Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Whaaat!? Yani kibongobongo malaya ni kiwakilishi cha wanawake? Bongo gani unayoishi wewe?A "bitch" is a slang word representing women. Hio ni kwa kingereza ila kibongo bongo ni "malaya" ni neno la jumla jumla kiwakilishi cha wanna wake!
Malaya kibongo bongo ni mwanamke anaetoa penzi kwa pesa! Nenda umuite dada yako malaya uone kitachotokea ama lah nenda kitaa useme "yule malaya ni dada yangu", uone wadau watavofurukuta kuja kwenu kumcheki sista ako walau nao waambulie mbususu ya bei chee.
Usipotoshe ili uonekane uko sahihi, mi naongelea malaya wala sio mahusiano ndgu yangu. Wewe unaongelea hao madem zako unaowafukuzia mwezi mzima na ahadi kibao na unawala bure.
Yaah ukiconvert huo mwezi na muda uliotumia kwa ajili yake acha ule bure tu, ila kwa wasiotaka mazingzong unatoa mshiko unapiga pipe unasepa, hata huyo demu wako(unaemuita malaya hapa) nae hafurukuti mbele ya pesa.