Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Hakuna maswali , inajulikana na sayansi kwamba Jua halitembei , ila Dunia ndio inajizungusha na inazunguka , na hii ndio inaweza jibu swali la tofauti wa mda

Ila swala la Allah kusema Jua linaondoka kwenda kusujudu kwa saa 12 halijibu tofauti ya mda Kati ya nchi na nchi
Hahahahaha, bado uko finyu sana. Soma kuhusu Locution au lexicon.
 
Nimecheka sana, naona unakimbia kivuli chako, ila hapa utanyoosha maelezo.

Nakusudia Jarida hilo hilo la Al-Fadhl. Hayo ya kuanza lini hapa hayana nafasi, unachotakiwa ukosoe hicho nilicho kiweka na uweke kilicho sahihi kwa ushahidi.

Nyinyi si mna Khalifa una kataa hilo ? Kilichonukuliwa sahihi au siyo sahihi ? Upi usahihi wake ?

Nakuuliza swali hamna majarida yenu mliyo yafanyia tarjama katika lugha nyingine ? Sasa kwanini hii hoja dhaifu unataka kuisimamia ?

Wapo maadui waadilifu ndiyo maana tunanukuu toka kwenye majarida yenu.

Hapa usikimbie hoja kijana, kosoa nilicho kiweka hapa, mimi sina nakala ya Kiurdu wala sikijui kiurdu, wewe mwenye nayo tuwekee hapa na uende kwenye nukta ya mzozo moja kwa moja. Ila kijana unachekesha sana hata kukimbia hoja unaikimbia kizembe sana.



Kijana acha uongo hakuna hata swali moja hapo lenye kuhitaji maelezo sababu kila kitu kipo wazi. Wala hakuna swali lenye kuhitaji mjadala mpana.

Haina shida kabisa kwa masharti hayo, ila naongezea hapa sharti lazima iwe kwa ufahamu wa maswahaba. Siyo kwa ufahamu wa Mirza Ghulam Ahmad, kisha utatuambia mwishoni alikufaje kufaje Mirzah Ghulam Ahmad.

Kadiani ni wale wafuasi wa Mirzah Ghulam Ahmad na wamepewa jina kwa sababu Mirzah alitokea katika kijiji cha Kadian.



Nasema hivi; lete hapa maneno halisi ya tafsiri yako ya kiswahili ya hayo maneno yako, mbona ni jambo rahisi tu, fanya hivi; nenda kwa huyo mtu uliyenukuu hayo maneno na muombe akupe original scripts ya kiurdu kutoka kwenye hilo jarida unalodai na akupe kurasa nk, nasi tutangalia tafsiri ya neno kwa neno ya hiyo tafsiri yako.

Nimekupa historia ya hilo jarida kwani wewe hulijui na ndio maana hata jina lake ulikosea kuliandika mara mbili kwasababu umekopi kutoka kwa maadui wa Ahmadiyya na hiyo ndiyo shida ya kukopi hovyo bila kutumia akili yako binafsi---- sasa uongo aandike mtu mwingine kusutwa wajasutwa wewe!!!.

Wafuasi wa Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) wanaitwa/tunaitwa Waahmadiyya na jumuiya yetu katika Uislamu inaitwa Ahmadiyya, Qadian ni kijiji alikozaliwa Hadhrat Ahmad (as), na wewe wajua hivyo sasa iweje watuita Makadiani??, je ni sawa kwa waisilamu badala ya kuitwa Waisilamu waitwe Wamakka/Meccans kwasababu tu Mtukufu mtume Muhammad kazaliwa makka??---- basi kumbuka Qur'an inakataza kuitana majina mabaya na wewe kama Muisilamu yakupasa uzingatie hilo au wewe ni muisilamu jina???!!.

MWISHO, Nataka ulete original scripts za kiurdu za hilo jarida la Alfadhl ili tulinganishe tafsiri hiyo uliyotuwekea ili usijeshikwa UONGO, baada kumaliza suala hilo ndipo tuje kwenye mjadala wa zile mada 4 moja baada ya nyingine.
 
Biblia yoyote ile uipendayo, iwe ya Roman Catholic, iwe ya Protestants, iwe ya Orthodox au iwe version yoypte uipendayo, Yesu hajawahi kuziona wala hazijuwi.

