Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Haya yote hayana maana ikiwa Yesu ni mmoja halafu nyie sio wamoja, kila kikundi kina mambo yake mfano wasabato wanawaita Roman katoliki ni wapagani, sasa wewe endelea kulala
 
[emoji3][emoji3][emoji3] ukiachana na nyuzi za kuchakatana na kula kimasihara , uzi wa mambo ya dini "nani yuko sahihi" huwa unakua mrefu balaa !! Anyway mimi pia huwa napata utata maana baada ya kufa pia tumehaidiwa zawadi mbalimbali , haya maisha tutakayoishi baada ya kufa yametofautiana pia Waislam wamehaidiwa , wakristu (ukisoma hasa unaweza kuona picha ya mbingu itakavyokua) wamehaidiwa ya kwao pia !!! Sasa kama dini zote zimetoka kwa Ibrahimu ina maana tutawekwa mbingu tofauti tofauti ? Mfano kwa wakristu itakua ni kumtukuza Bwana , tukiwa na hao wazee ishirini na nne ! Milele kwa Wenzetu mambo ni tofauti !!
 
Ni kutafuta nguvu ya imani tu hakuna kingine, viongozi wote wa dini ni lazima wasome theology na theology ni moja, na ni mojawapo ya nguzo ya imani katika dini zote.

Kwann dunia isingekua na dini moja tu na wapagani af iyo dini moja ndo ina hangaika kuwa lingania wapagani waingie kwenye dini ya kweli...
 
Ulimuita kafiri Mokaze na wakati ni fellow muslim
 
Mungu ni cheo Unaposema Mungu ni mmoja ni sawa na kusema Raisi duniani ni mmoja, Mungu wenu waislam anaitwa alla Mungu wa wa Kristo tunamwita JEHOVA mungu wa wahindi anaitwa krishina, sasa wewe unaposema mungu ni mmoja na mtume ni mmoja ambaye ni mhamedi uyo ni mungu wa waislamu, msingi wake ni babeli kwa waabudu mwezi na nyota na mawe kama lile lililopo makka
 
1. Utatu mtakatifu, hajafundisha mafundisho haya Yesu.

2. Kwani Wakristo mnamkubali mtime Nabii ? Mbona unauliza swali la kitoto sana na kupotezeana muda ?

Umekimbia kusema Mtume Muhamadi SAW ndiye Roho Mtakatifu.
 
Haya yote hayana maana ikiwa Yesu ni mmoja halafu nyie sio wamoja, kila kikundi kina mambo yake mfano wasabato wanawaita Roman katoliki ni wapagani, sasa wewe endelea kulala

Kwa amri ya Mungu Ibrahim alimtimua Hajiri na Mwanae Ishmaili unashangaa ni sasa? Mungu hakusubiri Magugu na ngano vimee pamoja . Alijua gugu ni lipi ambalo moyo wake uliekea kwa shetani huko kwa miungu ya mamaye Hajiri na kwamba hangeweza kurithi pamoja na yule ambaye moyo wake ulielekea kwa Mungu wa Agano na Baba yake Ibrahim . Yaani Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.
 
Mungu yupi wakati wenyewe mmeshindwa kuelewana kuwa ana vitabu 66 au 73?Mungu yupi huyo wa wasabato au Roman katoliki? mngekuwa mnamjua huyo Mungu mngekuwa kitu kimoja acha porojo
 
Tangu nimeanza kusoma hizi thread za atheists na deitists sijawahi kutana na mada poa kama hii

Leo ukumbi ni wa deitists,siye atheists tukae kando
 
Ahahhahh

Huyo wa tatu anafurahisha
 
Kweli wao wenye matatizo
 
Ni kutafuta nguvu ya imani tu hakuna kingine, viongozi wote wa dini ni lazima wasome theology na theology ni moja, na ni mojawapo ya nguzo ya imani katika dini zote.
Theologia siyo moja kuna aina tano za theology duniani kwa hiyo tofauti hazitakaa ziishe.
 
kama kundi ni ngumu kuondoa tofauti
Kila kundi lina misimamo yake migumu.
Hapa ni kila mtu mmojammoja kujifunza hizi dini zoote then ufanye uchaguzi
 
Haya yote hayana maana ikiwa Yesu ni mmoja halafu nyie sio wamoja, kila kikundi kina mambo yake mfano wasabato wanawaita Roman katoliki ni wapagani, sasa wewe endelea kulala

Ulisha sikia wapi hii tofauti imefanya Neno la Mungu/Injili ya Bwana Yesu isi hubiriwe? Huoni hata wewe imekufanya ujiingize uzungumzie hiyo tofauti na kwa kufanya hivyo jiwe nalo kwa kutokujua linazungumzia Habari Njema kwa watu wote ya Bwana Yesu.
 
Ulisha sikia wapi hii tofauti imefanya Neno la Mungu/Injili ya Bwana Yesu isi hubitrwe? Huoni hata wewe imekufanya ujiingize uzungumzie hiyo tofauti na kwa kufanya hivyo jiwe nalo kwa kutokujua linazungumzia habari njema kwa watu wote ya Bwana Yesu.
Injili ipi wakati wenyewe hamuelewi, ndio maana wote mnadai kumuamini Yesu huku wengine mkiitana wapagani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…