Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Chale ni kweli. Wasukuma jiangalieni mwilini Kama huna chale Kama yupo mie nabeti Ila ni wazuri kiutu sio wachoyo, bajeti ya chakula hawana Mana pia ndio wanaolima mno Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana both team to scoreKuna mwamba mmoja alikua mkuu wa taasisi fulani ni msukuma, kijijini kwao karibu kijiji kizima kawatafutia kazi kwenye hiyo taasisi, anachofanya wakati unasubiri ajira anakuita kwake sasa nyumbani kwake walijaa wasukuma wengi kichizi yani, pale nyumbani chakula kinapikwa kwenye masufuria makubwa kama ya shule
mwamba alinunua mashamba kwahiyo kabla hajakuingiza kwenye system lazima akupigishe kazi kama una moyo mwepesi unaweza kutoroka jamaa wakiamka asubuhi ni kwenda shambani kupitia hao cheap labour yule mwamba alitajirika sana na kijijini kwao karibu kila familia inamtu aliepata ajira kupitia yeye.
Kwahiyo mtu kujisahau remote kwenye mkoba ni ushambaSitasahau kuna Msukuma mmoja ni binti nilikutana naye nikamwelewa nikapiga sound akatiki alipokuja gheto nimelala nae siku moja kesho yake wakati anaondoka si akaondoka na rimoti ya fane Homebase kaweka kabisa kwenye mkoba wake ety😂.
Sasa ile natafuta rimoti kama siku 3 baadae siioni likanijia wazo nimuulize kama hajaiona ndio ananiambia aliweka kwenye mkoba akajisahau na kuondoka nayo hadi kwao mwanza dah nikasema hawa watu kweli ushamba umewazidi aisee
Wasukuma hatuna baya na mtu,wote wanaotusema vibaya tumewapuuza.....bhanyane ing'we!
Sababu kuna Wachawi na Wanga wengi ukienda usukumani mwepesi mwepesi huchukui round unazimwa unaenda na maji, kuna mother alipelekwa kikazi huko akapewa ABC zao akakaza kichwa kaenda akiwa mjamzito kilichomkuta sasa hatunae, usiwalaumu kwa kupigwa chale maana yake kuna Wachawi wengi wengi mno na waganga ni wa kumwaga na zinachomwa dawa asubuhi, mchana na usiku especially sehemu za biashara hakuna duka ambalo muuzaji hachomi dawa sio mama lishe sio yaan kila sehemu ambayo kuna biashara dawa zinachomwa lengo ni kufukuza wachawi na wanga ambao wanawanga huko muda wote sio asubuhi sio mchana sio usiku wao ni kuwanga tuWaganga wa huko ni kuchanja tu
Ha ha ha eti tunguli zao zina macho.Wale jamaa tunguli zao zina macho, ukimroga anajua. Kwani nyie kabila gani hadi mkaolewa na msukuma?
Kuna mwamba amejenga mashine kabisa ya kusanga mahindi na kukoboa mpunga wa familia zake tu ili kupunguza gharama.Msukuma akienda kusaga unga anaenda na gunia la kilo mia Moja 🤣🤣🤣 limejaa Hadi juu
Mimi ni msukuma sina chale hata moja na sijawahi kwenda kwa mganga.Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.
Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida, usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.
Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa, kwa maana hazai ni ngumu mno, wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.
Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako, watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.
Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
😃😃😃 Sema kwa uaminifu wako vizuriKuna mwamba amejenga mashine kabisa ya kusanga mahindi na kukoboa mpunga wa familia yake tu ili kupunguza gharama
Unejitahidi tu kuhitimisha vyema. Tuliza nukari, ndio JF ilivyoTunajadiliwa sana kwa mabaya sisi wasukuma! Nadhani hatuna jema kwa ninyi makabila mengi hapa Tanzania.
Chuki mliyonayo dhidi yetu ni kubwa mno kiasi Cha kuanzisha mijadala hasi dhidi ya jamii yetu.
Hoja ya haya yote ni Mila na desturi! Tuko tofauti na hatufanani.
*Nimeishi maeneo mengi katika ujana wangu huu na nimekuwa na marafiki wengi wa kusaidiana katika shida na Raha hasa walipojua kuwa Mimi ni msukuma. Of course Mimi ni mcheshi na tunaishi kwa kupendana sana.
- Wanawake wengi wanapenda hili kabila la "washamba" sijui kwanini ila mimi nime date na wanawake ( wadada) wengi wa makabila mengine kuliko hata wasukuma. Nipo humble na najiamini.
- Huwa naishia kuwahurumia baadhi ya watu wanaofuata mkumbo kutusema vibaya ilihali ni watu duni na fukara wa nguvu na kiuchumi.
- Hatujali hayo, tuna Ari ya kazi na ustahimilivu wa kimkakati. Kamwe tutabaki kuwa jamii inayojituma na kujiboresha kwa kutumia raslimali ardhi.
- Chuki za wapumbavu si kitu kwetu.
- Tuko wengi na ndiyo alama ya amani na uchapakazi, utu na ukarimu.
Mwisho: Hakuna kabila lilitimamu, tamaduni zinatupa kasumba ya kunyosheana vidole kwa kuwa hatuwezi kufanana. Furahia na wale mnaoendana, oana nao na uchangamane nao.
Chale za wasukuma zinatofauti Gani na alama za makabila kama datooga, wamakonde na wamasai?
Chuki huzaa mitazamo yenye ubaguzi na migogoro.
Huwa wanakuja na unga, maharagwe na mchele. Wakivimaliza ndio wanaondokaHawa wakikaa wiki nafukuza mana watakua washanitua hasara ya gunia la Mchele...
Duh basi labda wenu saizi tunatoka kusifu na kuabufu na shemeji yenu MsukumaHakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.
Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida, usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.
Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa, kwa maana hazai ni ngumu mno, wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.
Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako, watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.
Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
Na ukuchangia chochote pamoja na kumkula mke wake Yaani nawe walikuwa wageni wako ujueKuna jirani yangu mmoja hapa Dom ni askari polisi (huwa natoka na mkewe kisirisiri) huyu mwamba mkewe ni msukuma kuna kipindi alipata kutembelewa na timu ya watu 9 Yaani baba Mkwe na mama Mkwe,
wadogo wa mkewe na Kaka mkubwa wa mkewe akiwa na mke na watoto Yaani jamaa ailkosa nafasi ya kuwalaza wageni ikabidi aje kuomba nafasi nyumba moja ya mama mmoja mstaafu hapa jirani Yaani wageni walijaa nyumbani eti wamekuja kusalimia mke wa jamaa baada ya kujifungua halafu walikaa zaidi ya mwezi jamaa alinyooka maana budget ya siku ilipanda mara dufu!