Soma hapo Luka 4:17-20 Yesu akiwa Hekaluni siku ya Sabato akisoma kutoka Chuo/Kitabu cha Nabii Isaya. Chukuwa Biblia yeyote kati ya ulizozitaja hapa uangalie yaliyomo kama hutakutana hicho Kitabu cha Isaya.
 
Hujasema kuhusu ukristo pia.
bibilia imeeleza vizuri kabisa kuhusu hili ukisoma Yakobo 1;27 utaijua dini ya Mungu ni ni ipi na ukisoma 1yohana 4;8 natumaini utapata mwanga zaidi Mungu ni nani!
 
Na changamoto iliyo kuu...
1. Wengi wetu tumerithi Imani za wazazi.
Umezaliwa umekuta wazazi ni waenda kanisani, basi unaenda hukohuko....

2. Kila Imani hufundisha kwa kukomaa kwamba wao ndio sahihi...!!! Huku wakiwa wamezirithi..!!!

#YNWA
unaweza kuanzisha imani yako hakuna anae kuzuiya mkuu
 
Soma hapo Luka 4:17-20 Yesu akiwa Hekaluni siku ya Sabato akisoma kutoka Chuo/Kitabu cha Nabii Isaya. Chukuwa Biblia yeyote kati ya ulizozitaja hapa uangalie yaliyomo kama hutakutana hicho Kitabu cha Isaya.
Mie naandika "biblia" wewe unasema Isaya.
 
Kuanza kuhoji tu undani wa hizo dini zenu inaonesha tayr akil yako imeanza kufanya kazi kutoka kwenye vifungo vya iman za kishenz ambazo zlikuja kuiharibu akili ya mtu mweusi.

Kwa wengine wa imani zenu ni kufuru kuuliza ama kuhoji maswal kama yako maana utaonekana mpagani na mtu asiyemuogopa huyo Mungu wa peponi sjui mbinguni.

Kimsingi imani na dini zote si sahihi maana ukifuatilia zote kiundan zinamakosa na zote zipo chini ya lengo moja na muanzilishi mmoja aliekuwa na targets zake kwa jamii fulani.

Kiuhalisia dini zote asili yake ni imani za kishirikina ambazo ziliabudiwa na mababu wa kiafrika ya kale yaani misri na sehem zingine baran Africa, na baada ya ujio wa races za watu weupe na kuanza kustaharabika wakazicopy hizo imani na kuzistaharabisha kwa kubadili histories, majina na wahusika wa hizo imani na ndipo ujio wa dini na misahafu ukaanzia hapo.

Uwez sema asiemuamini Allah atachomwa moto wakat hiyo dini imaenza juzi tu miaka ya 1400 iliyopita, na kabla yake kuna maelfu ya imani zilikuwepo kabla yake.

Na huwez sema asiyemuamn yesu atachomwa moto wakat kbla ya miaka 2000 kuna wakina Osiris, azazel, Krishna waliwai kuwepo kabla yake na walikuwa na miujiza kama ya huyo yesu na hawa ndio origin copies za stories za jesus ambao nao asili yao ni miungu ya waafrika wa kale.

Hakuna ukwel ktk dini ndiomaana mnapingana ninyi kwa ninyi.

Ni bora usiamin dini na miungu yake, kulko kuwa mpumbavu usiyejua nini unachokiabudu na kuipa sifa jamii fulani iliyokuletea uo upuuzi.

Mungu yupo lkn si huyo mnaemuabdu ktk magenge yenu ya dini.

Muumba wa kweli hana haja na dini ili umjue, bali kufuata sheria za uumbaji, upendo kwa viumbe wake na kutii sheria za , jamii yako unayokuzunguka.

Mbingu na motoni hazipo na hazitowai kuwepo maana ziliundwa na hao wana dini ili kuwatisha watu na kuwafanya waoga na watumwa wa imani.

Mtakesha kusubiri ujio wa hivyo viumbe vyenu na havitorudiii maana havijawai kuwepo.

Kupinga mafundisho ya dini isiwe kigezo cha kumuita mtu mpagani, maana hata wew unakuwa mpagani kwa kuikana imani ya uafrica na kukumbatia imani za mtu mweupe ambazo ni uongo na copy ya ile origin ya imani za babu zako.
View attachment 2201191
Hivi wazungu na waarabu waliumbwa na Mungu gani mkuu huyu huyu Mungu wa waafrika?
 
Mwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?

Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.

Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
Sasa hilo imani ilikuwa wapi wakati zingine zinaanza?
Na kwanini ina maandiko ya imani zingine yani yalikwisha kuwepo miaka maelfu kwa maelfu
 
Scenario
Naomba ni declare interest "Mimi ni mkristo Tena Mlutheri".
Hivi lipokuja swala la kuwaaminisha hawa wasio amini Mungu yupo "Kwanini sisi Tunaoamini Mungu yupo TUSIWE NA SAUTI MOJA?"

Flash back
Nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi tu juu ya wasio amini Mungu yupo wakitoa madini yao.
Lakini pia nimekuwa nikisoma juu ya wanaoamini Mungu yupo wakitoa madini yao pia.

The Problem
Ila mi binafsi nahisi Kuna tatizo kwa "Sisi Waamini Mungu"
We fungua Uzi wowote kwa wasioamini Mungu, utaona kila mwamini Mungu yupo anatoa ushahidi wake ambao ni tofauti na ushahidi wa mwengine.

Hebu soma ushahidi wa wakristo juu ya Mungu yupo?
Then soma ushahidi wa Waislamu juu ya Mungu yupo?

Utaona japo wote wanaoamini Mungu yupo ila kila side ina views zake na comments zake ambazo sometimes zinatofautiana kabisa yaani ZINAPINGANA.

We Waambie watoe view juu ya Mungu yupo kupitia Maandiko yaliyomtaja Yesu na Mtume Mohammed S.A.W utaona wako tofauti na kama hata wao ""Wanakinzana na kugombana kimawazo""

Sasa najiulizaga "Ikiwa kama sisi Tunaoamini Mungu yupo" tunazinguana..!! Tutawezaje kumuaminisha huyu ambae haamini Mungu yupo Akaamini?

The Paradox
Nina rafiki zangu wawili John (Mlokole - namwitaga baba Mchungaji) na Khadija (Sunni - huyu namwitaga ustadhati mzuri..!!!)

Hawa watu wawili kama wewe ukitaka kupata ""Confusion kichwani mwako"" we waulize swali kama ""ikiwa Imani ndio msingi mkuu wa kufata mafundisho ya Mungu ili twende peponi basi Motoni anaenda wa Imani gani?""

Atakachokujibu baba Mchungaji ni tofauti kabisaa na ustadhati wangu mzuri..!!!

What is Behind?
Sasa huwa najiuliza
1. Mungu hajui huu mkanganyiko alionao Khadija na John juu yake?

2. Huyu Mungu atawachoma wakina Khadija au wakina John kwasababu kati yao mmoja anatumia njia isiyofaa kumfata yeye (Haya ndio mawazo ya John na Khadija, huyu shika Biblia huyu shika Quran)...??

3. Huwa najiulizaga ""Kwanini Mungu asitoe tu one statement ili kutoa one truth true..!!""
Maana ukitaka kujua juu ya Habari za Mungu na Pepo, na Jehanamu basi John atakufundisha hivi na Khadija vile...!!!! Yaani tofauti Tena kwa kupingana kabisaaa.

Kwanini Mungu asiseme yeye mwenyewe "Kundi hili ndio lipo sahihi na nyie wotee nifateni kwa staili ya kundi hili"

Conclusion
Kama sisi " Waamini Mungu yupo" tumeshindwa kuelewana na wenyewe kuwa Mungu ni wa upande gani, Je kuwaaminisha ""Wasioamini Mungu yupo"" ya kwamba ""Mungu anataka Mafundisho ya kina John au Khadija"" Tutaweza kweli??

Mi nafikiria sisi Tunaoamini Mungu tukae kikao..!!! tuelewane kwanza then ndio tuwafate wasio amini Mungu ndio ""TUWAPE HABARI ZA MUNGU""


#YNWA
Nafikiri wewe ndio shida maana hakuna kwenye Biblia juu ya kuchomwa wenye thambi hakuna mahali kwenye bible wameonyesha
 
MUNGU ALIKUWA MGENI AFRICA ?
Dini ndio imeleta yote haya we angalia tukija kwenye suala la Pesa wote ss ni Dini moja
FB_IMG_16509655797140342.jpg
 
Kuna wasioamini Mungu na kusema hayupo, kuna wasioamini Mungu ila hawasemi hayupo kwa sababu hakuna njia ya kujua kuwa hayupo, kuna wasioamini Mungu huyu wa waislamu na wakristo.

