Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Jibu swali wewe vitabu vya huyo Mungu ni 66 au 73?

Jambo la muhimu ni kuwa Injili inawafikia watu wengi zaidi kila iitwapo leo hajilishi idadi ya vitabu kwenye Biblia. Kumbuka kwa records zilizopo Biblia ndio kitabu ambacho kimechapishwa kwa nakala nyingi kuliko chengine chochote duniani. Haijalishi iwe ni ya vitabu 66 au 72.
 
Jambo la muhimu ni kuwa Injili inawafikia watu wengi zaidi kila iitwapo leo hajilishi idadi ya vitabu kwenye Biblia. Kumbu kwa records zilizopo Biblia ndio kitabu ambacho kimechapishwa kwa nakala nyingi kuliko chengine chochote duniani. Hajalishi iwe ni ya vitabu 66 au 72.
Injili fake ndio maana mmeshindwa kuelewana juu ya hiyo injili, mpaka leo mmeshindwa kukubaliana kuwa vitabu ni 66 au 73
 
Tangu nimeanza kusoma hizi thread za atheists na deitists sijawahi kutana na mada poa kama hii

Leo ukumbi ni wa deitists,siye atheists tukae kando

Waamini miungu wanataka kutujengesha mji mwengine wa Babeli na mnara wake wa kuabudiwa unaoitwa umoja wa imani aka mungu mmoja wakati kiuhalisia wana abudu miungu. Mshindwe na mlegee kama miungu barakoa na chanjo zilivyoshindwa kutuleta pamoja na covid free passport.
 
Injili fake ndio maana mmeshindwa kuelewana juu ya hiyo injili, mpaka leo mmeshindwa kukubaliana kuwa vitabu ni 66 au 73

Utasema yote wewe nabii wa kizazi hiki wa mfalme Nimrodi. Polytheisic worshipers katika ubora wao.
 
Ulimuita kafiri Mokaze na wakati ni fellow muslim
Unamjuaje fulani ni MUISLAMU ? Unajua kama wewe huujui UISLAMU ?

Hata yeye mwenyewe (Mokaze) hawezi kuthibitisha ya kuwa yeye ni Muislamu.
 
Makadiani ndo wakina nani

Mi nazungumzia muislamu mwenzako uliye muita kafir
Umeoana sasa ulivyo mjinga. Watu wapo aina nne kwa mujibu wa elimu.

1. Hajui na anajijua yeye hajui, huyu tunamuita MJINGA, anatakiwa kufundishwa.

2. Hajuivna hajui kama yeye hajui na anajiona anajua, huyu anaitwa MPUMBAVU. Huyu ni wewe. Yaani Makadiani huwajui halafu unadai kwamba yeye ni Muislamu mwenzangu ? Unatakiwa kujitambua uache ujuaji sababu unakuwa kituko mbele ya wanao jua.

Muulize muhusika MAKADIANI ni kina nani, atakwambia.

Shukrani.
 
Hili tushalifananua zaidi ya mara moja. Kauli yako unatakiwa kuitolea ufafanuzi.

Jibu ni kuwa namkubali.
Ukikubali mtu anaesema Jua linazama matopeni , ni kwamba umeamua kuwa mpumbavu,
Waislamu wenzako wanakazana kupinga hiyo issue mpaka wanakataa maneno ya Muhammad maana wanajua ni ujinga kusema Jua linazama matopeni
 
Unamjuaje fulani ni MUISLAMU ? Unajua kama wewe huujui UISLAMU ?

Hata yeye mwenyewe (Mokaze) hawezi kuthibitisha ya kuwa yeye ni Muislamu.
Ohh! kumbe kuna namna ya kumjua muislamu ukiachana na identity yake ya majina, consent, na elimu ya dini pamoja na uumini wake?

Ila wewe unaweza kujithibitisha ni Muislam

Mokaze ebu kubaliana vizuri na ndugu yako mya settle down kwanza, ukishajitoa kwenye hilo kundi la Makadiani uje tujadiliane namna gani Mungu anaweza kuwepo
 
Ukikubali mtu anaesema Jua linazama matopeni , ni kwamba umeamua kuwa mpumbavu,
Waislamu wenzako wanakazana kupinga hiyo issue mpaka wanakataa maneno ya Muhammad maana wanajua ni ujinga kusema Jua linazama matopeni
Kwani maelezo ya aya hamna...?

Hili jambo tushaliezea zaidi ya mara moja.

Niliwauliza hivi :
1. Hiyo aya Mtume aliielezea vipi ?

2. Maswahaba zake walielewa vipi na wakaifanyia kazi vipi ?

Kila kitu kipo wazi, niliposema namkubali sababu najua najadiliana na mtu wa aina gani.

