaada ndiyo mabeberu zenu? Wakiwaambia mnateka na kuua mnawaita mabeberu, wakiwapa pesa mnawaita development partners. Mnachekesha nyiye. Nafuu beberu kuliko mbuzi jike.
Makasiriko !
 
Aliua wangapi we pimbi?

Hivi unajua jk yalilipuka hadi mabomu?

Unajua kama walikufa watu 5 kwa mpiho kwa kurushiwa bomu la mkono kwenye mkutano wa chadema?

Hebu taja watu 5 waliouawa na JPM
Akina Azory Gwanda na Benny Saanane wako wapi.
 
Umechambua vizuri Ila kuhusu Magufuli kupendwa sana hii sio kweli

Magufuli ndo rais Pekee alipokufa watu walikesha bar kunywa na kula .

Japo Mimi nilikuwa namkubali Ila watz wengi walikuwa hawampendi .
Hao ni wa kutaja kwa majina ukamaliza

Kusema ukweli, mwandishi kaandika ukwi tupu, JPM alikuwa lulu ya wengi Tanzania
 
Back
Top Bottom