Matabaka haya tunayafanyaje?
Kwa mfano kama nani?
 
Hahahahaha, bado uko finyu sana. Soma kuhusu Locution au lexicon.
Kitendo Cha Allah kuchemka kujua solar system , ni mistake kubwa mno na haielezeki labda ujitie ukichaa kama anavyofanya kisai, ameamua ajilipue tu akubali Jua linazama kwenye maji chini ya kiti Cha Allah
 
Scenario
Naomba ni declare interest "Mimi ni mkristo Tena Mlutheri".
Hivi lipokuja swala la kuwaaminisha hawa wasio amini Mungu yupo "Kwanini sisi Tunaoamini Mungu yupo TUSIWE NA SAUTI MOJA?"

Flash back
Nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi tu juu ya wasio amini Mungu yupo wakitoa madini yao.
Lakini pia nimekuwa nikisoma juu ya wanaoamini Mungu yupo wakitoa madini yao pia.

The Problem
Ila mi binafsi nahisi Kuna tatizo kwa "Sisi Waamini Mungu"
We fungua Uzi wowote kwa wasioamini Mungu, utaona kila mwamini Mungu yupo anatoa ushahidi wake ambao ni tofauti na ushahidi wa mwengine.

Hebu soma ushahidi wa wakristo juu ya Mungu yupo?
Then soma ushahidi wa Waislamu juu ya Mungu yupo?

Utaona japo wote wanaoamini Mungu yupo ila kila side ina views zake na comments zake ambazo sometimes zinatofautiana kabisa yaani ZINAPINGANA.

We Waambie watoe view juu ya Mungu yupo kupitia Maandiko yaliyomtaja Yesu na Mtume Mohammed S.A.W utaona wako tofauti na kama hata wao ""Wanakinzana na kugombana kimawazo""

Sasa najiulizaga "Ikiwa kama sisi Tunaoamini Mungu yupo" tunazinguana..!! Tutawezaje kumuaminisha huyu ambae haamini Mungu yupo Akaamini?

The Paradox
Nina rafiki zangu wawili John (Mlokole - namwitaga baba Mchungaji) na Khadija (Sunni - huyu namwitaga ustadhati mzuri..!!!)

Hawa watu wawili kama wewe ukitaka kupata ""Confusion kichwani mwako"" we waulize swali kama ""ikiwa Imani ndio msingi mkuu wa kufata mafundisho ya Mungu ili twende peponi basi Motoni anaenda wa Imani gani?""

Atakachokujibu baba Mchungaji ni tofauti kabisaa na ustadhati wangu mzuri..!!!

What is Behind?
Sasa huwa najiuliza
1. Mungu hajui huu mkanganyiko alionao Khadija na John juu yake?

2. Huyu Mungu atawachoma wakina Khadija au wakina John kwasababu kati yao mmoja anatumia njia isiyofaa kumfata yeye (Haya ndio mawazo ya John na Khadija, huyu shika Biblia huyu shika Quran)...??

3. Huwa najiulizaga ""Kwanini Mungu asitoe tu one statement ili kutoa one truth true..!!""
Maana ukitaka kujua juu ya Habari za Mungu na Pepo, na Jehanamu basi John atakufundisha hivi na Khadija vile...!!!! Yaani tofauti Tena kwa kupingana kabisaaa.

Kwanini Mungu asiseme yeye mwenyewe "Kundi hili ndio lipo sahihi na nyie wotee nifateni kwa staili ya kundi hili"

Conclusion
Kama sisi " Waamini Mungu yupo" tumeshindwa kuelewana na wenyewe kuwa Mungu ni wa upande gani, Je kuwaaminisha ""Wasioamini Mungu yupo"" ya kwamba ""Mungu anataka Mafundisho ya kina John au Khadija"" Tutaweza kweli??

Mi nafikiria sisi Tunaoamini Mungu tukae kikao..!!! tuelewane kwanza then ndio tuwafate wasio amini Mungu ndio ""TUWAPE HABARI ZA MUNGU""


#YNWA

Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu
 
Non political, non Religious, non affiliated and that's the message, Yes I
 
Back
Top Bottom