Sasa rejea Tafsiri Ibn Kathir katika hiyo aya ambayo nyinyi mnadai ya kuwa Jua linazama kwenye matope.
 
Ohh! kumbe kuna namna ya kumjua muislamu ukiachana na identity yake ya majina, consent, na elimu ya dini pamoja na uumini wake?

Ila wewe unaweza kujithibitisha ni Muislam
Sahihi kabisa. Umekubali kama wewe ni mjinga ila unajiona unajua ?!

Sasa tuliza akili usome mambo toka watu wake na uyaelewe.

Mimi naweza kujithibitisha ya kuwa ni Muislamu.
@Mokaze ebu kubaliana vizuri na ndugu yako mya settle down kwanza, ukishajitoa kwenye hilo kundi la Makadiani uje tujadiliane namna gani Mungu anaweza kuwepo
Suala la Mola kuwepo halima namna hili lipo na hajawahi kutokuwepo.
 
Umeoana sasa ulivyo mjinga. Watu wapo aina nne kwa mujibu wa elimu.

1. Hajui na anajijua yeye hajui, huyu tunamuita MJINGA, anatakiwa kufundishwa.

2. Hajuivna hajui kama yeye hajui na anajiona anajua, huyu anaitwa MPUMBAVU. Huyu ni wewe. Yaani Makadiani huwajui halafu unadai kwamba yeye ni Muislamu mwenzangu ? Unatakiwa kujitambua uache ujuaji sababu unakuwa kituko mbele ya wanao jua.

Muulize muhusika MAKADIANI ni kina nani, atakwambia.

Shukrani.
Sistaajabu wewe kunita mimi mjinga, hususani katika muda huu ambao njaa inakuwa imechanganya (nyie mnaita swaumu)

Nakushauri (kama utakuwa willing) usubiri ule kwanza (nyie mnaita iftari) ukishiba uje hapa tufanye mjadala kistaarabu (bila personal attacks)

If I were you I would consider all words in brackets seriously
 
Sistaajabu wewe kunita mimi mjinga, hususani katika muda huu ambao njaa inakuwa imechanganya (nyie mnaita swaumu)

Nakushauri (kama utakuwa willing) usubiri ule kwanza (nyie mnaita iftari) ukishiba uje hapa tufanye mjadala kistaarabu (bila personal attacks)

If I were you I would consider all words in brackets seriously
Maana ya mjinga haisubiri wakati, sababu ni kinyume cha kujua, yaani kutokujua jambo.

Sasa kama Ukadiani huujui bado unataka tena nisubiri nifturu. Yaani uone ni jinsi gani ulivyo mjinga,vyaani bado unataka kuminyana tena kwa jambo ambalo hulijui ?

Si ajabu kwako kumkana Mola.
 
Sahihi kabisa. Umekubali kama wewe ni mjinga ila unajiona unajua ?!

Sasa tuliza akili usome mambo toka watu wake na uyaelewe.

Mimi naweza kujithibitisha ya kuwa ni Muislamu.

Suala la Mola kuwepo halima namna hili lipo na hajawahi kutokuwepo.
Personal attacks are commonly torwad to the man who make an argument rather than discussing the argument itself

Thibitisha wewe ni muislamu
 
Maana ya mjinga haisubiri wakati, sababu ni kinyume cha kujua, yaani kutokujua jambo.

Sasa kama Ukadiani huujui bado unataka tena nisubiri nifturu. Yaani uone ni jinsi gani ulivyo mjinga,vyaani bado unataka kuminyana tena kwa jambo ambalo hulijui ?

Si ajabu kwako kumkana Mola.
Mpaka hapa sina namna itabidi tu nisubiri ule kwanza ndio tuendeleze huu mjadala
 
Personal attacks are commonly torwad to the man who make an argument rather than discussing the argument itself

Thibitisha wewe ni muislamu
Sasa personal attacks vipi ? Unakataa kama wewe siyo mjinga juu ya UISLAMU ? Aisee kijana una matatizo ya akili.
Thibitisha wewe ni muislamu
Sipingani na chochote ambacho Mtume amekuja nacho.
 
Kwani maelezo ya aya hamna...?

Hili jambo tushaliezea zaidi ya mara moja.

Niliwauliza hivi :
1. Hiyo aya Mtume aliielezea vipi ?

2. Maswahaba zake walielewa vipi na wakaifanyia kazi vipi ?

Kila kitu kipo wazi, niliposema namkubali sababu najua najadiliana na mtu wa aina gani.

Sasa rejea Tafsiri Ibn Kathir katika hiyo aya ambayo nyinyi mnadai ya kuwa Jua linazama kwenye matope.
Hatumuitaji Ibn kathir wakati Muhammad katoa maelezo ya kutosha kabisa

Imesimuliwa Abu Dharr:
Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
Grade Sahih
 
Back
Top Bottom